Dabo standardWew uliye na aibu mbona unashindwa kukubali makosa ya hao jamaa zakoš®
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dabo standardWew uliye na aibu mbona unashindwa kukubali makosa ya hao jamaa zakoš®
Nani mgombea wenu alisema magufuli ajaweka picha na kuasaini ila picha zimewekwa na saini imewekwa na KWa hiyo rufaa yake aikuwa na vigezoAnaleta nadharia zake hapa? Mgombea wa urais tu alikosea na NEC ikaamua kumbeba.
Tatizo nyie shule ndogo mnachagua watu wawe wagombea hata kusoma awajui CCM Ina hadhina kubwa ya viongozi na inatengeneza viongozi atuokoti tu maana hapa Hadi mawakala wenu shule zeroo. Wenyewe mnalaumiana.Nani asiyejua kama wagombea wa CCM kuanzia ngazi ya urais mpaka udiwani walikosea kujaza fomu!!! Kwa sababu ya njaa zenu hata aibu hamna! Wanyonyaji wa kwanza tz ni CCM, ndiyo maana hamtaki kutoka madarakani mnawaza mtakula nini?
Just imagine upinzani unashinda urais hawa CCM jobless walojazana tz wataishi vipi? Watoto wao watasomaje?
Mgombea wa nani?Nani mgombea wenu alisema magufuli ajaweka picha na kuasaini ila picha zimewekwa na saini imewekwa na KWa hiyo rufaa yake aikuwa na vigezo
Uhalifu utaongezeka!Nani asiyejua kama wagombea wa CCM kuanzia ngazi ya urais mpaka udiwani walikosea kujaza fomu!!! Kwa sababu ya njaa zenu hata aibu hamna! Wanyonyaji wa kwanza tz ni CCM, ndiyo maana hamtaki kutoka madarakani mnawaza mtakula nini?
Just imagine upinzani unashinda urais hawa CCM jobless walojazana tz wataishi vipi? Watoto wao watasomaje?
Mapema saba Oktoba 28 tunaenda kufanya yetuKura zote ni kwa ;
1. Rais Magufuli ā
2.mbunge wa ccm ā
3. Madiwani wa Ccm ā
Nani asiyejua kuwa NEC ni taasisi ya Ccm na imeteuliwa na Magufuli? Nani asiyejua kuwa wote walioenguliwa hawakuenguliwa kwa kukosea kujaza fomu?Chama cha Mapinduzi (CCM) kimetoa siri kuhusu wagombea wake kutoenguliwa na Tume ya Uchaguzi kwenye uchaguzi huu mkuu kwa kigezo cha kishindwa kujaza fomu. Aliyefichua siri hiyo alikuwa ni katibu mkuu wa chama hicho Dkt. Bashiru Ally, katika mahojiano na shirika la utangazaji la BBC, kuhusiana na mambo mbalimbali kuelekea uchaguzi mkuu. Katibu mkuu alijibu kuwa si swala la mbinu kwenye kufanya wagombea wa chama hicho kutoenguliwa na Tume bali ni swala la kufata sheria na kanuni.
Dkt. Bashiru alisema kwa upande wa CCM vitengo vya sheria vinavyosimamia na kuruhusu wagombea wa ngazi zote kujaza fomu na kisha kuhakikiwa na hali hiyo imefanya wagombea wa Ubunge 28 wa CCM wapite bila kupingwa na wanasubiri kuapishwa.