Uchaguzi 2020 CCM yataja siri ya wagombea wake kutoenguliwa NEC

Uchaguzi 2020 CCM yataja siri ya wagombea wake kutoenguliwa NEC

Nani asiyejua kama wagombea wa CCM kuanzia ngazi ya urais mpaka udiwani walikosea kujaza fomu!!! Kwa sababu ya njaa zenu hata aibu hamna! Wanyonyaji wa kwanza tz ni CCM, ndiyo maana hamtaki kutoka madarakani mnawaza mtakula nini?
Just imagine upinzani unashinda urais hawa CCM jobless walojazana tz wataishi vipi? Watoto wao watasomaje?
Leta uthibitisho hapa wa hao walikosea kujaza fomu, usituletee porojo zako.
Unaposema CCM wanyonyaji unamaanisha nini?? Unaelewa maana ya unyonyaji wewe??
 
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimetoa siri kuhusu wagombea wake kutoenguliwa na Tume ya Uchaguzi kwenye uchaguzi huu mkuu kwa kigezo cha kishindwa kujaza fomu. Aliyefichua siri hiyo alikuwa ni katibu mkuu wa chama hicho Dkt. Bashiru Ally, katika mahojiano na shirika la utangazaji la BBC, kuhusiana na mambo mbalimbali kuelekea uchaguzi mkuu. Katibu mkuu alijibu kuwa si swala la mbinu kwenye kufanya wagombea wa chama hicho kutoenguliwa na Tume bali ni swala la kufata sheria na kanuni.

Dkt. Bashiru alisema kwa upande wa CCM vitengo vya sheria vinavyosimamia na kuruhusu wagombea wa ngazi zote kujaza fomu na kisha kuhakikiwa na hali hiyo imefanya wagombea wa Ubunge 28 wa CCM wapite bila kupingwa na wanasubiri kuapishwa.
Useless CCM; tangu lini katika nchi gani yenye demokrasia Tume ya Taifa ya Uchaguzi huwekea wagombea mapingamizi?
 
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimetoa siri kuhusu wagombea wake kutoenguliwa na Tume ya Uchaguzi kwenye uchaguzi huu mkuu kwa kigezo cha kishindwa kujaza fomu. Aliyefichua siri hiyo alikuwa ni katibu mkuu wa chama hicho Dkt. Bashiru Ally, katika mahojiano na shirika la utangazaji la BBC, kuhusiana na mambo mbalimbali kuelekea uchaguzi mkuu. Katibu mkuu alijibu kuwa si swala la mbinu kwenye kufanya wagombea wa chama hicho kutoenguliwa na Tume bali ni swala la kufata sheria na kanuni.

Dkt. Bashiru alisema kwa upande wa CCM vitengo vya sheria vinavyosimamia na kuruhusu wagombea wa ngazi zote kujaza fomu na kisha kuhakikiwa na hali hiyo imefanya wagombea wa Ubunge 28 wa CCM wapite bila kupingwa na wanasubiri kuapishwa.
Si kweli tume ni yenu, na haiwezi thubutu hata kukiwa na mapungufu!
Sheria na kanuni zipo kuwashikisha adabu upinzani!
 
Nani asiyejua kama wagombea wa CCM kuanzia ngazi ya urais mpaka udiwani walikosea kujaza fomu!!! Kwa sababu ya njaa zenu hata aibu hamna! Wanyonyaji wa kwanza tz ni CCM, ndiyo maana hamtaki kutoka madarakani mnawaza mtakula nini?
Just imagine upinzani unashinda urais hawa CCM jobless walojazana tz wataishi vipi? Watoto wao watasomaje?
Na haitokuja kutokea maana mpaka sasa ulipanzi hauko strong ,wenyew kwa wenyew wanagombana[emoji23][emoji23]
Just imagine siku zimebak chache kuelekea kwenye kampeni alafu mrafaruku unatokea kati yao, mnawaweka sehem gani wapiga kura,

Me nawaombea waendelee kugombana hivyo hivyo mpk siku ya uchaguzi , sisi tukiendelea kuchanja mbuga hatimaye kupata Ushindi.

Kura yangu kwa Magufuli [emoji736][emoji736][emoji736][emoji736]
 
Alikoseaje? Tufahamishe hapa Ili nasi tukufahamishe namna kibaraka wenu alivyoachwa agombee licha ya kasoro tatu kubwa ambazo zingemuengua...
 
Wagombea wa Ccm watapigiwa kura na

Nani asiyejua kama wagombea wa CCM kuanzia ngazi ya urais mpaka udiwani walikosea kujaza fomu!!! Kwa sababu ya njaa zenu hata aibu hamna! Wanyonyaji wa kwanza tz ni CCM, ndiyo maana hamtaki kutoka madarakani mnawaza mtakula nini?
Just imagine upinzani unashinda urais hawa CCM jobless walojazana tz wataishi vipi? Watoto wao watasomaje?
Si kweli,chama cha Mapinduzi kina utaratibu mzuri sana wa kutoa maelekezo kwa wagombea wake na viongozi huwa wanazikaugua kabla hazija wasilishwa sehemu husika...Lakini Upinzani hata ofisi hawana kila mmoja anafanya lake ..
 
Upuuzi mtupu.

Kwanini hawi mkweli kwa kusema kuwa wao CCM wanabebwa na mbekeko ya Tume ya Uchaguzi?
Hakuna anaebebwa kama makosa mmeyafanya nyie kwa stress zenu mnafanya mambo kwa papara, CCM ina uhakika itashinda kutokana na kazi nzuri ilofanya na kwakuwa wanasera pamoja na ilani iliyoshiba.
Kura yangu kwa Magufuli
 
Yaani uandae sherehe halafu wewe ukose chakula? pelekeni maigizo huko
 
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimetoa siri kuhusu wagombea wake kutoenguliwa na Tume ya Uchaguzi kwenye uchaguzi huu mkuu kwa kigezo cha kishindwa kujaza fomu. Aliyefichua siri hiyo alikuwa ni katibu mkuu wa chama hicho Dkt. Bashiru Ally, katika mahojiano na shirika la utangazaji la BBC, kuhusiana na mambo mbalimbali kuelekea uchaguzi mkuu. Katibu mkuu alijibu kuwa si swala la mbinu kwenye kufanya wagombea wa chama hicho kutoenguliwa na Tume bali ni swala la kufata sheria na kanuni.

Dkt. Bashiru alisema kwa upande wa CCM vitengo vya sheria vinavyosimamia na kuruhusu wagombea wa ngazi zote kujaza fomu na kisha kuhakikiwa na hali hiyo imefanya wagombea wa Ubunge 28 wa CCM wapite bila kupingwa na wanasubiri kuapishwa.
Hakuna kitu ni siasa za maji taka tu ipo siku hatokuwa na nguvu aliyonayo na V8 yake
 
NEC kuweni makini,Chadema wamesha ona kipigo kizito ndani ya sanduku la kura wanatafuta mtu wa kumrushia Lawama msipoangalia wanaweza susia uchaguzi dakika yoyote kutoka sasa ili Lawama ziwe juu yenu.
Hii nec ya jpm ni hovyo sana kuliko ya jk, yaani tume inamwengua mgombea kwa kigezo cha kukosea kujaza fomu, ni aibu sana.ccm muda wote wako busy kushirikiana na vyombo vya dola namna ya kuiba kura kwenye vituo kwa kushawishi mawakala wa ccm watumbukize kura nyingi kwenye masanduku ya kura.
 
Si kweli,chama cha Mapinduzi kina utaratibu mzuri sana wa kutoa maelekezo kwa wagombea wake na viongozi huwa wanazikaugua kabla hazija wasilishwa sehemu husika...Lakini Upinzani hata ofisi hawana kila mmoja anafanya lake ..
Usidanganywe.. ccm wanabebwa na tume
 
Nani asiyejua kama wagombea wa CCM kuanzia ngazi ya urais mpaka udiwani walikosea kujaza fomu!!! Kwa sababu ya njaa zenu hata aibu hamna! Wanyonyaji wa kwanza tz ni CCM, ndiyo maana hamtaki kutoka madarakani mnawaza mtakula nini?
Just imagine upinzani unashinda urais hawa CCM jobless walojazana tz wataishi vipi? Watoto wao watasomaje?
Aisee bora Umesema kuwa ni imagnation ushindani kushinda
Keep on dreaming
 
na kwann hilo litoked miaka hii ya Jiwe tu na sio ya wengine waliotangulia?!.

kifupi jamaa katumia mbinu zote chafu kutaka kuua upinzani ila kwa sasa kaumbuka tatizo halinaga mshipa wa aibu!!!.
 
Mpumbavu mkubwa huyu Bashiru,, hivi anajua kuna wagombea yamebebwa na tume? Mwanyika pamoja na tuhuma za kukwepa kulipa kodi amekuwaje mgombea halali? Gwajima alikuwa amekosea kujaza fomu amekuwaje mgombea? Asutuletee upumbavu wake hapa mamanina zake!
 
Dkt. Bashiru alisema kwa upande wa CCM vitengo vya sheria vinavyosimamia na kuruhusu wagombea wa ngazi zote kujaza fomu na kisha kuhakikiwa na hali hiyo imefanya wagombea wa Ubunge 28 wa CCM wapite bila kupingwa
Kama mh. Pombe pamoja na kumiliki PhD, fomu yake ilikuwa na makosa kibao, itakuwa hao vilaza wengine? Wamebebwa tu kwa kuwa tume ni yao.

Wagombea wa ccm waliopita bila kupingwa ni kutokana na wagombea wa CDM na ACT kufanyiwa hila ili fomu zao zisipokelewe. Wengine waliwekwa ndani na policcm hadi muda ukapita, wengine waliporwa fomu, Kuna waliotekwa, nk
 
Back
Top Bottom