Akazuga mwishoni kumjibu mzee mbele za watu "hapo umeongea "Jamaa kamfukuza kiutu uzima eti tutaongea baadaye [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wajumbe walishaanza sisi tunaendeleza tuLeo hii unamtukana mzee kisa kawakosoa? Huyo mzee kosa lake nini?
Hapo bado na ni mwendelezo wa wananchi kuikataa ccm!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kinyume chakeuna densa....[emoji3][emoji3][emoji3]
maji mtaita mma mwaka huu
Viva Magu
Heil JPM
😅😅Akazuga mwishoni kumjibu mzee mbele za watu "hapo umeongea "
Kunavitu vinaweza kufanya uitaji elimu kubwa sio uongo kwani hivyo ninavyo visema tunaaidiwa vinafanyika chumbani kwako hadinisivione vikifanyika nitaviona namipianimtumiaji unielewe wewe mwenyeelimu kubwa nibora nikose elimu lakini niwenamacho kuliko kuwanaelimu ukakosa machoNkushauri kifupi ongeza elimu iwe kwa kujisomea mwenyewe au rudi kusoma uelewa wako uko Chini mno
Unaumwa wewe siyo buretutakupa cheo... cv yako nzuri na uko very persistent.....
Mko vijana wazuri sana upinzani tunaweza kuwatumia kwa mabadiliko ikiwamo TL mwenyewe ....
Viva Magu 2020
Heil JPM
Chadema huyo anasema ana kadi ya CCM ya mwaka 1962 mwongo miaka hiyo ilikuwepo TANU sio CCM
Chadema ndio lugha hai utasikia CCM ilikuwepo madarakani Saudi ya miaka hamsini wakihesabu kuanzia mwaka 1961 Tanzania ilipopata uhuru wakati CCM ilizaliwa 1977
Huyo mzee fix my Chadema aliyevaa nguo mtumba za CCM
Mtu wenye huyo Chadema hakuna kadi ya CCM ya mwaka 62
Hiyo ilikuwa awamu ya miradi mingi..bado tuna miaka 5 + 10 ya rais mwingine wa ccm.Kwa kweli kama si ubabe wa Magufuli ccm ingekuwa haina tumaini lolote kwa sasa na ingepoteza kwa margin ya kutisha watu wamechoka maneno aisee
Imagine mtu anakwambia kajenga sgr wakati hata Morogoro haijafika kikamilifu ndani ya miaka 3 sasa si itafika Mwanza 2035?
Kilichobadilika ni Jina tu mshamba wa kisukuma usiyejua kiswahili usitusumbue hapa.kwa hiyo tangu hiyo 1961 nchi ilikuwa inaongozwa na wapinzani? Hao kina mkapa walikuwa wapinzaniChadema huyo anasema ana kadi ya CCM ya mwaka 1962 mwongo miaka hiyo ilikuwepo TANU sio CCM
Chadema ndio lugha hai utasikia CCM ilikuwepo madarakani Saudi ya miaka hamsini wakihesabu kuanzia mwaka 1961 Tanzania ilipopata uhuru wakati CCM ilizaliwa 1977
Huyo mzee fix my Chadema aliyevaa nguo mtumba za CCM
Mtu wenye huyo Chadema hakuna kadi ya CCM ya mwaka 62
Utapeli na kutengeneza kiki za miujiza ziko huko kwa kiwanda chenu cha matusii.Mzee amewaumbua nyinyi matapeli wa kisiasa, kila mwaka mna waahidi hewa tangu uhuru hadi sasa!
Wananchi wamechoshwa na ulaghai wenu na wamesema sasa ni zamu ya kumchagua mh Lissu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuache azungumze ni haki yake ya kikatibaKwenye kampeini za ubunge kuna mambo na vitimbi huko lumumba.
Huyu hapa niwanachama wa ccm akiiumbua ccm na kuwaambia ukweli.
View attachment 1566839
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hapo ndiyo umekanusha kuwa huyo mzee kawaveni nguo?Utapeli na kutengeneza kiki za miujiza ziko huko kwa kiwanda chenu cha matusii.
Kilasiku kikundi chenu kinaendeshwa na kiki. Sasa tutakua tunawaumbua kila igizo lenuuu.
Ni kweli hiyo ni haki yake kikatiba lkn huoni hapo kwenye clip walivyo mnyang'anya mic kitemi?Tuache azungumze ni haki yake ya kikatiba
Huyo jamaa ni zaidi ya kitukoKilichobadilika ni Jina tu mshamba wa kisukuma usiyejua kiswahili usitusumbue hapa.kwa hiyo tangu hiyo 1961 nchi ilikuwa inaongozwa na wapinzani? Hao kina mkapa walikuwa wapinzani
Ficha ujinga wako
Shida huleta maarifa....hii miaka mitano ya kulimia meno imekuwa Shule tosha kwa kila aliye mtanzania....tusubiri October.Ccm sasa hivi ipo icu, tumaini lao lilibakia vijijini tu ambako iliamini kuwa watu bado hawaja elimika vya kutosha kuweza kuhoji haki zao za msingi.
Sasa hivi imekuwa tofauti sana, maana hii elimu yao ya shule za kata ndiyo imekuwa mwiba kwa ccm
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiki ziko kwa kiwanda chenu cha matusi
Mmeshikwa vibaya sana safari hii na mjiandae kukabidhi nchi yetu ikiwa salama.Kiki ziko kwa kiwanda chenu cha matusi