Tetesi: CCM yawaonya watakaomlaki B. Membe uwanja wa ndege akitokea ughaibuni

Tetesi: CCM yawaonya watakaomlaki B. Membe uwanja wa ndege akitokea ughaibuni

Hata mwanzoni mlikuwa mnasema ni uzushi ila juzi Bashiru kathibitisha kuwa huko CCM kuna fukuto la Membe kutaka kugombe uraisi 2020.
Huwa tunaanza kwa kubisha kwanza, ndio stail yetu.
 
Mm pia nimesikia kuhusu hii habari
Kutoka ndani sana
Tuipe muda tu ndio mwalimu mzr
 
Membe wewe njoo mzima mzima ngosha kawachosha ndani ya chama na nje ya chama, wanampigia kelel ni wale wanaonufaika na uwepo wake pale mjengoni ila amino nakwambia ukilianzisha mda huu utapokea mapokezi mikubwa ambayo hata lowasa cha mtoto
 
Hakika hali ni tete huku CCM
Baada ya kubaini tetesi za uwepo wa vijana wanaojiandaa kujitokeza kumlaki na kumpokea Bernard Membe akitokea nje ya nchi,CCM imeingia kiwewe

Kuna tetesi kuwa Katibu Mwenezi ameingilia kati na kuwaonya vijana au kikundi chochote kitakachomlaki Membe kwa mlengo wa kisiasa.

Membe anahusishwa na mapinduzi ya kumng'oa Magufuli na kuonekana kuungwa mkono ndani na nje ya chama

Membe anatarajiwa kurejea nchini akitokea nje ya nchi kikazi

My Take
Mwenye kifungu cha katiba ya CCM inayozuia kikundi cha watu kumpokea mwanachama airport,atuwekee hapa.
Tetesi
 
Nawashangaa sana naona leo wameamua kuja na nyuzi za Membe kumhujumu JPM, badala yake wangetumia muda huu kujadili ni wapi wao binafsi wameteleza hadi kukimbiwa na wabunge wao wanabaki kuwafitini wana CCM nawapa pole maana 2020 CCM itaendelea kushika dola na kwa kura nyingi zaidi...

Kwa msaada ya POLIccm
 
Leo ni siku ya jumapili tunaweza kuwatembelea watu waliopo mahabusu segerea ni muhimu kuliko hata huyu wa airport!
Kuwatembelea watu magerzan waliofungwa kisa chuki za watawala wa kile chama chenu ni unafki wa hali ya juu zaid
 
Membe tangaza siku unayokuja namie nitatoka huku Porini Minjingu nije kumpokea maana ndio mtu aliyebaki ndani ya chama kumuondoa JIWE.
 
Amini usi Amini....Membe akienda Chadema tutaambiwa anafaa kuliko mtu yeyote yule,duh siasa za hapa bongo zimenichosha kabisa
 
Amini usi Amini....Membe akienda Chadema tutaambiwa anafaa kuliko mtu yeyote yule,duh siasa za hapa bongo zimenichosha kabisa
Me nataka agombee kupitia fisiemu ndo itakuwa[emoji435][emoji435][emoji435]
 
Kwa hiyo unataka kusema wabunge wote wa chadema waliohamia ccm walivutiwa na ndoano...
Nani kaacha ubunge wake? Unaahidiwa kurudishiwa ubunge wako kwa gharama zozote, ikibidi unaahidiwa na uwaziri na mshiko wa kutakata, shtuka wewe
 
Nawashangaa sana naona leo wameamua kuja na nyuzi za Membe kumhujumu JPM, badala yake wangetumia muda huu kujadili ni wapi wao binafsi wameteleza hadi kukimbiwa na wabunge wao wanabaki kuwafitini wana CCM nawapa pole maana 2020 CCM itaendelea kushika dola na kwa kura nyingi zaidi...
CCM itashinda kwa kura nyingi 2020 when Benard C. Membe is their Presidential candidate but sio kwa huyu,ambae hata selection of words ni tatizo kwako,full kuropoka.
 
Back
Top Bottom