Malyenge
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,658
- 3,659
Haiwezekani. Ni uongo mkubwa. Mimi niko ccm lakini sikupataga udhamimi enzi za Sumaye akiwa waziri mkuu.Kwa utawala huu hili linawezekana kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haiwezekani. Ni uongo mkubwa. Mimi niko ccm lakini sikupataga udhamimi enzi za Sumaye akiwa waziri mkuu.Kwa utawala huu hili linawezekana kabisa.
Hahahaa sasa watoke vipi...maana agenda ya ufisadi waliizika siku nyingi...Mwisho wa siku mtasema kwamba CCM imetoea maagizo kuhakikisha wanafunzi wote walio wanachama wa CCM hawatakiwi kupata supp..
Ha ha ha, yaani umetembelea vyuo vyote na kujionea huo uongo? Wadanganye makamanda wenzako akina Yericko Nyerere na Ben Saanane.
Na wewe endelea kupiga deki vyoo vya ufipa. Kila mtu na kazi yake.We endelea kupanga mafaili tu hapo lumumba na kupepea kitambi cha sendeka
"Siwezi kuwapa watoto wa jirani chakula mpaka wangu washibe kwanza" ubaguzi wa wazi wazi ndani jamii inayojiita wamoja
Viongozi wa UVCCM wameagizwa na viongozi wa CCM kupita kila chuo kuorodhesha wanachuo waliokosa mkopo ambao ni wana chama wa CCM
Zoezi hili linafanyika kwa siri, ili wanafunzi wasio wanachama wa CCM wasijue kinachoendelea
Ili uorodheshwe unatakiwa uonyeshe kadi ya CCM na registration number ya chuo
Zoezi hili limeanza wiki iliyopita mpaka mwishoni mwa juma
Rafiki yangu wakaribu ambaye ni UVCCM ameniambia wamehakikishiwa watapata mkopo
Nikarejea waziri wa elimu alisema atatoa mkopo kwa mwanafunzi wasiozid 25, 000 na hadi sasa wametoa kwa wanachuo 20, 000 tu
Ndio nchi yetu ilipofikia hapa, licha ya bwana mkubwa kuhubiri usawa but he doesn't walk his talk
Vijana wenzangu ambao sio makaada wa CCM wakipolisikia hili walitaharuki na kuanza kutafuta kadi za CCM ilimradi tu wawepo kwenye orodha ya CCM inayoratibiwa Lumumba
Poleni ndugu wanachuo msio CCM...
uhalali wa hii serikali ya awamu ya tano unatia mashaka. Sina hakika kama CCM walishinda kwa kura halali mwaka 2015
What is UKAWA? It not legally existent neither valid! Stop using that bad name!!Ukawa nunueni tu hizo kadi halafu mkiwa ndani ya uvccm ndiyo tutaimaliza vizuri ccm kwa kutengeneza migogoro isiyoisha
msikie huyuHabari hii ni kweli ila pia chumvi imejazwa uvccm wanaandikisha majina kwa watoto wenye kundi maalum waliokosa mkopo tena napinga kabsa swala la eti ili uandikwe lazima uwe na kadi ya ccm kuna vijana wameandika majina yao ni yatima tena hawajaulizwa suala la kadi
jibu utapata. But kwenye bodi ya mikopo who is UVCCM?Vijana wa Ufipa hv mbowe anawalipa shilingi ngapi kwa uongo wa namna hii hv leo ukipelekwa mahakamani unao ushahidi wa upuuzi ulioandika hapa ???? au unadhani kutumia fake id hapa unaweza kuandika chochote tu ukitakacho?? na siku msitu huu ukifyekwa sijuh mtajificha wapi tena.
Umeandika nn hapoHaiwezekani. Ni uongo mkubwa. Mimi niko ccm lakini sikupataga udhamimi enzi za Sumaye akiwa waziri mkuu.
Kwenye hili mtazamo chanya unakuweje.Hahahaaa mtachonga sana. Acheni porojo nyie wenzetu kwani kila kitu mwakitazama kwa mtazami hasi
well said mkuu, lakini uhalisia hauko hivyo, UVCCM ndo anaamua mustakabali wa mikopo by now.Hakuna uhusiano katika kupata Mkopo na itikadi za kisiasa, Mkopo ni haki ya mhitaji anayestahili kulingana na vigezo.
Vijana wa Ufipa hv mbowe anawalipa shilingi ngapi kwa uongo wa namna hii hv leo ukipelekwa mahakamani unao ushahidi wa upuuzi ulioandika hapa ???? au unadhani kutumia fake id hapa unaweza kuandika chochote tu ukitakacho?? na siku msitu huu ukifyekwa sijuh mtajificha wapi tena.
Haiwezekani. Ni uongo mkubwa. Mimi niko ccm lakini sikupataga udhamimi enzi za Sumaye akiwa waziri mkuu.
Kama uunashindwa kujua maana ya propagandaa basi na wewe unaweza ukawa ni zwazwauhalali wa hii serikali ya awamu ya tano unatia mashaka. Sina hakika kama CCM walishinda kwa kura halali mwaka 2015