LGE2024 CCM yashinda 98.83% Wenyeviti Serikali za Mitaa

LGE2024 CCM yashinda 98.83% Wenyeviti Serikali za Mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
uchaguzi ni mchakato endelevu ambao muhisika hatakuwi kumessup hata hatua moja...

haya ni matokeo ya uvuguvugu na mawenge ya upinzani, hususani chadema tangu uandikishaji 🐒
Tunajua unaandika kwa kujikaza na kujizima data.
Njaa mbaya Sana kijana.
 
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais -TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa ametangaza matokeo ya jumla ya serikali za mtaa, ambapo katika nafasi ya Mwenyekiti wa kijiji katika vijiji 12,271 Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeongoza kwa kupata nafasi 12,150 sawa na asilimia 99.01 huku Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kikipata jumla ya viti 97 sawa na asilimia 0.79 ACT Wazalendo imeshinda nafasi 11 sawa na asilimia 0.09, CUF imeshinda nafasi 10 sawa na asilimia 0.08.

NCCR Mageuzi imeshinda nafasi 1 sawa na asilimia 0.01, UMD imeshinda nafasi 1 sawa na asilimia 0.01 na ADC imeshinda nafasi 1 sawa na asilimia 0.01
 
Mods rekwbisheni heading isomeke CCM yashinda na muongeze wenyeviti wa vijiji.
 
Hongera sana CCM kwa ushindi mzito.

Wale wa kulia machozi baada ya kila uchaguzi sasa uwanja ni wenu.

CCM inaanza maandalizi ya mgombea wa urais na wabunge.
 
Waziri wa Nchini Ofisini ya Rais TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa ametangaza matokeo ya jumla ya uchaguzi wa serikali za mtaa kwa mwaka 2024

Uandikishaji wa Wapiga Kura
Zoezi lolifanyika Octoba 11 mpaka 20, 2024 ambapo jumla ya wapiga kura Milioni 31,282,331 walijiandikisha, baada ya mapingamizi wananchi waliojiandikisha walikuwa Milioni 31,255,303

Kupiga Kura
Wananchi waliopiga kura Novemba 27, 2024 walikuwa milioni 26,963,182 ambayo ni sawa na 86.36% ya wananchi waliokuwa na sifa ya kupiga kura.

Soma Pia:

Katika nafasi ya Mwenyeviti wa serikali za mtaa Katika maeneo yalifanya uchaguzi wa serikal za mtaa 27 Novemba, 2024 ilikuwa ni 4264 kati ya nafasi 4264 zilizopaswa kufanya uchaguzi

Kati ya nafasi hizo CCM imeshinda nafasi 4213 za wenyeviti wa mtaa sawa na 98%.83 huku CHADEMA nafasi 36 sawa na 0%.84 ACT Wazalendo imeshinda nafasi 9 sawa na 0%.21, CUF imeshinda nafasi 4 sawa 0%.09 na CHAUMA imeshinda nafasi 1 sawa na 0%.02.

😂😂😂 yaani watu wamekuwa misukule
 
Waziri wa Nchini Ofisini ya Rais TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa ametangaza matokeo ya jumla ya uchaguzi wa serikali za mtaa kwa mwaka 2024

Uandikishaji wa Wapiga Kura
Zoezi lolifanyika Octoba 11 mpaka 20, 2024 ambapo jumla ya wapiga kura Milioni 31,282,331 walijiandikisha, baada ya mapingamizi wananchi waliojiandikisha walikuwa Milioni 31,255,303

Kupiga Kura
Wananchi waliopiga kura Novemba 27, 2024 walikuwa milioni 26,963,182 ambayo ni sawa na 86.36% ya wananchi waliokuwa na sifa ya kupiga kura.

Soma Pia:

Katika nafasi ya Mwenyeviti wa serikali za mtaa Katika maeneo yalifanya uchaguzi wa serikal za mtaa 27 Novemba, 2024 ilikuwa ni 4264 kati ya nafasi 4264 zilizopaswa kufanya uchaguzi

Kati ya nafasi hizo CCM imeshinda nafasi 4213 za wenyeviti wa mtaa sawa na 98%.83 huku CHADEMA nafasi 36 sawa na 0%.84 ACT Wazalendo imeshinda nafasi 9 sawa na 0%.21, CUF imeshinda nafasi 4 sawa 0%.09 na CHAUMA imeshinda nafasi 1 sawa na 0%.02.

Futuhiiiiiiiiii ndiyo ni FUTUHI.
 
Mimi huwa sielewi kwanini tunapoteza mabilioni ku organise uchaguzi wakati tumeshaamua nani ashinde. Ni vizuri hata mwakani tuambiwe tu uchaguzi wa ndani wa CCM ukiisha basi ndio huyo huyo awe mbunge na Rais kuliko hizi hasara na mabilion yanayoteketezwa.

Mama Samia alianza vizuri sijui shida gani imempata naye anarudia yale yale aliyokosoa kuhusu chaguzi za 2019 na 2020. Sijui lini akili ya mtu mweusi itabadilika
Kwa kifupi hakuna hata shilingi moja inayopotea labda tu kama hauko kwenye mkondo wa kupata hiyo hela, sema madhumuni ya huo uchaguzi ndio shida.Kutokana na huo uchaguzi uchumi kwa wafanyakazi na wafanyabiashara uchangamka kwa kiwango kikubwa hiyo nayo ni faida kwa serikali kwa wananchi wake ila uchaguzi mkuu hiyo ni hasara tupu sijui mnufaika wa hayo mabilioni huwa ni mchina??
 
Mimi huwa sielewi kwanini tunapoteza mabilioni ku organise uchaguzi wakati tumeshaamua nani ashinde. Ni vizuri hata mwakani tuambiwe tu uchaguzi wa ndani wa CCM ukiisha basi ndio huyo huyo awe mbunge na Rais kuliko hizi hasara na mabilion yanayoteketezwa.

Mama Samia alianza vizuri sijui shida gani imempata naye anarudia yale yale aliyokosoa kuhusu chaguzi za 2019 na 2020. Sijui lini akili ya mtu mweusi itabadilika
Hii kitu inaongeza madalali wa viwanja na matapeli wa ardhi
 
uchaguzi ni mchakato endelevu ambao muhisika hatakuwi kumessup hata hatua moja...

haya ni matokeo ya uvuguvugu na mawenge ya upinzani, hususani chadema tangu uandikishaji 🐒
Wanapigwa Pini za kutosha mpaka wanaita maji mma
 
uchaguzi ni mchakato endelevu ambao muhisika hatakuwi kumessup hata hatua moja...

haya ni matokeo ya uvuguvugu na mawenge ya upinzani, hususani chadema tangu uandikishaji 🐒
Screenshot_20241128_104726_WhatsApp.jpg
 
Waziri wa Nchini Ofisini ya Rais TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa ametangaza matokeo ya jumla ya uchaguzi wa serikali za mtaa kwa mwaka 2024



Kati ya nafasi hizo CCM imeshinda nafasi 4213 za wenyeviti wa mtaa sawa na 98%.83 huku CHADEMA nafasi 36 sawa na 0%.84 ACT Wazalendo imeshinda nafasi 9 sawa na 0%.21, CUF imeshinda nafasi 4 sawa 0%.09 na CHAUMA imeshinda nafasi 1 sawa na 0%.02
Ebu fikiria hili!
Waziri wa ccm... mkwe wa SSH... wizara yake ndo imepewa dhamana ya kusimamia uchaguzi wa Serikali za Mitaa nchi nzima!
Huu uchafuzi si bahati mbaya. Ni matokeo ya wendawazimu na kejeli za wazi!
Kufuatacho mkwe atapewa pongezi na kunyanyuliwa zaidi!
 
Gentleman only one side but ccm rude
CCM is the one, and only the architecture of the development in this beautiful republic of Tanzania, and not otherwise..

so,
relax gentleman 🐒
 
Unategemea mshangazi upambane kupata kura halali thubuuutu. Dawa chungu ila ya ukweli ni kuingia front kupambania heshima iliyopotozwa na ssm na adui mkubwa ni polisi
 
Back
Top Bottom