Uchaguzi 2020 CCM yaumbuliwa na wanachama wao

Uchaguzi 2020 CCM yaumbuliwa na wanachama wao

Hakuna CCM ya miaka ya 62 wewe hata awe kikongwe huyo mzee mjinga tu huyo

Kuna wajinga vijana na wako wazee wajinga huyo ni mzee mjinga
Mbona una hasira zijibu hoja za huyo mzee vinginevyo utakuwa mjinga zaidi
 
Kama hadi hilo rika limeanza kuelimika maana yake ndio mwisho wa hicho chama.Kamwe huwezi kushindana na wakati.
Haikusaidii kitu kuondoa hii clip ya mzee wa kijijini kabisa kuamua kuikataa ccm.

Kaamua kufanya hivyo hadharani tena mbele ya viongozi wenu, na ujue huyo ni mwakilishi wa wana vijiji wengi sana.

Ccm huu ndiyo mwisho wenu maana ngome yenu tayari imeingia sumu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nenda mikutanoni ya CCM ukasikilize au ingine YouTube

CCM inaanza kwanza kueleza kwenye miaka mitano iliyopita imefanya nini halafu ndio inaeleza mitano ijayo itafanya nini

Unajua wewe uko dunia yako unayoijua mwenyewe

Hivi husikii CCM inaposema tumejenga shule,barabara,reli,vituo vya afya,mashule nk?

Unaumwa au? Ulichoandika ujinga mtupu.Maskini hivi wewe in a hata kaelimu kadogo tu? Kajiendeleze walau nakuonea huruma ujinga usio hai mkubwa mob.Utapata tabu maisha
Naona unajibu matusi utanzania wamatusi haupo ninacho amanisha Mimi nikwamba jimbo lilelile uwe uchaguzi mdogo au mkuu ahadi ni tunamtua mama ndoo kichwani Mara elimu no
Sasa ndugu unanishauri niende mikitanoni au mtandaoni nikaendelee kuangalia ahadi? Nilitegemea utaniambia kwa mudatoka tumepata uhuru mapungufu hayo nilio yasema nihistoria nakuona povu linakutoka natamani sana ahadi wazitoe wapinzani ccm waeleze wamefanya nini wasiende kwenye ahadi kabisa
 
Ccm imeanza 1977 yy kadi slikuwa nayo tokea 1962 aisee noma shikamoo mzeee[emoji3]
 
Naona unajibu matusi utanzania wamatusi haupo ninacho amanisha Mimi nikwamba jimbo lilelile uwe uchaguzi mdogo au mkuu ahadi ni tunamtua mama ndoo kichwani Mara elimu no
Sasa ndugu unanishauri niende mikitanoni au mtandaoni nikaendelee kuangalia ahadi? Nilitegemea utaniambia kwa mudatoka tumepata uhuru nihistoria nakuona povu linakutoka natamani sana ahadi wazitoe wapinzani ccm waeleze wamefanya nini wasiende kwenye ahadi kabisa
Nkushauri kifupi ongeza elimu iwe kwa kujisomea mwenyewe au rudi kusoma uelewa wako uko Chini mno
 
Back
Top Bottom