Nicolas J Clinton Gabone
JF-Expert Member
- Mar 13, 2014
- 879
- 491
Yachochoeni mpaka yote yakose mikono na miguu yapigane huko Lumumba na kibanda chao hicho kiwake moto.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali kama hili ni gumu sana kiasi cha kujibiwa na maignorance wa ccm!KWANINI JIWE ANAMHOFIA MEMBE KIASI HICHO WAKATI KAZI ANAZOFANYA ZINAWAVUTIA HADI WAPINZANI WANAUNGA MKONO JUHUDI?
Unaposema “wavamizi”, unamaanisha hao mliowanunua kutoka chadema?Mimi kama mwana ccm ninayo haki kikatiba ya chama na ya nchi kumpokea Membe Airport. Membe ana haki sawa na waliopo kwanini muanze kumuogopa?
Tunataka haki ndani ya ccm,tunataka kurudisha heshima ya chama na ya nchi.
CCM ni yetu wote sio ya hao wavamizi tu
Nafikiri Mamluki wamegawiwa kidogo fungi, na bado kuna ahadi nyingi kwao.Ile kesi ya fedha za wa libya kujenga kiwanda cha cement lindi lazima iibuke
Aweke kifungu akitoe wapi?alafu cku hz kumpokea mgeni airport ni kosa?Hakika hali ni tete huku CCM
Baada ya kubaini tetesi za uwepo wa vijana wanaojiandaa kujitokeza kumlaki na kumpokea Bernard Membe akitokea nje ya nchi,CCM imeingia kiwewe
Kuna tetesi kuwa Katibu Mwenezi ameingilia kati na kuwaonya vijana au kikundi chochote kitakachomlaki Membe kwa mlengo wa kisiasa.
Membe anahusishwa na mapinduzi ya kumng'oa Magufuli na kuonekana kuungwa mkono ndani na nje ya chama
Membe anatarajiwa kurejea nchini akitokea nje ya nchi kikazi
My Take
Mwenye kifungu cha katiba ya CCM inayozuia kikundi cha watu kumpokea mwanachama airport,atuwekee hapa.
Kumbe wana CCM ndo hawatakiwi, je sisi wananchi tusio na vyama tukienda kumpokea kuna tatizo?Hakika hali ni tete huku CCM
Baada ya kubaini tetesi za uwepo wa vijana wanaojiandaa kujitokeza kumlaki na kumpokea Bernard Membe akitokea nje ya nchi,CCM imeingia kiwewe
Kuna tetesi kuwa Katibu Mwenezi ameingilia kati na kuwaonya vijana au kikundi chochote kitakachomlaki Membe kwa mlengo wa kisiasa.
Membe anahusishwa na mapinduzi ya kumng'oa Magufuli na kuonekana kuungwa mkono ndani na nje ya chama
Membe anatarajiwa kurejea nchini akitokea nje ya nchi kikazi
My Take
Mwenye kifungu cha katiba ya CCM inayozuia kikundi cha watu kumpokea mwanachama airport,atuwekee hapa.
Anaogopa juhudi zakeKWANINI JIWE ANAMHOFIA MEMBE KIASI HICHO WAKATI KAZI ANAZOFANYA ZINAWAVUTIA HADI WAPINZANI WANAUNGA MKONO JUHUDI?
Wewe ndugu yetu unategemea upate jipya kutoka kwa watu wa aina hii?Hakika hali ni tete huku CCM
Baada ya kubaini tetesi za uwepo wa vijana wanaojiandaa kujitokeza kumlaki na kumpokea Bernard Membe akitokea nje ya nchi,CCM imeingia kiwewe
Kuna tetesi kuwa Katibu Mwenezi ameingilia kati na kuwaonya vijana au kikundi chochote kitakachomlaki Membe kwa mlengo wa kisiasa.
Membe anahusishwa na mapinduzi ya kumng'oa Magufuli na kuonekana kuungwa mkono ndani na nje ya chama
Membe anatarajiwa kurejea nchini akitokea nje ya nchi kikazi
My Take
Mwenye kifungu cha katiba ya CCM inayozuia kikundi cha watu kumpokea mwanachama airport,atuwekee hapa.
Hayo maneno kawaambie viongozi wako wanao tetemeka kusikia Membe anarudiAcheni kumfitinisha Membe na JPM....
Wacha tuongeze kuniChochea moto hadi hicho kibanda cha Lumumba kibakie majivu
Nasikia chakubanga kakupa onyo kali kwa uzi wako ulio upost ukimponda mwenyekiti wakoLeo ni siku ya jumapili tunaweza kuwatembelea watu waliopo mahabusu segerea ni muhimu kuliko hata huyu wa airport!
Mbona mnamuogopa sana Membe?Nawashangaa sana naona leo wameamua kuja na nyuzi za Membe kumhujumu JPM, badala yake wangetumia muda huu kujadili ni wapi wao binafsi wameteleza hadi kukimbiwa na wabunge wao wanabaki kuwafitini wana CCM nawapa pole maana 2020 CCM itaendelea kushika dola na kwa kura nyingi zaidi...
Mbona mh Bernard Membe hataki kuunga juudi, badala yake anaendesha kampeni underground kumpindua mtukufu mwenyekiti, au yeye haoni juudi za mwenyekiti wenuNawashangaa sana naona leo wameamua kuja na nyuzi za Membe kumhujumu JPM, badala yake wangetumia muda huu kujadili ni wapi wao binafsi wameteleza hadi kukimbiwa na wabunge wao wanabaki kuwafitini wana CCM nawapa pole maana 2020 CCM itaendelea kushika dola na kwa kura nyingi zaidi...
Tatizo la Membe hanunuliki yaani ni sawa na MboweKama jpm anatekeleza Sera hadi wapinzani wanaunga nia vipi amuogope membe !