Pre GE2025 CCM waweka ukomo nafasi za ubunge na udiwani viti maalum, waja na kauli mbiu mpya

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Naonaa CCM wanapanga mbinu yakugawana ulaji tuu
 
Wanavyuo na neto wapate wawakirishi a.s.a.p
 
Kwa kuwa jambo hilo linatakiwa liingie kwenye Katiba ya chama,kwa Sasa yanabaki kama mapendekezo ya Halmashauri Kuu kwenda kwenye Mkutano Mkuu.
 
Ccm yakubali mapendekezo ya kuweka ukomo wa viti maalum, mihula miwili kuanzia 2030.
 
Marekebisho ya Kanuni za Uteuzi wa wagombea uongozi katika Vyombo vya Dola? Dola ipi hiyo?

Harafu, ukomo kwenye viti maalum ulipaswa kuanza kuhesabiwa kuanzia kwaka 2025 na sio 2030 na wale wamama waliokaa Bungeni tangu 2005 kwa tiketi za Viti Maalumu wazuiwe kugombea tena
 
Safi sana kwa kuweka Ukomo wa viti maalumu.

"KAZI NA UTU, TUNASONGA MBELE"
 
Ni wazo la chadema wamesoma upepo.Unajua kwa nini wanaogopa chadema wakiambiwa hawana akili utumia wasiojulikana na mwisho ujiona akili zimekosekana wanaamua kufata ya chadema ili wasishitukiwe.
Chadema kuna nini cha kujifunza ? Katiba yenu haina ukomo wa cheo cha mwenyekiti wala wajumbe nyie.mnaongea mawazo tu msiyoyafanyia kazi

Lisu alitumia tu hiyo kama gia ya kupata uongozi alivyoshika umesikia akiongelea ukomo wa cheo chake au kuitisha kikao cha kamati kuu wabadili ukomo kwenye katiba?

Kaufyata kimya anawaimbisha wimbo wa kuwapotezea msahau alichoahidi kukifanyia anawaimbisha wimbo wa no reform no election

Keshawapotezea porini huko.mnaimba kama wehu.mumesahau hiyo agenda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…