Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Idea,drowing au write -up ,product banadamu yeyote kwenye ufahamu jambo lake lolote lazima lipitie njia hizo tatu na njia hzo zinamahitaji yake ya matumizi ya ubongo kuanzia Akili,Ufahamu,Nguvu sasa watanzania tunapenda sana product ambayo inatumia nguvu tu na so kabla ya uchaguzi na wakat wanatangaza jina lake tayali drowing na write - up ziliandikwa sana juu ya tabia yake so kwa vile watanzania ni wavivu kusoma na matumizi ya ubongo ni madogo kuliko matumizi ya nguvu ndo mkaenda kuchagua so mm nimeshajiandaa na lolote linalokuja so cwezi kupata shida nilishajiandaa toka anatangazwa tatizo lipo kwenu tuwewe endelea kujitoa ufahamu mengi yanakuja
Bengazuu keshakanusha #19Hii taarifa itakanushwa sasa hivi.....
Malaika wa ikulu sizani kama atakubali chama chake kuingia kwenye kashifa kama hii......
Ujiulizi hapo kwanini? Hao uvccm waandikishe majina wao kama nani?Habari hii ni kweli ila pia chumvi imejazwa uvccm wanaandikisha majina kwa watoto wenye kundi maalum waliokosa mkopo tena napinga kabsa swala la eti ili uandikwe lazima uwe na kadi ya ccm kuna vijana wameandika majina yao ni yatima tena hawajaulizwa suala la kadi
Viongozi wa uvccm wameagizwa na viongozi wa ccm kupita kila chuo kuorodhesha wanachuo waliokosa mkopo ambao ni wana chama wa ccm
Zoezi hili linafanyika kwa siri, ili wanafunzi wasio wanachama wa ccm wasijue kinachoendelea
Ili uorodheshwe unatakiwa uonyeshe kadi ya ccm na registration number ya chuo
Zoezi hili limeanza wiki iliyopita mpaka mwishoni mwa juma
Rafiki yangu wakaribu ambaye ni uvccm ameniambia wamehakikishiwa watapata mkopo
Nikarejea waziri wa elimu alisema atatoa mkopo kwa mwanafunzi wasiozid 25, 000 na hadi sasa wametoa kwa wanachuo 20, 000 tu
Ndio nchi yetu ilipofikia hapa, licha ya bwana mkubwa kuhubiri usawa but he doesn't walk his talk
Vijana wenzangu ambao sio makaada wa ccm wakipolisikia hili walitaharuki na kuanza kutafuta kadi za ccm ili mradi tu wawepo kwenye orodha ya ccm inayoratibiwa lumumba
Poleni ndugu wanachuo msio ccm...
Ili mradi kumbe hayo mambo ya kuandikshana yapo,basi mleta uzi yuko sahihi.Uvccm wanaandikisha waliokosa mkopo wao kama nani?Habari hii ni kweli ila pia chumvi imejazwa uvccm wanaandikisha majina kwa watoto wenye kundi maalum waliokosa mkopo tena napinga kabsa swala la eti ili uandikwe lazima uwe na kadi ya ccm kuna vijana wameandika majina yao ni yatima tena hawajaulizwa suala la kadi
TETESI.... au huelewi maana ya TETESI?Vijana wa Ufipa hv mbowe anawalipa shilingi ngapi kwa uongo wa namna hii hv leo ukipelekwa mahakamani unao ushahidi wa upuuzi ulioandika hapa ???? au unadhani kutumia fake id hapa unaweza kuandika chochote tu ukitakacho?? na siku msitu huu ukifyekwa sijuh mtajificha wapi tena.
Kwani gao wengine sio watanzania???
Hii kweli wametusomesha. Asante sana CCM
Hapa tunaongelea watoto kukosa mkopo Na ubaguzi wanaofanyiwa we ling'ombe unakuja kuleta Mambo ya mbowe,inaonesha ni jinsi gani ulivo mtupu kichwani,wanetu wamekosa mikopo huku wanavigezo.
Yote kayataka bwana mkubwa acha nijiunge tu na ccm
Hakuna Linaloshindikana Chini Ya Jua Zaid ya Kifo