Soma
HAPA.Ubishi mwingine ni for the sake ya kubisha tu.Could you be gentleman enough na kukiri kuwa ulichemka ku-criticize kabla hujawa na data za kutosha?Simpe rule ya criticism iko hivi:usikosoe kitu ambcho wewe mwenyewe huna data za kutosha kuhusu unachokikosoa.
Mlalahoi,
Hujaelewa. Au huwa huelewi.
Moja, Nionyeshe ni wapi kwenye hilo gazeti waliposema, kama alivyodai mleta dataz, na kama nilivyopinga, kwamba Rais Kikwete ndio amejiamulia kuengua majina ya Watanzania Bara.
Mbili, Nionyeshe ni wapi kwenye hilo gazeti waliposema, kama alivyodai mleta dataz, na kama nilivyopinga, kwamba Kikwete ametamka kwamba UV - CCM kulijaa rushwa.
Tatu, Nionyeshe ni wapi kwenye hilo gazeti waliposema, kama alivyodai mleta dataz, na kama nilivyo question, kwamba Nape ametupwa nje ya kinyang'anyiro lakini hapo hapo wamepitisha rufaa yake ya kutaka kuwa ndani ya kinyang'anyiro.
Nne, Nionyeshe ni wapi kwenye hilo gazeti waliposema, kama alivyodai mleta dataz, na kama nilivyopinga, kwamba Kikwete amemuhusisha mtoto wake na rushwa ndani ya CCM.
Tano, Nionyeshe ni wapi kwenye hilo gazeti waliposema, kama alivyo indicate mleta dataz, na kama nilivyopinga, kwamba mkutano ulikuwa Dodoma na sio Ikulu, Magogoni.
Nionyeshe sehemu moja niliyokosea katika issues tano nilizo zi raise. Moja tu, please!
Kuna vitu vinginge ukisikia tu unajua ni uongo on its face. Kikwete atam lambast vipi mtoto wake kwa rushwa ndani ya kikao cha Central Committee bwana ? Think about it man. Yani am vindicate Kubenea kwamba kuna fissures ndani ya familia ya Kikwete?
Nionyeshe nilipokosea, na ukishindwa kunionyesha usilalamike nikikwambia kwamba wewe huna sophistication ya kuchambua ninavyovichambua.