Tetesi: CCM wanapita vyuoni kuorodhesha UVCCM waliokosa mkopo

Tetesi: CCM wanapita vyuoni kuorodhesha UVCCM waliokosa mkopo

ni marufuku wapinzani kutia mguu kwenye serikali yangu..
wale walioimba "tunaimaani na lowassaaa" heeeee ningekuwa mimi ningewapoteza...

hii ni wazi kwa utawala wa kibaguzi kufanya hivyo inawezekana..
 
Kuna taarifa kwamba UVCCM wanapita vyuo vikuu vyote kuwaandikishisha wanafunzi ambao hawakupata mikopo kutoka Bodi ili waweze kuwawezesha.Hivi kama kuna ukweli juu ya hili mnafikiri ni sahihi?


Juzi wafanyakazi wa habari wa UHURU na MZALENDO walikua wanalia hawakulipwa mishahara muda mrefu hilo hamkuliona? Kwanini hamkuanza na hilo?

Inayosababisha haya yote ni serikali ya Chama chenu kwanini msikae na Mwenyekiti wenu mmweleze ukweli? Kwahiyo haya yanafanywa makusudi ili ninyi mzungukie kwa nyuma mjiongezee idadi ya wanachama sio(kufa kufaana)
Mnashindwaje kuchukua hayo mafungu ya pesa mpeleke kwa Mwenyekiti ili alipe mikopo?


Kama mnafanya haya haya kweli basi jaribuni kutafakari.
 
sio hyo tu,hata kwa waliomaliza vyuo,cv zao zinakusanywa mahali.Ngoja nikae kimya
 
Aisee hili n ajabu lingine la Dunia,hv vio goz wa wanafunz wapo kweli
 
Vijana wa Ufipa hv mbowe anawalipa shilingi ngapi kwa uongo wa namna hii hv leo ukipelekwa mahakamani unao ushahidi wa upuuzi ulioandika hapa ???? au unadhani kutumia fake id hapa unaweza kuandika chochote tu ukitakacho?? na siku msitu huu ukifyekwa sijuh mtajificha wapi tena.
Usikimbilie kuuita upuuzi. Iko taarifa rasmi iliyotolewa na UVCCM kwamba inaingilia kati suala la mikopo ya wanafunzi wa vyuo vikuu. Swali linaweza kuanzia hapo; kwamba UVCCM ni nani katika suala hili?
 
Vijana wa Ufipa hv mbowe anawalipa shilingi ngapi kwa uongo wa namna hii hv leo ukipelekwa mahakamani unao ushahidi wa upuuzi ulioandika hapa ???? au unadhani kutumia fake id hapa unaweza kuandika chochote tu ukitakacho?? na siku msitu huu ukifyekwa sijuh mtajificha wapi tena.

Usiwe na wasiwasi Mungu bado anafuatilia maombi ya kuwa Malaika washuke wafungie hizi Social media.😳
 
Kama kwa kinywa chake aliwahi kusema hawezi kumsaidia mtoto wa jirani unashangaa hili!!!!!

Siamini uzi huu kama ni wa kweli.
Ni serikali gani ulimwenguni ambayo yaweza kuwabagua wananchi (wanafunzi) wake katika misingi ya vyama?Unapoenda Hospitali na kumkuta bwana mganga ama Daktari hakuulizi wewe ni wa chama gani kabla hajakutibu?
Huwa anatibu watu WOTE na wa vyama vyote.Maana alisomeshwa na SERKALI si CHAMA!
Labda ni Korea Kaskazini peke yake kuliko na ujinga huo!
Maana hili laweza kuwagawa watanzania VIBAYA SANA!
Siaamini kuwa Rais Magufuli anaweza kuinama (THAT LOW) yaani chini kiasi hicho na ATOE AGIZO ABAGUE na kusema wanafunzi wasio wana CCM WASIPATE mikopo.
Hapo sikubali!
Maana atakuwa amepoteza dira kabisa!
Ndiyo maana siamini.
Na kama wanafanya hivyo labda basi ni BEHIND his BACK yaani nyuma ya MGONGO wake ili kumpaka matope na kumchonganisha kati ya serikali yake na wananchi.
Huko ni kufikiria kwangu!
 
Kama kwa kinywa chake aliwahi kusema hawezi kumsaidia mtoto wa jirani unashangaa hili!!!!!

Sijasikia hilo!
Na kama alisema hivyo basi alipitiwa tu. Kumpenda jirani yako kama ujipendavyo ni agizo la Mungu. Maombi yanajibiwa tu tunapowapenda jirani zetu. Utawezaje kumpenda Mungu usiye muona kama usipompenda jirani yako unayemwona?
 
Mimi na kadi 4 za vyama tofauti tofauti. Hii nchi tulikofikia ni kubaya, hapa n kujiongeza tu ukizubaa umeliwa.
 
Pumba tupu hapo, hakuna ukweli wowote!! Kama huna cha kusema mbele ya jamii bora ujae kimya kuliko kupotosha umma kwa malengo yako bnafsi! Mkiadhibiwa mnasema serkal mbaya wakat nyie wenyew ndo wabaya kulko
 
Back
Top Bottom