Tetesi: CCM wanapita vyuoni kuorodhesha UVCCM waliokosa mkopo

Tetesi: CCM wanapita vyuoni kuorodhesha UVCCM waliokosa mkopo

Safi tu mbona hata sisi zamani tulikua tunaingia kazini kwa kadi ya TANU.
 
Vijana wa Ufipa hv mbowe anawalipa shilingi ngapi kwa uongo wa namna hii hv leo ukipelekwa mahakamani unao ushahidi wa upuuzi ulioandika hapa ???? au unadhani kutumia fake id hapa unaweza kuandika chochote tu ukitakacho?? na siku msitu huu ukifyekwa sijuh mtajificha wapi tena.
Acheni kulalamika,hii nchi sio yenu pekee yenu.Au kodi mnakusanya kwa makada tu?
 
Mkuu ndugu mtoa mada...mbona hujatoa ushahidi yakinifu...lete video..lete picha...lete hata audio ...na sio kutupa bla bla bla hapa
 
Yaani siiamini hii kitu.Kweli Watanzania tumefika hapa,unbelievable.
Viongozi wa UVCCM wameagizwa na viongozi wa CCM kupita kila chuo kuorodhesha wanachuo waliokosa mkopo ambao ni wana chama wa CCM

Zoezi hili linafanyika kwa siri, ili wanafunzi wasio wanachama wa CCM wasijue kinachoendelea

Ili uorodheshwe unatakiwa uonyeshe kadi ya CCM na registration number ya chuo

Zoezi hili limeanza wiki iliyopita mpaka mwishoni mwa juma
Rafiki yangu wakaribu ambaye ni UVCCM ameniambia wamehakikishiwa watapata mkopo

Nikarejea waziri wa elimu alisema atatoa mkopo kwa mwanafunzi wasiozid 25, 000 na hadi sasa wametoa kwa wanachuo 20, 000 tu

Ndio nchi yetu ilipofikia hapa, licha ya bwana mkubwa kuhubiri usawa but he doesn't walk his talk

Vijana wenzangu ambao sio makaada wa CCM wakipolisikia hili walitaharuki na kuanza kutafuta kadi za CCM ilimradi tu wawepo kwenye orodha ya CCM inayoratibiwa Lumumba

Poleni ndugu wanachuo msio CCM...
 
Kwa Tanzania siwezi kushangaa kuwa njama mbovu kama hizi zipo. Hakuna lisilowezekana hapa kwetu. Kila jambo zuri wanawaza kufanya siasa maji taka.
 
Back
Top Bottom