CCM yatoa Baraka zote kwa DP World kufanya uwekezaji wa Bandari

CCM yatoa Baraka zote kwa DP World kufanya uwekezaji wa Bandari

Bungeni ilikwenda agreement ya IGA, ipate baraka ya wananchi ili miradi ya HGAs iweze kuanza kusainiwa kati ya wanasheria wazalendo na wale wanasheria wa wawekezaji.

Uwekezaji mkubwa siku zote michakato huanzia bungeni. Nadhani unakumbuka namna hayati JPM alivyoshambuliwa akiambiwa kanunua ndege bila ya ridhaa ya bunge.

Sasa suala la ndege lilipigiwa kelele na wadau sembuse huu uwekezaji unaokwenda kuingiza mabilioni ya pesa kila mwaka.
Kwa hiyo IGA ni Agreement sio, kati ya nchi na nchi.
 
Subiri 2025.
Oh I can't wait!
Sisi tunasubiri Khanga na Tshirts za 2025 zifikie bandari mpya ya DPW TPA Dar.
Ukinitafuta vizuri, nimezungumzia Khanga na Tisheti za CCM 2025;Nimeshauri wananchi wazibebe tu kwani hakuna shida kupokea zawadi, ila basi, wakishafanya hivyo waweke alama ya hapana
[❌]
Katika box

No to DPW, No to Neo-colonialism.
 
Halmashauri kuu ya CCM imepitisha mkataba wa DTW kama ulivyo pamoja na kelele zote zilizopigwa na wataalam wa sheria na baadhi ya viongozi wetu wastaafu.
Baadhi ya vipengele vinvopigiwa kelele ni pamoja na:
1. Mkataba kuendeshwa kwa kutumia sheria za Uingereza. Hawaoni kuwa kitendo hiki kinadhalilisha mahakama zetu? Uhuru wetu uko wapi ikiwa tuanamruhusu mwekezaji atupe sharti la kutumia sheria za mkoloni.
2. Kesi kusuluhishwa kutumia mahakama za Afrika kusaini. Hii ni sawa kwa mtazamo wao?
3. Vigezo vipi vilitumika kuipata kampuni hii. Je walishindanishwa na kampuni zingine?
4. Sababu zipi zililazimisha kusaini mkataba unaoemda kinyume na sheria ya maliasili iliyotungwa na serikali ya Magufuli Samia akiwa makamu wa rais?
Haya ni maswali ya msingi ambayo NEC ilipaswa kujiridhisha nayo kama kweli tunataka kufuata utawala wa sheria na kulinda uhuru wetu. Vinginevyo tunawezaje kusema sisi ni nchi huru wakati hatuna hata mahakama isiyoaminika na serikali yenyewe.
 
12 July 2023
Dar es Salaam, Tanzania

Comrade Sophia Edward Mjema katibu itikadi na Uenezi CCM na wanachama wa CCM wapewa elimu kuhusu mkataba wa DP World



Ilani ya CCM 2020 - 2025 Ukurasa 92 ibara 59 paragraph (b) maboresho ya bandari yatajikita katika ujenzi wa maghala, kupanua njia ya kuingia bandarini ..... hakuna sehemu Ilani ya CCM inaposema kuwa itabinafsisha bandari kwa mwekezaji
1689166178346.png
 
12 July 2023
Dar es Salaam, Tanzania

Comrade Sophia Edward Mjema katibu itikadi na Uenezi CCM apewa elimu kuhusu mkataba wa DP World



Ilani ya CCM 2020 - 2025 Ukurasa 92 ibara 59 paragraph (b) maboresho ya bandari yatajikita katika ujenzi wa maghala, kupanua njia ya kuingia bandarini ..... hakuna sehemu Ilani ya CCM inaposema kuwa itabinafsisha bandari kwa mwekezaji

1689165192987.png
 
Punguani siyo punguani!
Chizi kama siyo chizi!
Jinga kama siyo jinga!

Zingatia, kawakaribisha warabu kotekote. Zingatia, KOTE KOTE!

Mimi nadhani, tulipuuze.
 
Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
Naona ndugu yetu upo serious na hili taifa kuliko maelezo[emoji106][emoji817]
 
"Alievujisha huu Mkataba wa Bandari ametuvua Nguo, tumeweka Ujinga wetu wote hadharani" Kabudi ClubhouseView attachment 2694190

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli kabisa.

Baada ya CCM kukubali ushirikiano (IGA) na "Serikali" ya Dubai, wananchi wakipinga baadhi ya vifungu na kulaani BUNGE la wawakilishi kuridhia, bado najiuliza kama kweli tunao viongozi wenye maono. Je, hakuna njia nyingine ya kuboresha bandari na uendeshaji wake isipokuwa hao DPW?
 
Back
Top Bottom