Pre GE2025 CCM waweka ukomo nafasi za ubunge na udiwani viti maalum, waja na kauli mbiu mpya

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Huna hoja umejenga hapa badala yake umepost upuz wote walio ulioupitisha majiz I yale,,
 
Hiyo kauli mbiu ni ngumu kuitekeleza na itawapa wakati mgumu sana, anza na kazi mtaani kuna lundo la vijana ambao serikali ya CCM imegoma kuwaajiri toka 2015 na kila mwaka wanaongezeka kwenye kampeni watakuja na mkakati upi wa kuwapa ajira au kazi vijana hao ambao wengi wao ndiyo wapiga kura

Utu hapa napo ni kizingiti kingine maana kuna familia nyingi zenye makovu ya vijana wao waliotekwa na mpk leo hawajulikani mahali walipo na serikali iko kimya na hata wale waliotekwa na baadaye kupatikana au wengine kuuwawa bado serikali imebaki kimya ni utu gani utauhubiri ili wapiga kura wakuamini!?
 
UTU NA KAZI, TUNASONGA MBELE, kwa hiyo KAZI IENDELEE imetupiliwa mbali haitatumika?
 

Naona kama HILI la ukomo wa viti maalumu wamekopa kwa Tundu Antipas Lisu (TAL).alilizungumzia hili wakatinwa kuapishwa kwake
 
Unarudia nini Sasa? Taarifa imepostiwa huko juu unarudia kupost nini Sasa?
 
Labda kwa CCM maana ya utu ni uharamia. wanateka watu wanaomkosoa Rais, wanawapoteza watu wanaomkosoa Rais au Setikali yake, wanawaua wanaomkosoa Rais au Serikali yake, huo ndiyo utu wa CCM!!
 
Chama kinatapatapa pa kushika hakuonekani ,Mungu uyu
 
Kauli Mbiu rasmi ya CCM kwa ajili ya kampeni za Uchaguzi Mkuu wa 2025

"KAZI NA UTU, TUNASONGA MBELE"
 
Kwanini tunapenda kushtukizwa? Ndio maana hata leo Mhe Rais kawaambia wateule wake "kama unautaka kule sema mapema tujue" maana yake uelewa wa jambo mapema inatoa mwanya wa ufahamu, na kutoa maoni kwa mstakbali mwema wa maendeleo. Ni muda sahihi mimi naona kwa mtazamo wangu
 
Naona kama HILI la ukomo wa viti maalumu wamekopa kwa Tundu Antipas Lisu (TAL).alilizungumzia hili wakatinwa kuapishwa kwake
Kazi ya chama tawala ndio hiyo.pia kuchukua mawazo mazuri toka chanzo chochote iwe mwananchi wa kawaida au vyama vya upinzani na kuyafanyia kazi kikiona yana mashiko
 
Tindu kuongea hajambo kutekeleza yuko zero

Mbona hadi lro hajaweka huo ukomo wala kuitisha kamati kuu iweke huo ukomo? Anaongea vitu utekelezaji hamna kitu

Yeye mwenyewe alisema wataweka ukomo wa nafasi ya Mwenyekiti hiyo yake hadi.lro yuko kimya haongelei hilo tena baada ya kuchaguliwa
 
Ukomo wa viti maalum

Kuweka ukomo wa vipindi viwili vya miaka mitano kwa nafasi za ubunge/uwakilishi na udiwani wa viti maalum wanawake. Ukomo huo utaanza kutumika katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2030.
Viti maalumu na viti vyote viwe na ukomo ka ilivyo kwa Rais
 
Ni wazo la chadema wamesoma upepo.Unajua kwa nini wanaogopa chadema wakiambiwa hawana akili utumia wasiojulikana na mwisho ujiona akili zimekosekana wanaamua kufata ya chadema ili wasishitukiwe.
Chadema washindwe kufanya kwao ndio CCM iige nini? Nyumbu kweli wewe. Kina Grace Kiwelu, Suzan Lymo wamekaa tangia lini ndani ya chadema?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…