ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,050
- 6,199
Kinachotakiwa ni TUME HURU ya uchaguzi, hayo mengine ni njozi zako za kichawi.SHIDA nikwamba upinzani ili waone wametendewa haki wao wanajuwa kuwa lazima washinde hata kama hawana ushawishi kwa raia
Lini ilitangaza kuanza rasmi siasa za kibabe, chuki na uadui mpaka sasa (leo) itangaze kuacha rasmi?!!Katibu mkuu wa CCM ndugu Chongollo amesema CCM haitajiingiza katika siasa za kibabe na visasi bali itajikita kwenye siasa zake za asili zilizosheheni Upendo na Urafiki.
Huu ni mwanzo mzuri sana kwa sekretarieti mpya ya CCM na vyama makini vya upinzani ikiwemo ACT wazalendo wamepongeza.
Kazi Iendelee!
CCM ya Mshikamano ndiyo tunayafahamu.Katibu mkuu wa CCM ndugu Chongollo amesema CCM haitajiingiza katika siasa za kibabe na visasi bali itajikita kwenye siasa zake za asili zilizosheheni Upendo na Urafiki.
Huu ni mwanzo mzuri sana kwa sekretarieti mpya ya CCM na vyama makini vya upinzani ikiwemo ACT wazalendo wamepongeza.
Kazi Iendelee!
Katibu mkuu wa CCM ndugu Chongollo amesema CCM haitajiingiza katika siasa za kibabe na visasi bali itajikita kwenye siasa zake za asili zilizosheheni Upendo na Urafiki.
Huu ni mwanzo mzuri sana kwa sekretarieti mpya ya CCM na vyama makini vya upinzani ikiwemo ACT wazalendo wamepongeza.
Kazi Iendelee!
Wanakumbuka jinsi walivyofika kwenye siasa za visasi na ubabe?, Kama hawakumbuki basi kurudi ni sekunde. Awekeze ktk namna ya kudhibiti sababu zinazo wapeleka huko.Katibu mkuu wa CCM ndugu Chongollo amesema CCM haitajiingiza katika siasa za kibabe na visasi bali itajikita kwenye siasa zake za asili zilizosheheni Upendo na Urafiki.
Huu ni mwanzo mzuri sana kwa sekretarieti mpya ya CCM na vyama makini vya upinzani ikiwemo ACT wazalendo wamepongeza.
Kazi Iendelee!
Hawa siawaamini YaanKatibu mkuu wa CCM ndugu Chongollo amesema CCM haitajiingiza katika siasa za kibabe na visasi bali itajikita kwenye siasa zake za asili zilizosheheni Upendo na Urafiki.
Huu ni mwanzo mzuri sana kwa sekretarieti mpya ya CCM na vyama makini vya upinzani ikiwemo ACT wazalendo wamepongeza.
Kazi Iendelee!
Kauli tu hakuna kila kituSidhani kauli hii yatosha kukisafisha chama hiki ambacho kina tuhuma lukuki nyingi zaidi ya hiyo ya kutesa, kuumiza na wizi wa kura tena wa waziwazi.
Magufuli aliiua CCM na kubakisha genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawalaKatibu mkuu wa CCM ndugu Chongollo amesema CCM haitajiingiza katika siasa za kibabe na visasi bali itajikita kwenye siasa zake za asili zilizosheheni Upendo na Urafiki.
Huu ni mwanzo mzuri sana kwa sekretarieti mpya ya CCM na vyama makini vya upinzani ikiwemo ACT wazalendo wamepongeza.
Kazi Iendelee!
We bwege tokea lini mkaacha ubabe na wizi wa kura?Katibu mkuu wa CCM ndugu Chongollo amesema CCM haitajiingiza katika siasa za kibabe na visasi bali itajikita kwenye siasa zake za asili zilizosheheni Upendo na Urafiki.
Huu ni mwanzo mzuri sana kwa sekretarieti mpya ya CCM na vyama makini vya upinzani ikiwemo ACT wazalendo wamepongeza.
Kazi Iendelee!
Wanachotaka kusema ni kuwa kuna shetani aliwaingiza huko.Ubabe walikuwa wanamfanyia nani na kwa ulazima gani hadi wafikie huko na kwanini hawakutaka kufuata utaratibu wa kikanuni na sheria elekezi !?
Huyo katibu mkuu uwezo wake wa elimu ya siasa na uchumi ni mdogo. Hajui chama chake ni cha mapinduzi na kipo kupigania matabaka ya chini kupata maendeleo na sio kudolola kwa kunyonywa na tabaka la kinyonyaji. Katika hali hiyo hali ni ya mapambano ya kitabaka.Katibu mkuu wa CCM ndugu Chongollo amesema CCM haitajiingiza katika siasa za kibabe na visasi bali itajikita kwenye siasa zake za asili zilizosheheni Upendo na Urafiki.
Huu ni mwanzo mzuri sana kwa sekretarieti mpya ya CCM na vyama makini vya upinzani ikiwemo ACT wazalendo wamepongeza.
Kazi Iendelee!
Elimu yako ya kukariri sidhani kama itakuwa na msaada hata kwa familia yako.Huyo katibu mkuu uwezo wake wa elimu ya siasa na uchumi ni mdogo. Hajui chama chake ni cha mapinduzi na kipo kupigania matabaka ya chini kupata maendeleo na sio kudolola kwa kunyonywa na tabaka la kinyonyaji. Katika hali hiyo hali ni ya mapambano ya kitabaka.