CCM watatoka madarakani kwa njia ya kura ni muhimu kujiandikisha na kupiga kura

CCM watatoka madarakani kwa njia ya kura ni muhimu kujiandikisha na kupiga kura

Kauli za wapinzani kuimba CCM wanaiba kura au hawezi toka kupitia boksi la kura hazina Afya kabisa .Muitikio wa kujiandikisha umekuwa mdogo sana kwa baadhi ya maeneo .

CCM wanatumia nguvu kubwa kuhakikisha kila mwanaCCM anajiandikisha kupiga kura , Upinzani unatumia nguvu kubwa kuaminisha wanachama wao kuwa CCM wanaiba kura na hawezi kutoka madarakani kwa uchaguzi.

Kauli hizi zinaipa ushindi CCM maana wanaCCM wakipiga kura wanashinda , Upinzani tunakimbilia kusema wanaiba hatupigi kura .

Hapa JF tu sidhani kama kuna hata 5 % ya watu washawahi piga kura uchaguzi wa Serikali za mitaa huko .lakini bado CCM akishinda utasikia kaiba .

Ukiachana na 2020 ambapo hayati Magufuli aliamua kutimiza ahadi yake ya kutorudisha upinzani bungeni baada kumdharau , Upinzani ulikuwa unaingia bungeni , unapata madiwani japo kwa kulinda kura .

Mi nadhani tuendelee kuamini katika boksi la kura sio kila siku CCM itakuwa imara na dola itakuwa upande mmoja , kuna siku yaja CCM itaanguka kama vilivyoanguka vyama vingine.

Kutojiandikisha na kutopiga kura kunaipa Mwanya ccm kupita kihalali lakini pia inakuwa rahisi kufanya udanganyifu .
Shida sio kujiandikisha au kutopiga kura, bali ni shida kubwa ipo kwenye sheria za uchaguzi na mifumo yake. Sheria haziruhusu kufuatilia kura yako kama imeenda kwa uliyemchagua.

View: https://youtu.be/bsMYAk6cWaE?si=j8tcpZYYvhUkCGNE
 
Kauli za wapinzani kuimba CCM wanaiba kura au hawezi toka kupitia boksi la kura hazina Afya kabisa .Muitikio wa kujiandikisha umekuwa mdogo sana kwa baadhi ya maeneo .

CCM wanatumia nguvu kubwa kuhakikisha kila mwanaCCM anajiandikisha kupiga kura , Upinzani unatumia nguvu kubwa kuaminisha wanachama wao kuwa CCM wanaiba kura na hawezi kutoka madarakani kwa uchaguzi.

Kauli hizi zinaipa ushindi CCM maana wanaCCM wakipiga kura wanashinda , Upinzani tunakimbilia kusema wanaiba hatupigi kura .

Hapa JF tu sidhani kama kuna hata 5 % ya watu washawahi piga kura uchaguzi wa Serikali za mitaa huko .lakini bado CCM akishinda utasikia kaiba .

Ukiachana na 2020 ambapo hayati Magufuli aliamua kutimiza ahadi yake ya kutorudisha upinzani bungeni baada kumdharau , Upinzani ulikuwa unaingia bungeni , unapata madiwani japo kwa kulinda kura .

Mi nadhani tuendelee kuamini katika boksi la kura sio kila siku CCM itakuwa imara na dola itakuwa upande mmoja , kuna siku yaja CCM itaanguka kama vilivyoanguka vyama vingine.

Kutojiandikisha na kutopiga kura kunaipa Mwanya ccm kupita kihalali lakini pia inakuwa rahisi kufanya udanganyifu .

KAULI TATA ZA WAZIRI NAPE NAUYE ZILIZO ZUA TAHARUKI / "NITAKUSAIDIA KUSHINDA UCHAGUZI MIMI NI MJANJA.​



View: https://www.youtube.com/watch?v=bsMYAk6cWaE&ab_channel=MUCHKNOWTV



Mimi Ninamkubali Mheshimiwa Nape kwa Kauli zake za Kusema Ukweli.
 
Angalizo
Zipo taarifa kwamba watoto wanaandikishwa kwenye daftari ,kama ni kweli ,hii sio afya wazazi kueni makini , siku kura kuruhusu mtoto under 18 kwenda piga kura ,nikumtafutia mwanao matatizo , hii ipingwe kwa nguvu zote
Mkuu,
Sidhani kama ccm watataka watoto wasiokidhi umri wakapige kura vituoni.

Nia yao ni kupata idadi ya watakao jiandikisha ili waitumie kuoanisha na idadi ya kura zao bandia watakazopiga na kuweka kwenye maboksi kabla ya siku ya uchaguzi
 
Sijawahi kuona matajiri wakienda kujiandikisha na kupiga kura.
Kupiga kura kwa nchi hii ni kwa ajili ya watu wasiojielewa.Viongozi wanaofaidika na mfumo ndio wanatakiwa kwenda kupiga kura.
Kwa vile mshindi anajulikana,kura ina maana gani kama sio mchezo wa maigizo?
Wanatishia eti usipojiamdikisha kupiga kura hutatambulika kama mkazi wa eneo husika na hutahudumiwa na kitongoji wa eneo hilo. Hii imekaeje?
 
Back
Top Bottom