General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,303
- 23,064
Jiwe hamalizi 2020
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ohoooo!!!Jiwe hamalizi 2020
Of course, ataamrisha NEC kumpa ushindi na polisi watawezesha mchakato huo. Hatujasahau uwezo huo wa ccm!2020 JPM hata asipopiga kampeni, ushindi ni dhahiri tena kuanzia 90% and above.
Huyo mteule anajua vema kazi makini ya NEC na polisi ila anahitaji watu waonekana kupanga foleni na kupiga kura hata kama kura zao hazina uwezo wa kuamua nani mshindi! Very sick!Huo ujumbe angewapa NEC na POLISI
Maana wananchi kura zao hazina tija.
Hao jamaa sasa si nimesikia wanafyekelewa mbali na wananchi?ukweli ni kwamba baada ya Magufuli kuuwa ccm tegemeo kubwa limebaki kwa polisi ambao nao wanapigwa sana vita na jumuiya ya kimataifa , inayosisitiza demokrasia
haya kulikoni mnaanza kampeni za uchaguzi 2018???
Mnaogopa nini???
Bado kitambo kidogo tu.CHADEMA is becoming stronger than ever!
Mkuu vipi, wamedukua account yako?Nasema hivi kwanza tunataka waangalizi wa kimataifa huru UN na nchi zenye kufuata Demokrasia kusiwepo na askari waliobeba silaha katika uhesabuji wa kura.
Account Yangu ni ile ile nimegundua raisi anayesema kuwa yeye ni mpiingaji wa ufisadi wakati fedha zinatumiwa kuwahonga wabunge (wa Chadema na CUF) ili kuwahamisha kinyume na matakwa yao.na bado fedha zinapotezwa zaidi katika chaguzi mdogo,walipaji wa kodi wenyewe ni sisi.Mkuu vipi, wamedukua account yako?
🙄🙄🙄Account Yangu ni ile ile nimegundua raisi anayesema kuwa yeye ni mpiingaji wa ufisadi wakati fedha zinatumiwa kuwahonga wabunge (wa Chadema na CUF) ili kuwahamisha kinyume na matakwa yao.na bado fedha zinapotezwa zaidi katika chaguzi ndogo,walipaji wa kodi wenyewe ni sisi.
Wao wanakwepa kodi wakiambiwa walipe wañatupiga mkwara kuwa tukijaribu kuyanunua watatulaani.(makontena)
Halafu Raisi anakuwa mpole kama piritone.
Very sad!
Sure. Siyo kampeni tu, hata asipopigiwa kura ushindi ni 90% +2020 JPM hata asipopiga kampeni, ushindi ni dhahiri tena kuanzia 90% and above.
Haya mkuu!🙂🙂🙂 Ni mimi ila kutetea ubadhirifu uonevu basi.
Kama itakufa kwann mnaombwa msimuangushe 2020?Tena itakufa kifo cha mende
Endeleeni kuamini hivyoo,,,itaibuka kwa kishindo kikuu ,,option pekee itakayowabeba ni polisiTena itakufa kifo cha mende