ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
- #101
Mimi sio derevaChoice umekabidiwa ipi uikokote angalao nije kugongea lift.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi sio derevaChoice umekabidiwa ipi uikokote angalao nije kugongea lift.
Kodi Yako na mali za ccm vinaingilianaje? Ukiacha ujinga huwezi umia.Inaniuma kuona Kodi ninazokamuliwa Hadi damu kutoka zinanunua ma yutong Kwa manufaa ya ccm ambayo haiheshimu maoni ya wananchi Kwa kuiba kura ili iendelee kutukamua Kodi.
Chama dume wapi! Mmebakiza wizi wa kura tu lakini hampendwi!Kazi iendelee.....ccm mbele kwa mbele.
Chama dume, chama cha uhakika.
Cheo chako hapo tafadhali,konda ama?Mimi sio dereva
Ndiyo maana mnang'ang'ania madarakani kwa msaada wa mapolisi mapuuzi yasiyojitambua, maana mnajua kabisa akija Rais wa chama kingine hivyo vitega uchumi mlivyotudhulumu lazima mviteme!Kodi Yako na mali za ccm vinaingilianaje? Ukiacha ujinga huwezi umia.
CCM Ina vyanzo vyake na Mali zake ndio maana imeajiri maelfu ya wafanyakazi wake Kwa Rasilimali zake kuanzia
-Vyombo vya habari
-Majengo makubwa ya vitenge uchumi
-Shule
-Vyuo
-Maduka ya biashara
-Viwanja vya mpira nk
Na nyie huko Kwa lichana la Amsterdam na Mabeberu wengine Kwa nini mnataka kutiana roho kama hakuna hela?Ndiyo maana mnang'ang'ania madarakani kwa msaada wa mapolisi mapuuzi yasiyojitambua, maana mnajua kabisa akija Rais wa chama kingine hivyo vitega uchumi mlivyotudhulumu lazima mviteme!
Sina CheoCheo chako hapo tafadhali,konda ama?
Ila ni msemaji.Sina Cheo
Ila kiukweli tukikomboa hii nchi itabidi tuchinje wengi sanaMaandalizi ya Uchaguzi Mkuu yanazidi kupamba moto huku Vyama vikijipanga Kila kimoja Kwa staili yake.
CCM imeanza Kwa kushusha vyuma "Mabasi ya Youtong Upgrade piruuu tayari kukiwasha.
Swali.
Wale wengine akitoka mwamba ambae Huwa anawakodia helikopta watatumia nini?
Kwa nini muwachinje?Ila kiukweli tukikomboa hii nchi itabidi tuchinje wengi sana
Humjui msemaji wa Chama?Ila ni msemaji.
Tunaanza na mbuzi kwanza halafu kuku,bata iwe ndio maisha ya kila siku.Ila kiukweli tukikomboa hii nchi itabidi tuchinje wengi sana
Hapo kwenu kila mmoja kambale hadi mnatolewa kwa mkopo kumsemea mwenyekiti Mwamba tuvushe.Humjui msemaji wa Chama?
Na huko kwenye chama Cha Mabeberu nyie vibaraka nani msemaji wenu?Hapo kwenu kila mmoja kambale hadi mnatolewa kwa mkopo kumsemea mwenyekiti Mwamba tuvushe.
CCM DAIMA KAZI IENDELEEMaandalizi ya Uchaguzi Mkuu yanazidi kupamba moto huku Vyama vikijipanga Kila kimoja Kwa staili yake.
CCM imeanza Kwa kushusha vyuma "Mabasi ya Youtong Upgrade piruuu tayari kukiwasha.
Swali.
Wale wengine akitoka mwamba ambae Huwa anawakodia helikopta watatumia nini?
😅😅Daa! Ila we jamaa?Hapo lazima nikamate Usukani wa Moja.kwa hakika watakao kuwa wanapanda lile ninaloendesha mimi watakuwa muda wote wanabubujikwa na machozi ya furaha kwa raha watakazokuwa wanapata ndani ya gari. Mziki kwa mbali ,mwendo safi.
Sawa mzee wa kazi.CCM DAIMA KAZI IENDELEE