Sasa hivi hakuna subiri hicho utakacholetewa ukikubali au ukikatae
Ndg nw ndo naelewa kwanini NCH zetu hizi za KiAFRCA haziendelei 7bu yakubishana kijinga hata km ukweli mtu anaujua Kukwama huku kuna watu walikuona tangu zamani walipotwambia tukabisha kwamba walikuwa wanataka umaarufu ss Leo yametokea tumepoteza mapesa bila kupata tulichokusdia kwanini hatukukataa tangu mwanzo? Mkuu wakati mwingine huwa najidharau kuzaliwa MTU MWEUSI manake mambo tunayofanya niyakijinga sana!
kwa hiyo kumbe na wewe ni mmoja wetu tunayeamini kuwa wapinzani wapo sahihi??? tunaoamini kuwa ccm hawana nia ya kuleta katiba ya watz wote??? unapolaumu wapinzani huku ukisapoti ccm una maana ipi??? ni unafiki au???? wewe binafsi umeshiriki vp kuhakikisha tunapata katiba bora????? ulitaka nani akupiganie huku wewe ukiendekeza ushabiki wa kijinga kwa magamba???? nani ana wajibu wa kukupigania wewe badalla ya kujipigania????? Amka iunge mkono cdm ili kwa pamoja tupiganie maslahi mapana ya taifa letu!!!!
Usonge ugali,ule,ukojoe,ulale! kwakwakwakwa,tehe tehe tehe tehe. sina mbavuNgoja nikasonge Ugali wangu wa muhogo na kisamvi cha karanga nile nikojoe nikalale mie.
Ujenzi wa ofisi ya mwenyekiti wa bunge la katiba utaanza punde Urambo. ..
Huyu ni CCM damu damu kwahiyo tusimuamini sana licha ya kuwa na record nzuri.hapo kweli mkuu kwa SITTA nadiriki kusema watanzania tumepata
Kwani ile ofisi ya zamani imebomoka?
Wajumbe wa CCM wamempitisha Sitta kugombea uenyekiti wa Bunge la katiba huku bwana Andrew Chenge akiripotiwa kujitoa.
CHANZO:Nipashe.
MY TAKE:
Makamu mwenyekiti asitoke CCM na hili wajumbe wengine wasikubali kabisa.
Ni vema makamu mwenyekiti atoke katika vyama au tasisi nyingine.
Makamu ni lazima awe wa kutoka nchi jirani kwahiyo apigiwe chapuo wa Cuf.
Huyu ni CCM damu damu kwahiyo tusimuamini sana licha ya kuwa na record nzuri.
Kumbuka tu "Zimwi likujualo,halikuli ukakwisha".
hongera sana CCM. SAM 6 ndio option yangu. nimefurahi sana. Lowasa kwisha. Bravo Samwel 6.
Wajumbe wa CCM wamempitisha Sitta kugombea uenyekiti wa Bunge la katiba huku bwana Andrew Chenge akiripotiwa kujitoa.
CHANZO:Nipashe.
MY TAKE:
Makamu mwenyekiti asitoke CCM na hili wajumbe wengine wasikubali kabisa.
Ni vema makamu mwenyekiti atoke katika vyama au tasisi nyingine.