Uchaguzi 2020 CCM yaumbuliwa na wanachama wao

Hakuna CCM ya miaka ya 62 wewe hata awe kikongwe huyo mzee mjinga tu huyo

Kuna wajinga vijana na wako wazee wajinga huyo ni mzee mjinga
Mbona una hasira zijibu hoja za huyo mzee vinginevyo utakuwa mjinga zaidi
 
Kama hadi hilo rika limeanza kuelimika maana yake ndio mwisho wa hicho chama.Kamwe huwezi kushindana na wakati.
 
Naona unajibu matusi utanzania wamatusi haupo ninacho amanisha Mimi nikwamba jimbo lilelile uwe uchaguzi mdogo au mkuu ahadi ni tunamtua mama ndoo kichwani Mara elimu no
Sasa ndugu unanishauri niende mikitanoni au mtandaoni nikaendelee kuangalia ahadi? Nilitegemea utaniambia kwa mudatoka tumepata uhuru mapungufu hayo nilio yasema nihistoria nakuona povu linakutoka natamani sana ahadi wazitoe wapinzani ccm waeleze wamefanya nini wasiende kwenye ahadi kabisa
 
Ccm imeanza 1977 yy kadi slikuwa nayo tokea 1962 aisee noma shikamoo mzeee[emoji3]
 
Nkushauri kifupi ongeza elimu iwe kwa kujisomea mwenyewe au rudi kusoma uelewa wako uko Chini mno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…