CCM yamfukuza uanachama Bernard Membe, Kinana apewa karipio kali huku Makamba akitoka salama

CCM yamfukuza uanachama Bernard Membe, Kinana apewa karipio kali huku Makamba akitoka salama

Mbona CV haisemi shahada zilipatikana wapi? Na mwishoni inaonyesha hii ni CV iliyoandaliwa kipindi cha uchaguzi uliopita siyo? Maana kusema 2006 hadi sasa ni Mjumbe wa Baraza la Mawaziri! Mhh..
 
....two options.
1.wanazuiwa kufanya siasa for sometime -mpaka uchaguzi upite
2.watasema tumewasamehe lakn mmeonywa

.....hawana uwezo wa kuwafanya nje ya hayo mawili coz wanajua nguvu ya Kinana si ya kitoto

Sent using Jamii Forums mobile app
Unatutisha, ujue tu kuwa hata Maalim seif alifukuzwa ndani ya CCM na sasa amefukuzwa CUF
 
Tunasema Siku zote, hivi vyama Ni Mali ya watu badala ya taasisi, membe kafukuzwa uwanachama kwa sababu ya kutaka kumpinga jpm ndani ya ccm kugombea urais sio kingine.
Nadhani huko ni kurahisisha mambo... labda hujakielewa CCM. Angalia vizuri...
 
Daaaa!!!! Kumbe Membe anaheshimika hivi!!!..si kawaida ametumika kitaifa na kimataifa.

Hata kuongea na hako kajikamati ni kujishusha sana.

Rais jiwe hamfikii, kwa umaarufu Duniani...kumbe ndo maana anamuonea wivu ,

aliteta na mabwana wa Dunia toka kitambo Bush Family?
Aende wampe maujanja ya kupenya kirahisi kwenye Urais!!!

Ila alichoniudhi membe haku-wa na guts za kuishawishi Israel ki-diplomasia na ni muhimu sana, hii nchi!!!
 
CV ya leo ilistahili kuonesha alivyofukuzwa uanachama wa CCM.
 
Wenye chama KWAHERI wamebaki walio kuwa wapinzani was CCM miaka yoote . Daaaah inasikitisha saana ila huyu jamaa anaweza kuwa ni nabii was Zama hizi pamoja na mambo mengine mengi y'all mtokea Bado ana vision kubwa saana .

Mungu akuweje jamaa[emoji116][emoji116]



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vyama vya upinzani kaeni mbali na mtu huyu, hakuna ugomvi kati yao ila mipango tu ya kuuteketeza upinzani Nchini, TUSIMUAMINI. Nyoka tofauti sumu ileile kama ya mamvi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inajulikana wazi mwana ccm yoyote akitoka ndani ya ccm anakuwa sawa na Simba wa kuchorwa tu.

Atulie tu asimamie biashara zake, akijifanya mjuaji watamlegegeza kila kitu... Hizi nchi za kijamaa Chama na Raisi ndio kila kitu.
Akijidai mjanja atanyea debe, mabilioni ya Kadhafi. Yaani CCM hapo wanamsubiria ni vipi atareact. CCM=Magufuli.
 
Ni lini ulisikia amelalamika mkuu? Yeye alishasema angetaka angewashtaki kamati kuu ila anaacha yapite. Chama kikaamua kuchukua hatua. Halafu mambo ya CCM waachie wenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
KAMA MAMBO YA CCM TUWAACHIE WENYEWE SASA MNAYALETA KWETU YA NINI? MNATWAMBIA YA NINI WAKATI HAYATUHUSU? MNAFANYA PRESS RELEASE YA NINI WAKATI HAYATUHUSU?
 
Jiwe anachekesha kweli, hajui kuwa Membe team walikuwa wanataka afanye hivyohivyo. Sasa Moto uliowashwa kwa kumfukuza Membe mtaouona muda si mrefu.

Zaidi naona anenda kufa kifo cha mende cha kisiasa. Angalau Lowassa alikuwa na nguvu wakati ule, lakini nguvu ya Membe haiwezi kuitingisha CCM.
 
Jiwe anachekesha kweli, hajui kuwa Membe team walikuwa wanataka afanye hivyohivyo. Sasa Moto uliowashwa kwa kumfukuza Membe mtaouona muda si mrefu.

Zaidi naona anenda kufa kifo cha mende cha kisiasa. Angalau Lowassa alikuwa na nguvu wakati ule, lakini nguvu ya Membe haiwezi kuitingisha CCM.
 
Vyama vya upinzani kaeni mbali na mtu huyu, hakuna ugomvi kati yao ila mipango tu ya kuuteketeza upinzani Nchini, TUSIMUAMINI. Nyoka tofauti sumu ileile kama ya mamvi

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo ni uwezo mdogo wa Upinzani kuelewa uaminifu wa wanaohama au kuondolewa CCM wakati CCM inawameza wanaohama upinzani kwa ufahamu zaidi.

Upinzani wana hali ngumu tu! Kipindi cha utulivu na kuzuiliwa kwa shughuli za kisiasa, walistahili kuwatafuta wanachama wenye niya njema, badala yake wao wamejivunia kuandikisha wanachama wengi ambao ni invisible.
 
Back
Top Bottom