Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
- Thread starter
- #101
Wana ccm hawata amini macho yao, ila tunawaomba wakubali matokeo wasije kushupaza shingo zaoShida huleta maarifa....hii miaka mitano ya kulimia meno imekuwa Shule tosha kwa kila aliye mtanzania....tusubiri October.
Sent using Jamii Forums mobile app