atajiunga ACT wazalendo kugombea uraisi, CHADEMA hana nafasi 2020Twende na Lissu
Hata mm binafsi huwa sioni impact yoyote kwa Membe,labda kama simjui vema
Kwanini usimpeleke cuf chama cha msajili na mahakamaNaona atakwenda CHADEMA kuchukua nafasi ya Lowassa
Ujitoe CCM? Ujipendi?
Na jamaa hawawezi kukataa.Wenye chama wakimtaka wanambeba tu.
Sio kwa CCM hii ya kutumia Mikono na Miguu !Nje ya CCM hakuna lolote analoweza kufanya.
Acha uongo wewe aliyefukuzwa ni mume wenu Membe!
Chadema wakimchukua nitajua ni wagonjwa wa akili.Haya chadema.... Mavuno hayoooo
Ni sawa ila Zitto na Lipumba ni wakwenda nae kwa akili sana,sababu game inaonyesha dakika ya mwisho Zitto atajitoa na kumchukua Membe ilikugawana kura ya wapinzani na adui wao kupita kirahisi MEKOUpinzani mwaka huu anasimama mtu mmoja tu kwaniaba ya vyama vyote.nasikia majadiliano yanaendeelea
Atulie kujitafakari na kutathmini hali yake ya kisiasa. Kosa ni pale atakapohamia upinzani.Kinana apewa onyo
Makamba asamehewa
Membe afukuzwa uanachama
Jr[emoji769]
CHADEMA wakirudia kosa itakuwa Ni Tatizo kubwa.Bora wasiweke mgombea kwa kukosa mgombea kuliko kumchukua Membe
Sent using Jamii Forums mobile app