William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
Mkuu FMES hapa chumbani kuna habari za kutisha zina miminika juu ya tukio hili .Nataka kwenda pale Nyerere square nianze kuona nje ya ofisi za CCM kutakuwa na hali gani .Mkono tena ? Why ?Wacha nithibitishe hizi kwanza .
Mkuu,
Hapa mfano wa Yesu ni JK na .... na ... na Mimi na .... na ....
Well hii taarifa ya CCM , naona kuna ambao imewafurahisha sana, inaonyesha CCM wanaweza wakacheza trick au wakafanya jambo amablo watanzania wapenzi wa CCM wakalifurahia, quotes zote hapo juu zinapelekea
1. Kuwasifu CCM!!!
2. Kuwa alert CCM wasifanye makosa
3. Zinaonyesha ni za wapenzi wa CCM waliochoka na mwenendo wa CCM
4. Mpaka wengine wanamsaidia Kikwete amweke katibu nani!!!!
Hii inanipa picha kuwa CCM kuondoka madarakani ni kazi sana, maana wale wapinzani nao pia ni washabiki wa CCM, yaani ni kama Yanga anacheza na Arsenal huku kuna wachezaji wa Yanga ambao ni arsenal damu!!
Hii hali inatisha, inabidi tukae chini na kujiuliza CCM tangu mwaka miaka ya 60 mpaka leo imefanya nini au ndio kuwa excited na habari za UVCCM?
Kazi hipo, kuna somo kali inabidi litembee hapa
CCM inabidi iondoke madarakani kwa namna yeyote ile!!!! mpo!!!!!
Kama dataz ni hizi za kichama!! nina wasiwasi haya tupo!
what are you exciting for??
We have proved by any means CCM 'hawatatutoa' lets build our strategy how to remove them from power!!
Kesho Kikwete akisema anajiuzulu nafasi yake kuchukuliwa na fulani mnayempenda mtaandamana mtaani kuisifia CCM, kama Mkapa alivyomwachia madaraka Kikwete amekaa pembeni ametulia-anakula nchi na kiwira yake, ndivyo mtakavyofurahi eti kusikia Kiwete amejiuzulu, atakaa pembeni na kula nchi, hao mnaowaona wazuri SIO WAZURI WANGEKUWA WAZURI TU, KAMA WANGEONDOKA CCM, KAMA NYERERE ALIVYOSHAURI, angalau mrema alijaribu
sijaona mwanamapinduzi ktk post hizo hapo juu nimeona washabiki wa CCM waliojificha ndani ya mwamvuli wa wanamapinduzi! ambao wako tayari kutuaminisha kuwa hawaipendi CCM huku wa vinywa na matendo wakiipenda CCM. Sina maana hawatakiwi washabiki a CCM humu la, swala ni kuwa kama mshabiki wa CCM, bado una ndoto kuwa iko siku CCM watafanya mabadiliko naomba, nikuonee huruma sana, CCm ndio waliotufikisha hapa tulipo tukiwa nchi ya pili kwa umaskini duniani, lakini inayoongoza kwa mali asili!
Sorry ,my style of writing this kind of critics is ''message sent' huwa sina utaalamu wa kumuelewesha mtu anayebisha au kupinga nilichoandika
Someni tena post zenu, muwaleze watu kuwa maana yenu ni nini? FMES kweli hulali kisa CCM
haraka haraka naona ktk kundi hilo hapo juu kuna waliokuwa CCM walihama, lakini wana kadamu ka CCM, na wako tayari kurudi wakisikia kitu cha kuwafurahisha HATA KAMA NI KIINI MACHO!!! HATA KAMA HAKILENGI KUWASAIDIA WATANZANIA WOTE!!
''don't mind criticism. If it is untrue, disregard it; if unfair, keep from irritation; if it is ignorant, smile; if it is justified it is not criticism, learn from it''.
waberoya
The more dataz ni kwamba:-
1. CC imepitisha majina 3 ya wagombea uenyekiti wa UV-CCM toka Zanzibar, nao ni Yusuf Hamadi Masauni, Suleiman Haji, na Adila Vuai.
2. Mvutano mkubwa ulizuka katika kuamua nini cha kufanya na uchaguzi wa makamu wa mwenyekiti wa UV-CCM, ambapo katiba inasema wazi kwamba hapa ni lazima atoke bara,
- Baada ya mvutano mkali sana, ikaamuliwa majina ya waliokuwa wakigombea uenyekiti yachujwe na wachaguliwe kutoka kundi hilo kupata mgombea umakamu, kwa hiyo CC imewapitisha wagombea:- Beno Malisa, Hassan Bashe, na Bi Z. Kawawa.
3. Kwa upande wa Mwenyekiti wa Wazazi, leo jina la Mkono limetenguliwa, na kupitishwa majina matatu nao ni Bulembo, Mhina, na Mama Nyawazo.
4. Umoja wa kina mama, huko yameachwa majina yale yale matatu, yaani Mama Janet Kahama, Mama Sophia Simba, na Mama Masunga.
Kikao kinaendelea bado na tutaoa more dataz zitakapopatikana tu, ingawa sasa hivi ninapoandika ndio inajadiliwa agenda ya yaliyojiri Tarime, yaani Makamba na Msekwa on the hot seat.
So far hay ndio maamuzi muhimu yaliyofanyika, lakini baadaye tutakwua na more breakdown ya exactly yaliyojiri ndani ya kikao cha jana na leo.
Ahsante Wakuu!
Kwa hiyo huko CCM huyo Yesu Kristo ni nani anayefananishwa nae? Ingawa naweza kuikubali katika muktadha wa "Msafara wa mamba, na kenge wamo", sijawahi kuona wala kusikia kuwa mamba wameonekana kwenye msafara wa kenge! Na kwa kiingereza kuna nyingine: "Birds of a feather flock together".
Mkuu Kithuku, Heshima mbele;
Watu kama JK na Pinda ni watu safi ambao ninaweza kusema kuwa ni "wale wanaokula na wenye dhamb" lakini wao ni watu safi.
Wengine walio safi nitasema baadaye.
Hii ya kumtoa Mkono ni kwamba anaogopa a Strong figure kwenye CC., maana wengine watakuwa vibaraka tu.
Hivi mkono si alikuwemo kwenye list ya mafisadi ya Dr. Slaa, au? Halafu si alisema anaenda mahakamani kumshitaki Dr. Slaa kwa sababu ya ile list hivi alijaishia wapi?
The more dataz ni kwamba:-
1. CC imepitisha majina 3 ya wagombea uenyekiti wa UV-CCM toka Zanzibar, nao ni Yusuf Hamadi Masauni, Suleiman Haji, na Adila Vuai.
2. Mvutano mkubwa ulizuka katika kuamua nini cha kufanya na uchaguzi wa makamu wa mwenyekiti wa UV-CCM, ambapo katiba inasema wazi kwamba hapa ni lazima atoke bara,
- Baada ya mvutano mkali sana, ikaamuliwa majina ya waliokuwa wakigombea uenyekiti yachujwe na wachaguliwe kutoka kundi hilo kupata mgombea umakamu, kwa hiyo CC imewapitisha wagombea:- Beno Malisa, Hassan Bashe, na Bi Z. Kawawa.
3. Kwa upande wa Mwenyekiti wa Wazazi, leo jina la Mkono limetenguliwa, na kupitishwa majina matatu nao ni Bulembo, Mhina, na Mama Nyawazo.
4. Umoja wa kina mama, huko yameachwa majina yale yale matatu, yaani Mama Janet Kahama, Mama Sophia Simba, na Mama Masunga.
Kikao kinaendelea bado na tutaoa more dataz zitakapopatikana tu, ingawa sasa hivi ninapoandika ndio inajadiliwa agenda ya yaliyojiri Tarime, yaani Makamba na Msekwa on the hot seat.
So far hay ndio maamuzi muhimu yaliyofanyika, lakini baadaye tutakwua na more breakdown ya exactly yaliyojiri ndani ya kikao cha jana na leo.
Ahsante Wakuu!
Mkuu Kithuku, Heshima mbele;
Watu kama JK na Pinda ni watu safi ambao ninaweza kusema kuwa ni "wale wanaokula na wenye dhamb" lakini wao ni watu safi.
Wengine walio safi nitasema baadaye.
Ndio hapo usemi wote kuwa issue hii ni sawa tu na kuchanga karata upya...Karata ni zile zile na chaguo la Mungu ni lile lile...Mungu na awaepushe watanzania na manabii wa uongo.
Amen.
Mkuu Jo... Mushi, heshima yako.
ulichoomba unakiamini au ni kwavile umeona na kusikia wengine wakiomba?
Unapoomba unamuomba Mungu yupi?
Nyongeza ya watu safi: Msekwa, Makamba, ... wengine nitaongeza baadaye.
Mkuu Jo... Mushi, heshima yako.
ulichoomba unakiamini au ni kwavile umeona na kusikia wengine wakiomba?
Unapoomba unamuomba Mungu yupi?
Nyongeza ya watu safi: Msekwa, Makamba, ... wengine nitaongeza baadaye.
Hata hivyo FMES nawatakia kila la kheri kwani njia mliyoichaguwa ni nyie mtakayoipita na muhakikishe ni constructive na si politics as usual.
Mkuu,
Hapa mfano wa Yesu ni JK na .... na ... na Mimi na .... na ....