Well hii taarifa ya CCM , naona kuna ambao imewafurahisha sana, inaonyesha CCM wanaweza wakacheza trick au wakafanya jambo amablo watanzania wapenzi wa CCM wakalifurahia, quotes zote hapo juu zinapelekea
1. Kuwasifu CCM!!!
2. Kuwa alert CCM wasifanye makosa
3. Zinaonyesha ni za wapenzi wa CCM waliochoka na mwenendo wa CCM
4. Mpaka wengine wanamsaidia Kikwete amweke katibu nani!!!!
Hii inanipa picha kuwa CCM kuondoka madarakani ni kazi sana, maana wale wapinzani nao pia ni washabiki wa CCM, yaani ni kama Yanga anacheza na Arsenal huku kuna wachezaji wa Yanga ambao ni arsenal damu!!
Hii hali inatisha, inabidi tukae chini na kujiuliza CCM tangu mwaka miaka ya 60 mpaka leo imefanya nini au ndio kuwa excited na habari za UVCCM?
Kazi hipo, kuna somo kali inabidi litembee hapa
CCM inabidi iondoke madarakani kwa namna yeyote ile!!!! mpo!!!!!
Kama dataz ni hizi za kichama!! nina wasiwasi haya tupo!
what are you exciting for??
We have proved by any means CCM 'hawatatutoa' lets build our strategy how to remove them from power!!
Kesho Kikwete akisema anajiuzulu nafasi yake kuchukuliwa na fulani mnayempenda mtaandamana mtaani kuisifia CCM, kama Mkapa alivyomwachia madaraka Kikwete amekaa pembeni ametulia-anakula nchi na kiwira yake, ndivyo mtakavyofurahi eti kusikia Kiwete amejiuzulu, atakaa pembeni na kula nchi, hao mnaowaona wazuri SIO WAZURI WANGEKUWA WAZURI TU, KAMA WANGEONDOKA CCM, KAMA NYERERE ALIVYOSHAURI, angalau mrema alijaribu
sijaona mwanamapinduzi ktk post hizo hapo juu nimeona washabiki wa CCM waliojificha ndani ya mwamvuli wa wanamapinduzi! ambao wako tayari kutuaminisha kuwa hawaipendi CCM huku wa vinywa na matendo wakiipenda CCM. Sina maana hawatakiwi washabiki a CCM humu la, swala ni kuwa kama mshabiki wa CCM, bado una ndoto kuwa iko siku CCM watafanya mabadiliko naomba, nikuonee huruma sana, CCm ndio waliotufikisha hapa tulipo tukiwa nchi ya pili kwa umaskini duniani, lakini inayoongoza kwa mali asili!
Sorry ,my style of writing this kind of critics is ''message sent' huwa sina utaalamu wa kumuelewesha mtu anayebisha au kupinga nilichoandika
Someni tena post zenu, muwaleze watu kuwa maana yenu ni nini? FMES kweli hulali kisa CCM
haraka haraka naona ktk kundi hilo hapo juu kuna waliokuwa CCM walihama, lakini wana kadamu ka CCM, na wako tayari kurudi wakisikia kitu cha kuwafurahisha HATA KAMA NI KIINI MACHO!!! HATA KAMA HAKILENGI KUWASAIDIA WATANZANIA WOTE!!
''don't mind criticism. If it is untrue, disregard it; if unfair, keep from irritation; if it is ignorant, smile; if it is justified it is not criticism, learn from it''.
waberoya