Tetesi: CCM wanapita vyuoni kuorodhesha UVCCM waliokosa mkopo

Tetesi: CCM wanapita vyuoni kuorodhesha UVCCM waliokosa mkopo

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tumejipangaaa... Mwaka huu mtaisoma x2
 
Viongozi wa uvccm wameagizwa na viongozi wa ccm kupita kila chuo kuorodhesha wanachuo waliokosa mkopo ambao ni wana chama wa ccm

Zoezi hili linafanyika kwa siri, ili wanafunzi wasio wanachama wa ccm wasijue kinachoendelea

Ili uorodheshwe unatakiwa uonyeshe kadi ya ccm na registration number ya chuo

Zoezi hili limeanza wiki iliyopita mpaka mwishoni mwa juma
Rafiki yangu wakaribu ambaye ni uvccm ameniambia wamehakikishiwa watapata mkopo

Nikarejea waziri wa elimu alisema atatoa mkopo kwa mwanafunzi wasiozid 25, 000 na hadi sasa wametoa kwa wanachuo 20, 000 tu

Ndio nchi yetu ilipofikia hapa, licha ya bwana mkubwa kuhubiri usawa but he doesn't walk his talk

Vijana wenzangu ambao sio makaada wa ccm wakipolisikia hili walitaharuki na kuanza kutafuta kadi za ccm ili mradi tu wawepo kwenye orodha ya ccm inayoratibiwa lumumba

Poleni ndugu wanachuo msio ccm...
Schemers Govt up to 2020 or beyond!! It is all slavery I assure you
 
Hakuna cha chumvi wewe ndio unataka kupotosha habari
Ili uorodheshwe lzm uwe na kadi ya ccm

Habari hii ni kweli ila pia chumvi imejazwa uvccm wanaandikisha majina kwa watoto wenye kundi maalum waliokosa mkopo tena napinga kabsa swala la eti ili uandikwe lazima uwe na kadi ya ccm kuna vijana wameandika majina yao ni yatima tena hawajaulizwa suala la kadi
 
Inanikumbusha kipindi cha kampeni Chadema iliopita vyuoni kuandikisha wanachuo na waliko jiandikisha ili wawape nauli ya kwenda katika vituo vyao kupiga kura siku ya uchaguzi ilikua kimya kimya... Kama ili ni kweli ulilosema basi nawaomba na vijana wa chadema wajiandikishe.. Anaweza kua mwanachama wa CCM kura akampigia mgombea wa Ukawa
 
Ni zamu yetu bara kuisoma baada ya kuikataa ccm

Nawapa pole sana wanafunzi watakaokoseshwa mkopo kwa umangimeza wa UVCCM. Hilo la kuandikisha makada wa ccm vyuoni kwa ajili ya kupta mikopo halina nia njema kam ani kweli inagawa siamini kama ni kweli. Linakusudiwa kuwanyima haki hiyo ya mikopo kwa wanafunzi ambao wazee wao ama wao wenyewe si wafuasi wa CCM. Kwa znz hili sio geni, miaka ya nyuma ilikuwa wanafunzi ambao wazee wao waliodhaniwa kuwa ni wafuasi wa cuf walinyimwa scholarships na fursa nyengine za udhamini kwa sababu tu ya kuegemea itikadi fulani ya kisiasa. Walioathirika zaidi na ndugu zangu kutoka Pemba na badhi ya wanafunzi wa unguja mimi nikiwa ni mmoja wao. Walikoseshwa scholarships mchana kweupe bila ya huruma. Haya yalitokea wakati wa utawala wa Salamin Amour Juma. Kwa Zanzibar ilikuwa unapopata scholarship lazima upitie ofisi ya usalama ( wenyewe wanaita GSO) ukakaguliwe na kuchunguzwa kila sehemu, unajaza fomu yenye masuala fyoko kama vile umezaliwa wapi, umesoma shule gani, umeoa wapi, wifi zako , shemeji zako nani , unapendelea michezo gani n aviwanaja vipi unakwenda, unakaa wapi na masuala mengine kedekede unayoulizwa kwenye hiyo fomu ya GSO ambayo ilikuwa ikiratibiwa na usalama wa taifa. mwisho wa siku unasikia tu kuwa hutopata scholarship na huambiwi sababu ya kukoseshwa. kama hali hii imehamia T/ Bara, ni masikitiko makubwa hususan kwa wanafunzi wanaotoka ktk kaya masikini na ambao wazee wao hawana uwezo wa kuwasomesha watoto wao ngazi ya chuo kikuu. Ni huzuni kubwa na ninawapa pole wale wote watakaoathirika.
 
Mkuu mi siwezi kutunga habari, hii habari kwa vijana ambao ni wageni hawawezi kuisikia maana ilikuwa kimya kimya

Ili mradi kumbe hayo mambo ya kuandikshana yapo,basi mleta uzi yuko sahihi.Uvccm wanaandikisha waliokosa mkopo wao kama nani?
 
Kwani ndalichako ni chama gani

kwanini waandikwe na watu wa chama? usipokuwa na chama chochote maana yake hupewi mkopo? bodi imewapata tenda hiyo ccm? msipige kelele njooni mjibu haya maswali
 
Mkitaka kujua serikali haina hela hebu kumbukeni mama samia suluhu ni muda alitoa ahadi ya serikali kuilipa MSD ili inunue dawa na mpaka leo ahadi hiyo haikutekelezwa. Tatizo pato kubwa la serikali lilikuwa kwenye ushuru wa forodha ambao umedoda baada bandari ya Dar kugeuka uwanja wa mpira bila ya kuwa na meli hata moja
 
Sasa mbna tunatangaziwa wanavunja rekodi kila mwezi

Mkitaka kujua serikali haina hela hebu kumbukeni mama samia suluhu ni muda alitoa ahadi ya serikali kuilipa MSD ili inunue dawa na mpaka leo ahadi hiyo haikutekelezwa. Tatizo pato kubwa la serikali lilikuwa kwenye ushuru wa forodha ambao umedoda baada bandari ya Dar kugeuka uwanja wa mpira bila ya kuwa na meli hata moja
 
Viongozi wa uvccm wameagizwa na viongozi wa ccm kupita kila chuo kuorodhesha wanachuo waliokosa mkopo ambao ni wana chama wa ccm

Zoezi hili linafanyika kwa siri, ili wanafunzi wasio wanachama wa ccm wasijue kinachoendelea

Ili uorodheshwe unatakiwa uonyeshe kadi ya ccm na registration number ya chuo

Zoezi hili limeanza wiki iliyopita mpaka mwishoni mwa juma
Rafiki yangu wakaribu ambaye ni uvccm ameniambia wamehakikishiwa watapata mkopo

Nikarejea waziri wa elimu alisema atatoa mkopo kwa mwanafunzi wasiozid 25, 000 na hadi sasa wametoa kwa wanachuo 20, 000 tu

Ndio nchi yetu ilipofikia hapa, licha ya bwana mkubwa kuhubiri usawa but he doesn't walk his talk

Vijana wenzangu ambao sio makaada wa ccm wakipolisikia hili walitaharuki na kuanza kutafuta kadi za ccm ili mradi tu wawepo kwenye orodha ya ccm inayoratibiwa lumumba

Poleni ndugu wanachuo msio ccm...
Hahahaaa mtachonga sana. Acheni porojo nyie wenzetu kwani kila kitu mwakitazama kwa mtazami hasi
 
Back
Top Bottom