Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 19,484
- 38,416
We jamaa umegeuka nyuma lazima uwe jiwe la chumviLeo ni siku ya jumapili tunaweza kuwatembelea watu waliopo mahabusu segerea ni muhimu kuliko hata huyu wa airport!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We jamaa umegeuka nyuma lazima uwe jiwe la chumviLeo ni siku ya jumapili tunaweza kuwatembelea watu waliopo mahabusu segerea ni muhimu kuliko hata huyu wa airport!
Tangu wakutoe marinda naona unaweweseka sana na wanaumeWEWE KIJANA MDOGO
HUU MCHEZO NI WA WANAUME
NENDA SEGEREA KAMSALIMIE DJ
Nakazia hoja..Naunga mkono
Huwa tunaanza kwa kubisha kwanza, ndio stail yetu.Hata mwanzoni mlikuwa mnasema ni uzushi ila juzi Bashiru kathibitisha kuwa huko CCM kuna fukuto la Membe kutaka kugombe uraisi 2020.
Poa tu hata ww ukipelekwa segedance tutakuvisitLeo ni siku ya jumapili tunaweza kuwatembelea watu waliopo mahabusu segerea ni muhimu kuliko hata huyu wa airport!
KWANINI JIWE ANAMHOFIA MEMBE KIASI HICHO WAKATI KAZI ANAZOFANYA ZINAWAVUTIA HADI WAPINZANI WANAUNGA MKONO JUHUDI?
Agenda iliyobaki ni kumdhibiti Bernad asimpinge mwenyekiti 2020Teteeeeeeeesiiiiiii kila kitu tetesiiiiiiiii. Hakuna agenda nyingine wazee?
TetesiHakika hali ni tete huku CCM
Baada ya kubaini tetesi za uwepo wa vijana wanaojiandaa kujitokeza kumlaki na kumpokea Bernard Membe akitokea nje ya nchi,CCM imeingia kiwewe
Kuna tetesi kuwa Katibu Mwenezi ameingilia kati na kuwaonya vijana au kikundi chochote kitakachomlaki Membe kwa mlengo wa kisiasa.
Membe anahusishwa na mapinduzi ya kumng'oa Magufuli na kuonekana kuungwa mkono ndani na nje ya chama
Membe anatarajiwa kurejea nchini akitokea nje ya nchi kikazi
My Take
Mwenye kifungu cha katiba ya CCM inayozuia kikundi cha watu kumpokea mwanachama airport,atuwekee hapa.
Eti “njaa kali”, walikutafuna halafu hawakutosheka?Waache chadrama mcharuko tumesha wazoea mizee yenye njaa kali sana walahi
Nawashangaa sana naona leo wameamua kuja na nyuzi za Membe kumhujumu JPM, badala yake wangetumia muda huu kujadili ni wapi wao binafsi wameteleza hadi kukimbiwa na wabunge wao wanabaki kuwafitini wana CCM nawapa pole maana 2020 CCM itaendelea kushika dola na kwa kura nyingi zaidi...
Kuwatembelea watu magerzan waliofungwa kisa chuki za watawala wa kile chama chenu ni unafki wa hali ya juu zaidLeo ni siku ya jumapili tunaweza kuwatembelea watu waliopo mahabusu segerea ni muhimu kuliko hata huyu wa airport!
Me nataka agombee kupitia fisiemu ndo itakuwa[emoji435][emoji435][emoji435]Amini usi Amini....Membe akienda Chadema tutaambiwa anafaa kuliko mtu yeyote yule,duh siasa za hapa bongo zimenichosha kabisa
Nani kaacha ubunge wake? Unaahidiwa kurudishiwa ubunge wako kwa gharama zozote, ikibidi unaahidiwa na uwaziri na mshiko wa kutakata, shtuka weweKwa hiyo unataka kusema wabunge wote wa chadema waliohamia ccm walivutiwa na ndoano...
CCM itashinda kwa kura nyingi 2020 when Benard C. Membe is their Presidential candidate but sio kwa huyu,ambae hata selection of words ni tatizo kwako,full kuropoka.Nawashangaa sana naona leo wameamua kuja na nyuzi za Membe kumhujumu JPM, badala yake wangetumia muda huu kujadili ni wapi wao binafsi wameteleza hadi kukimbiwa na wabunge wao wanabaki kuwafitini wana CCM nawapa pole maana 2020 CCM itaendelea kushika dola na kwa kura nyingi zaidi...