Tetesi: CCM yawaonya watakaomlaki B. Membe uwanja wa ndege akitokea ughaibuni

Tetesi: CCM yawaonya watakaomlaki B. Membe uwanja wa ndege akitokea ughaibuni

KWANINI JIWE ANAMHOFIA MEMBE KIASI HICHO WAKATI KAZI ANAZOFANYA ZINAWAVUTIA HADI WAPINZANI WANAUNGA MKONO JUHUDI?
Swali kama hili ni gumu sana kiasi cha kujibiwa na maignorance wa ccm!
 
Mimi kama mwana ccm ninayo haki kikatiba ya chama na ya nchi kumpokea Membe Airport. Membe ana haki sawa na waliopo kwanini muanze kumuogopa?
Tunataka haki ndani ya ccm,tunataka kurudisha heshima ya chama na ya nchi.
CCM ni yetu wote sio ya hao wavamizi tu
Unaposema “wavamizi”, unamaanisha hao mliowanunua kutoka chadema?
 
Hilo karipio lilikua kwa njia ya maandishi au mdomo
 
Hakika hali ni tete huku CCM
Baada ya kubaini tetesi za uwepo wa vijana wanaojiandaa kujitokeza kumlaki na kumpokea Bernard Membe akitokea nje ya nchi,CCM imeingia kiwewe

Kuna tetesi kuwa Katibu Mwenezi ameingilia kati na kuwaonya vijana au kikundi chochote kitakachomlaki Membe kwa mlengo wa kisiasa.

Membe anahusishwa na mapinduzi ya kumng'oa Magufuli na kuonekana kuungwa mkono ndani na nje ya chama

Membe anatarajiwa kurejea nchini akitokea nje ya nchi kikazi

My Take
Mwenye kifungu cha katiba ya CCM inayozuia kikundi cha watu kumpokea mwanachama airport,atuwekee hapa.
Aweke kifungu akitoe wapi?alafu cku hz kumpokea mgeni airport ni kosa?
 
Hakika hali ni tete huku CCM
Baada ya kubaini tetesi za uwepo wa vijana wanaojiandaa kujitokeza kumlaki na kumpokea Bernard Membe akitokea nje ya nchi,CCM imeingia kiwewe

Kuna tetesi kuwa Katibu Mwenezi ameingilia kati na kuwaonya vijana au kikundi chochote kitakachomlaki Membe kwa mlengo wa kisiasa.

Membe anahusishwa na mapinduzi ya kumng'oa Magufuli na kuonekana kuungwa mkono ndani na nje ya chama

Membe anatarajiwa kurejea nchini akitokea nje ya nchi kikazi

My Take
Mwenye kifungu cha katiba ya CCM inayozuia kikundi cha watu kumpokea mwanachama airport,atuwekee hapa.
Kumbe wana CCM ndo hawatakiwi, je sisi wananchi tusio na vyama tukienda kumpokea kuna tatizo?
 
"Mwenye kifungu cha katiba ya CCM inayozuia kikundi cha watu kumpokea mwanachama airport,atuwekee hapa".

hii imelda vizuri hii.
 
Hivi katiba ya chama cha mapinduzi inaruhusu MTU kuchukua fomu 2020 au watu wameamua kumchachafya RAIA NAMBA 1
 
Hakika hali ni tete huku CCM
Baada ya kubaini tetesi za uwepo wa vijana wanaojiandaa kujitokeza kumlaki na kumpokea Bernard Membe akitokea nje ya nchi,CCM imeingia kiwewe

Kuna tetesi kuwa Katibu Mwenezi ameingilia kati na kuwaonya vijana au kikundi chochote kitakachomlaki Membe kwa mlengo wa kisiasa.

Membe anahusishwa na mapinduzi ya kumng'oa Magufuli na kuonekana kuungwa mkono ndani na nje ya chama

Membe anatarajiwa kurejea nchini akitokea nje ya nchi kikazi

My Take
Mwenye kifungu cha katiba ya CCM inayozuia kikundi cha watu kumpokea mwanachama airport,atuwekee hapa.
Wewe ndugu yetu unategemea upate jipya kutoka kwa watu wa aina hii?
tapatalk_1543592921623.jpeg
 
Leo ni siku ya jumapili tunaweza kuwatembelea watu waliopo mahabusu segerea ni muhimu kuliko hata huyu wa airport!
Nasikia chakubanga kakupa onyo kali kwa uzi wako ulio upost ukimponda mwenyekiti wako
 
Nawashangaa sana naona leo wameamua kuja na nyuzi za Membe kumhujumu JPM, badala yake wangetumia muda huu kujadili ni wapi wao binafsi wameteleza hadi kukimbiwa na wabunge wao wanabaki kuwafitini wana CCM nawapa pole maana 2020 CCM itaendelea kushika dola na kwa kura nyingi zaidi...
Mbona mnamuogopa sana Membe?
 
Nawashangaa sana naona leo wameamua kuja na nyuzi za Membe kumhujumu JPM, badala yake wangetumia muda huu kujadili ni wapi wao binafsi wameteleza hadi kukimbiwa na wabunge wao wanabaki kuwafitini wana CCM nawapa pole maana 2020 CCM itaendelea kushika dola na kwa kura nyingi zaidi...
Mbona mh Bernard Membe hataki kuunga juudi, badala yake anaendesha kampeni underground kumpindua mtukufu mwenyekiti, au yeye haoni juudi za mwenyekiti wenu
 
Back
Top Bottom