CCM yatangaza kuachana na siasa za kibabe na kurudi kwenye siasa zake za asili za Upendo na Urafiki mwema!

CCM yatangaza kuachana na siasa za kibabe na kurudi kwenye siasa zake za asili za Upendo na Urafiki mwema!

Katibu mkuu wa CCM ndugu Chongollo amesema CCM haitajiingiza katika siasa za kibabe na visasi bali itajikita kwenye siasa zake za asili zilizosheheni Upendo na Urafiki.

Huu ni mwanzo mzuri sana kwa sekretarieti mpya ya CCM na vyama makini vya upinzani ikiwemo ACT wazalendo wamepongeza.

Kazi Iendelee!
Hii imekuja baada ya Mungu kuwapa adhabu ya pigo moja takatifu tu Kama la pharaoh kule Misti ya kale

Lazima wawe wapole au wakomae wapewe pigo jengine takatifu
 
Tume huru ni jukumu la serikali siyo CCM!
Kiongozi mkuu wa serikali ni Chairman wa CCM, Baraza la mawaziri limesheheni senior members wa CCM, Katibu mkuu kiongozi na makatibu wa wizara wansteuliwa na Chairman wa CCM, wakuu wa vyombo vyote vya dola wanateuliwa na chairman/woman wa CCM, speaker wa Bunge anapendekezwa na CCM, Judge Mkuu anateuliwa na chairman/woman wa CCM.. wakuu wa taasisi zote za serikali wanateuliwa na chairman/woman wa CCM...the list goes on and on.
 
Katibu mkuu wa CCM ndugu Chongollo amesema CCM haitajiingiza katika siasa za kibabe na visasi bali itajikita kwenye siasa zake za asili zilizosheheni Upendo na Urafiki.

Huu ni mwanzo mzuri sana kwa sekretarieti mpya ya CCM na vyama makini vya upinzani ikiwemo ACT wazalendo wamepongeza.

Kazi Iendelee!
shairi la wimbo wake hotubani
 
Lini ilitangaza kuanza rasmi siasa za kibabe, chuki na uadui mpaka sasa (leo) itangaze kuacha rasmi?!!
.............Nadhani ungeiweka kuwa kwa tamko hili inakiri kuwa na siasa za kibabe, chuki na uadui na sasa inaamua kuachana nayo.

Hatuwapongezi wala nini........................ Walipaswa tu (kwa msemo wa Mh. Mwanri)...Sukuma ndani tu.........
Feb 5 mwaka 20216
Yule shetani alitangaza kwenye shetehe za kuzaliwa kwa ccm
 
  • Thanks
Reactions: Mj1
Unatangaza amani huku mkononi umeficha panga nyuma,hao ndiyo CCM! Ulaghai Ni moja ya sera adhimu ya chama.
Katibu mkuu wa CCM ndugu Chongollo amesema CCM haitajiingiza katika siasa za kibabe na visasi bali itajikita kwenye siasa zake za asili zilizosheheni Upendo na Urafiki.

Huu ni mwanzo mzuri sana kwa sekretarieti mpya ya CCM na vyama makini vya upinzani ikiwemo ACT wazalendo wamepongeza.

Kazi Iendelee!
 
Kiongozi mkuu wa serikali ni Chairman wa CCM, Baraza la mawaziri limesheheni senior members wa CCM, Katibu mkuu kiongozi na makatibu wa wizara wansteuliwa na Chairman wa CCM, wakuu wa vyombo vyote vya dola wanateuliwa na chairman/woman wa CCM, speaker wa Bunge anapendekezwa na CCM, Judge Mkuu anateuliwa na chairman/woman wa CCM.. wakuu wa taasisi zote za serikali wanateuliwa na chairman/woman wa CCM...the list goes on and on.
Huwezi kuitaja Serikali bila kuitaja CCM
Umenielewa??

Maana shinikizo likitoka kwenye vikao vya CCM na Asasi za Kiraia na kelele nyingi kwa raia Serikali ya CCM ndio yenye jukumu la kukubali Katiba Mpya iandikwe au laah
 
Katibu mkuu wa CCM ndugu Chongollo amesema CCM haitajiingiza katika siasa za kibabe na visasi bali itajikita kwenye siasa zake za asili zilizosheheni Upendo na Urafiki.

Huu ni mwanzo mzuri sana kwa sekretarieti mpya ya CCM na vyama makini vya upinzani ikiwemo ACT wazalendo wamepongeza.

Kazi Iendelee!
Safi sana. Kwa hiyo habari za ubabe na kutekana zitabaki historia siyo?
 
Sidhani kauli hii yatosha kukisafisha chama hiki ambacho kina tuhuma lukuki nyingi zaidi ya hizo za kutesa, kuumiza, kupoteza watu na wizi wa kura uliotukuka.
Sera mbovu za fedha ziko zaidi Tz
 
Katibu mkuu wa CCM ndugu Chongollo amesema CCM haitajiingiza katika siasa za kibabe na visasi bali itajikita kwenye siasa zake za asili zilizosheheni Upendo na Urafiki.

Huu ni mwanzo mzuri sana kwa sekretarieti mpya ya CCM na vyama makini vya upinzani ikiwemo ACT wazalendo wamepongeza.

Kazi Iendelee!
Vyama makini 😂😂
 
Back
Top Bottom