dolevaby
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 12,958
- 9,516
Sasa hivi hakuna subiri hicho utakacholetewa ukikubali au ukikatae
Ndg nw ndo naelewa kwanini NCH zetu hizi za KiAFRCA haziendelei 7bu yakubishana kijinga hata km ukweli mtu anaujua Kukwama huku kuna watu walikuona tangu zamani walipotwambia tukabisha kwamba walikuwa wanataka umaarufu ss Leo yametokea tumepoteza mapesa bila kupata tulichokusdia kwanini hatukukataa tangu mwanzo? Mkuu wakati mwingine huwa najidharau kuzaliwa MTU MWEUSI manake mambo tunayofanya niyakijinga sana!