Uchaguzi 2020 CCM yaumbuliwa na wanachama wao


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu mzee asije atapewa kesi ya wizi wa mifugo... ha ha ha

CCM hawanaga mshipa wa huruma!!
 
Huyu mzee asije atapewa kesi ya wizi wa mifugo... ha ha ha

CCM hawanaga mshipa wa huruma!!
Kwao so jambo la kushangaza,wengine watakuwa hata tayari kutoa ushahidi was uongo,wake ninaowaita wazalendo wasio halisi.
 
Kwao so jambo la kushangaza,wengine watakuwa hata tayari kutoa ushahidi was uongo,wake ninaowaita wazalendo wasio halisi.
Hao hawana tofauti na interahamwe
 
Mungu atamsimamia tu maana hakuna kosa alilo tenda
Yaani alichosema ni kweli, Lakini walivyo sisiem watasema kapandikizwa, mie mwenyewe siku wakipita anga zangu lazima niwaswalike maswali.
 
Yaani alichosema ni kweli, Lakini walivyo sisiem watasema kapandikizwa, mie mwenyewe siku wakipita anga zangu lazima niwaswalike maswali.
Walivyo wajanja hawawezi kukufuata wewe maana wanajua ni mjanja
 
Ha
Hakuna wakupeleka maigizo kiburi na fedhuli , dhalau na majigambo ikulu
Watanzania ndiyo watakao tupeleka ikulu baada ya kuchoshwa na unyonyaji wenu zaidi ya miaka 60 mmetutia umasikini kwa makusudi tu,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…