Echisute
JF-Expert Member
- Oct 16, 2018
- 531
- 524
Nina wasiwasi na upeo wako wa kufikiri mambo kwa kina.Leo ni siku ya jumapili tunaweza kuwatembelea watu waliopo mahabusu segerea ni muhimu kuliko hata huyu wa airport!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nina wasiwasi na upeo wako wa kufikiri mambo kwa kina.Leo ni siku ya jumapili tunaweza kuwatembelea watu waliopo mahabusu segerea ni muhimu kuliko hata huyu wa airport!
Twende na Membe kwanza....Leo ni siku ya jumapili tunaweza kuwatembelea watu waliopo mahabusu segerea ni muhimu kuliko hata huyu wa airport!
Kila mtu anajua wabunge walinunuliwa na kodi zetu! Ngoja tuone baada ya dirisha kufungwa kama kutakuwa na hama hama! Hamna maana nyie mnapora mpaka mafao ya wastaafu!Nawashangaa sana naona leo wameamua kuja na nyuzi za Membe kumhujumu JPM, badala yake wangetumia muda huu kujadili ni wapi wao binafsi wameteleza hadi kukimbiwa na wabunge wao wanabaki kuwafitini wana CCM nawapa pole maana 2020 CCM itaendelea kushika dola na kwa kura nyingi zaidi...
Sherehe hufanywa mwishoni wa vita sio mwanzo.Kwani wakati anaondoka walimsindikiza?
Political strategiesWatu wasioipenda CCM wanaweza wakatumia fursa hiyo kuwavuruga. Yani watavaa jezi za CCM na kujifanya wafuasi wa Membe then wanaenda kumlaki. Baadaye watakaa pembeni kuangalia mtifuano
Kama mahakamani kwa dj walishindwa ndio airport?Leo ni siku ya jumapili tunaweza kuwatembelea watu waliopo mahabusu segerea ni muhimu kuliko hata huyu wa airport!
Mwambie aache woga sasa!Nawashangaa mnaofikiri Rais Magufuli anahitaji nguvu sana kujinadi wakati wakati nyinyi mnashtuka kumeanza kupambazuka mwenzenu alikuwa hajalala anatupigia kazi wananchi biashara ilishakwisha siku nyingi ni vipofu tu wa ubongo ndo watao taka kuzama battle na JPM
MAGUFULI4LIFE
Aaaah tunaenda .pumbafuuuuu
Watu wasioipenda CCM wanaweza wakatumia fursa hiyo kuwavuruga. Yani watavaa jezi za CCM na kujifanya wafuasi wa Membe then wanaenda kumlaki. Baadaye watakaa pembeni kuangalia mtifuano
Chochea moto hadi hicho kibanda cha Lumumba kibakie majivu
Mwambie aache woga sasa!
Chochea moto hadi hicho kibanda cha Lumumba kibakie majivu
Kama jiwe kaweza basi amini hakuna anayeshindwa kuwa rais! Membe ni bora mara 1000 ya jiwe!Membe hawezi kuwa rais ova.
Zingekuwa propaganda katibu angeweweseka jana kwenye mkutano? Kuwa na utimamu bhasi kidogoSijui umbea na uongo unawasaidia nini?
Too low propaganda
Waache chadrama mcharuko tumesha wazoea mizee yenye njaa kali sana walahi
Kibabu Mugabe aliachia kwa busara au unga ulizid maji?
Ule ugonjwa wako wa kuweweseka umeshapona mkuu?Leo ni siku ya jumapili tunaweza kuwatembelea watu waliopo mahabusu segerea ni muhimu kuliko hata huyu wa airport!