Marwa_J_Merengo
JF-Expert Member
- Aug 6, 2018
- 4,512
- 6,882
lakini kama ni kweli membe anamkwamisha mzee wetu kwa nini wasimzibiti kimya kimya humo ndani ya chama hizi kelele zinazopigwa huku nje kiukweli hazitoi picha nzuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo unataka kusema wabunge wote wa chadema waliohamia ccm walivutiwa na ndoano...
nusu kichaa etiunaadhan alichoandika amekielewa bas?eti.mbunge akimbie hhehehee kuwa ccm ni kama kutahiriwa bila ganzi.. akili inaruka unakuwa nusu kichaa
theriogenology
Harakati za ny.u.mbu zinavutia sana.kabisa mkuu!
Kila jambo msiwe mnawasingizia CHADEMA. Mtakwama.Kama ungezijua id za watu na majina ya watu lazima ungeandaa tamasha la kujinyonga mwenyewe kwa hiyari yako hadharani.Kiingilio ungepanga kiwe bukubuku.Ni tathmini na uchambuzi wangu binafsi. wewe pia una ruhusa ya kuwaza tofauti
Kwani kuna ccm nchi nyingine? Hebu tuelekeze nchi ambazo ccm inatawala! Utoto na uelewa duni kama siyo dhaifu! Pathetic wallah!Yup
Njaa za chadrama mcharuko ndio wamecharuka humu kunadi CHAMA CHETU CHA TANZANIA CCM WALAHI
View attachment 952921
Hakika hali ni tete huku CCM
Baada ya kubaini tetesi za uwepo wa vijana wanaojiandaa kujitokeza kumlaki na kumpokea Bernard Membe akitokea nje ya nchi,CCM imeingia kiwewe
Kuna tetesi kuwa Katibu Mwenezi ameingilia kati na kuwaonya vijana au kikundi chochote kitakachomlaki Membe kwa mlengo wa kisiasa.
Membe anahusishwa na mapinduzi ya kumng'oa Magufuli na kuonekana kuungwa mkono ndani na nje ya chama
Membe anatarajiwa kurejea nchini akitokea nje ya nchi kikazi
My Take
Mwenye kifungu cha katiba ya CCM inayozuia kikundi cha watu kumpokea mwanachama airport,atuwekee hapa.
Jana kule iringa Msigwa kafanya take iringaNawashangaa sana naona leo wameamua kuja na nyuzi za Membe kumhujumu JPM, badala yake wangetumia muda huu kujadili ni wapi wao binafsi wameteleza hadi kukimbiwa na wabunge wao wanabaki kuwafitini wana CCM nawapa pole maana 2020 CCM itaendelea kushika dola na kwa kura nyingi zaidi...
Nashangilia vuguvugu la kuwavuruga fisiemFisiem haiwezi zaa bikira,
Daaaaaaah mwamba umenifurahisha sana asubuhi hiii mzee wa kazi duuuh achocheeee hadi kibanda cha lumumba kibakie majivuChochea moto hadi hicho kibanda cha Lumumba kibakie majivu
Huyo huwa hajielewi.Nina uwalakini anapomaliza hizo walahi zake na kijimkojo chembamba hufuata kumtoka.Kwani kuna ccm nchi nyingine? Hebu tuelekeze nchi ambazo ccm inatawala! Utoto na uelewa duni kama siyo dhaifu! Pathetic wallah!
Mtasubiri sana hapo mto mara hadi mamba wawatafune kama mlivyotafunwa 2015Nashangilia vuguvugu la kuwavuruga fisiem
sidhani. Membe ni CCM na anajua, anaweza kusema hataki kulakiwa! Hivi ni vita vya panzi yya ndani kwa ndani kunguru kwa nini wasifurahi?Watu wasioipenda CCM wanaweza wakatumia fursa hiyo kuwavuruga. Yani watavaa jezi za CCM na kujifanya wafuasi wa Membe then wanaenda kumlaki. Baadaye watakaa pembeni kuangalia mtifuano