antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Mkuu, wamekosea nini?Leo ma NGULI wenzangu the legendaries wamekula ban BAK na Pascal Mayalla a.k.a the laywer and linguist
CCM msinisababishie ban
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, wamekosea nini?Leo ma NGULI wenzangu the legendaries wamekula ban BAK na Pascal Mayalla a.k.a the laywer and linguist
CCM msinisababishie ban
Hata yule mgombea wa Karatu naye hakukosea?Mgombea wa CCM Karatu hakuhitimu hata Shule ya Msingi,alisaidiwa na nani kujaza fomu?Chama cha Mapinduzi (CCM) kimetoa siri kuhusu wagombea wake kutoenguliwa na Tume ya Uchaguzi kwenye uchaguzi huu mkuu kwa kigezo cha kishindwa kujaza fomu. Aliyefichua siri hiyo alikuwa ni katibu mkuu wa chama hicho Dkt. Bashiru Ally, katika mahojiano na shirika la utangazaji la BBC, kuhusiana na mambo mbalimbali kuelekea uchaguzi mkuu. Katibu mkuu alijibu kuwa si swala la mbinu kwenye kufanya wagombea wa chama hicho kutoenguliwa na Tume bali ni swala la kufata sheria na kanuni.
Dkt. Bashiru alisema kwa upande wa CCM vitengo vya sheria vinavyosimamia na kuruhusu wagombea wa ngazi zote kujaza fomu na kisha kuhakikiwa na hali hiyo imefanya wagombea wa Ubunge 28 wa CCM wapite bila kupingwa na wanasubiri kuapishwa.
Angalia post yangu ni ya lini, angalia alichonijibu PascalMbona huyo Pascal Mayalla hana ban au umekosea?
Siku hizi huna mabandiko ya maana, ni propaganda tuNimerejea na mabandiko yatapandana.
P
Alipigwa ban huyo majuzi hapa... Wamemwachia tu,Mkuu, wamekosea nini?
Tafadhali tutajie basi hayo majina 28 ya wabunge wanao subiri kuapishwa.Chama cha Mapinduzi (CCM) kimetoa siri kuhusu wagombea wake kutoenguliwa na Tume ya Uchaguzi kwenye uchaguzi huu mkuu kwa kigezo cha kishindwa kujaza fomu. Aliyefichua siri hiyo alikuwa ni katibu mkuu wa chama hicho Dkt. Bashiru Ally, katika mahojiano na shirika la utangazaji la BBC, kuhusiana na mambo mbalimbali kuelekea uchaguzi mkuu. Katibu mkuu alijibu kuwa si swala la mbinu kwenye kufanya wagombea wa chama hicho kutoenguliwa na Tume bali ni swala la kufata sheria na kanuni.
Dkt. Bashiru alisema kwa upande wa CCM vitengo vya sheria vinavyosimamia na kuruhusu wagombea wa ngazi zote kujaza fomu na kisha kuhakikiwa na hali hiyo imefanya wagombea wa Ubunge 28 wa CCM wapite bila kupingwa na wanasubiri kuapishwa.
Nikiwasikia hawa watu wanaongea roho yangu inachafukwa kweli kweli,hasa yule mkubwa waoUpuuzi mtupu.
Kwanini hawi mkweli kwa kusema kuwa wao CCM wanabebwa na mbekeko ya Tume ya Uchaguzi?
Wagombea wa CCM walipikwa wakaiva wewe unaamka unasema walikosea kujaza fomu unauhakika. Leta ushahidi hapa.Nani asiyejua kama wagombea wa CCM kuanzia ngazi ya urais mpaka udiwani walikosea kujaza fomu!!! Kwa sababu ya njaa zenu hata aibu hamna! Wanyonyaji wa kwanza tz ni CCM, ndiyo maana hamtaki kutoka madarakani mnawaza mtakula nini?
Just imagine upinzani unashinda urais hawa CCM jobless walojazana tz wataishi vipi? Watoto wao watasomaje?
Tafadhali tutajie basi hayo majina 28 ya wabunge wanao subiri kuapishwa.
Ha ha uzushi huu. CCM kupitia vitengo vya sheria vinavyosimamia masuala yote ndio waliohakikisha hili halifanyiwi makosa.Formu za ccm zilijazwa na tume ukiona hivyo
Hata aibu hamnaHa ha uzushi huu. CCM kupitia vitengo vya sheria vinavyosimamia masuala yote ndio waliohakikisha hili halifanyiwi makosa.
muda mwingine tunalaumu tu CCM ,Nani asiyejua kama wagombea wa CCM kuanzia ngazi ya urais mpaka udiwani walikosea kujaza fomu!!! Kwa sababu ya njaa zenu hata aibu hamna! Wanyonyaji wa kwanza tz ni CCM, ndiyo maana hamtaki kutoka madarakani mnawaza mtakula nini?
Just imagine upinzani unashinda urais hawa CCM jobless walojazana tz wataishi vipi? Watoto wao watasomaje?
Kura zote ni kwa ;Chagua CCM, Chagua Magufuli
Wew uliye na aibu mbona unashindwa kukubali makosa ya hao jamaa zako🚮Hata aibu hamna
Hayo ni maono yako binafsi.chamuhimu ni kufata sheria na kanuni na ndicho kilochofanywa na Ccm Ila wapinzani ni tofauti sasa ulitaka waachweSi kweli tume ni yenu, na haiwezi thubutu hata kukiwa na mapungufu!
Sheria na kanuni zipo kuwashikisha adabu upinzani!