Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Trillion kadhaa kila mwaka ndio hela ya wapi? Kwahiyo kila mwaka itakua inauzwa .Acheni porojo kaeni kwa kutulia nchi ijengwe.Kwa trillion kadhaa kila mwaka!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Trillion kadhaa kila mwaka ndio hela ya wapi? Kwahiyo kila mwaka itakua inauzwa .Acheni porojo kaeni kwa kutulia nchi ijengwe.Kwa trillion kadhaa kila mwaka!
Wewe kwani unadhani ni hela ya wapi iliyomfanya Huyo mama yako akashusha tu signature bila kufikiria….Trillion kadhaa kila mwaka ndio hela ya wapi? Acheni porojo kaeni kwa kutulia nchi ijengwe.
Unapuyanga tu naona hujielewi. nimekuuliza swali bandari imeuzwa Tsh ngapi? Unanijibu trillion kadhaa kila mwaka, kila mwaka itakua inauzwa kwa trillion kadhaa ndio bei ya wapi? Huna jibu. Chuki kitu kibaya sanaWewe kwani unadhani ni hela ya wapi iliyomfanya Huyo mama yako akashusha tu signature bila kufikiria….
Hata mimi nakuona unapuyanga kama huoni hio hela itakayokua inaingia kila mwaka ndio thamani ya bandari yetu then siwezi kukusaidia, chuki anayo Rais kwa watanganyika au hujui hilo?!Unapuyanga tu naona hujielewi. nimekuuliza swali bandari imeuzwa Tsh ngapi? Unanijibu trillion kadhaa kila mwaka, kila mwaka itakua inauzwa kwa trillion kadhaa ndio bei ya wapi? Huna jibu. Chuki kitu kibaya sana
Wewe hiyo hela itakayokuwa inaingia kila mwaka umeiona wapi? Ni shilingi ngapi?Hata mimi nakuona unapuyanga kama huoni hio hela itakayokua inaingia kila mwaka ndio thamani ya bandari yetu then siwezi kukusaidia, chuki anayo Rais kwa watanganyika au hujui hilo?!
View attachment 2683416
Katika mkutano huo na waandishi, Sophia Mjema amesema leo 9 July 2023 siyo siku ya kujibu maswali kwani yeye amesoma kile ambacho wamekubaliana na Halmashauri na mambo mengine yasubiri wakati wake
Chama cha mapinduzi hakiondoki madarakani mpaka rasilimali zote ziishe.Kwani rasilimali zipi zimekwisha?
BUNGE la chama kimoja linaridhiaje suala la kitaifa?? AarrggghhNimesoma mara kadhaa Sijui alimaanisha nini View attachment 2683408
Je ni kweli serikali haijaingia mkataba wowote na DPWorld? nisaidie kwa hilo.Nyie ni wajinga tu hoja zenu ni zile zile, mukiulizwa huo mkataba wa kupewa bandari zote uko wapi mna kenua tu meno, chuki mbaya sana ndo inao wasumbua.