Warioba na timu yake walichoandika ni rasimu ya katiba ya muungano.
Katiba zingine za nchi washirika wa muungano zingeandikwa na nchi husika, japo wapuuzi walishindwa hata kuitaja Tanganyika kwa jina kwenye rasimu yao wakaita Tanzania bara.
Nakuuliza tena, kuna mwananchi mwenye akili timamu atatamani uwakilishi sawa kwa mikoa ya Dar na Pemba kusini kwenye bunge la muungano kama ilivyopendekezwa na hiyo rasimu ya Warioba?
Kama huna jibu pita kimya.