Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usikimbilie kuuita upuuzi. Iko taarifa rasmi iliyotolewa na UVCCM kwamba inaingilia kati suala la mikopo ya wanafunzi wa vyuo vikuu. Swali linaweza kuanzia hapo; kwamba UVCCM ni nani katika suala hili?Vijana wa Ufipa hv mbowe anawalipa shilingi ngapi kwa uongo wa namna hii hv leo ukipelekwa mahakamani unao ushahidi wa upuuzi ulioandika hapa ???? au unadhani kutumia fake id hapa unaweza kuandika chochote tu ukitakacho?? na siku msitu huu ukifyekwa sijuh mtajificha wapi tena.
Vijana wa Ufipa hv mbowe anawalipa shilingi ngapi kwa uongo wa namna hii hv leo ukipelekwa mahakamani unao ushahidi wa upuuzi ulioandika hapa ???? au unadhani kutumia fake id hapa unaweza kuandika chochote tu ukitakacho?? na siku msitu huu ukifyekwa sijuh mtajificha wapi tena.
Haiwezekani. Ni uongo mkubwa. Mimi niko ccm lakini sikupataga udhamimi enzi za Sumaye akiwa waziri mkuu.
uhalali wa hii serikali ya awamu ya tano unatia mashaka. Sina hakika kama CCM walishinda kwa kura halali mwaka 2015
huyu je?
msikie huyu
jibu utapata. But kwenye bodi ya mikopo who is UVCCM?
kitambo sana tumeshachomeka mashushu wetu wanafanya kazi maalum.Ukawa nunueni tu hizo kadi halafu mkiwa ndani ya uvccm ndiyo tutaimaliza vizuri ccm kwa kutengeneza migogoro isiyoisha
Hakuna uhusiano katika kupata Mkopo na itikadi za kisiasa, Mkopo ni haki ya mhitaji anayestahili kulingana na vigezo.
Siamini uzi huu kama ni wa kweli.
Ni serikali gani ulimwenguni ambayo yaweza kuwabagua wananchi (wanafunzi) wake katika misingi ya vyama?Unapoenda Hospitali na kumkuta bwana mganga ama Daktari hakuulizi wewe ni wa chama gani kabla hajakutibu?
Huwa anatibu watu WOTE na wa vyama vyote.Maana alisomeshwa na SERKALI si CHAMA!
Labda ni Korea Kaskazini peke yake kuliko na ujinga huo!
Maana hili laweza kuwagawa watanzania VIBAYA SANA!
Siaamini kuwa Rais Magufuli anaweza kuinama (THAT LOW) yaani chini kiasi hicho na ATOE AGIZO ABAGUE na kusema wanafunzi wasio wana CCM WASIPATE mikopo.
Hapo sikubali!
Maana atakuwa amepoteza dira kabisa!
Ndiyo maana siamini.
Na kama wanafanya hivyo labda basi ni BEHIND his BACK yaani nyuma ya MGONGO wake ili kumpaka matope na kumchonganisha kati ya serikali yake na wananchi.
Huko ni kufikiria kwangu!
Kama uunashindwa kujua maana ya propagandaa basi na wewe unaweza ukawa ni zwazwa
Kama kwa kinywa chake aliwahi kusema hawezi kumsaidia mtoto wa jirani unashangaa hili!!!!!