kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
kabisa mkuu!Tumeshafunga kurasa ya hao wa mahabusu..tunafungua chapter nyingine braza..hao hata wakikaa mwaka tumeshamaliza ukurasa wao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kabisa mkuu!Tumeshafunga kurasa ya hao wa mahabusu..tunafungua chapter nyingine braza..hao hata wakikaa mwaka tumeshamaliza ukurasa wao.
Acheni kumfitinisha Membe na JPM....
kichekesho chatambaa kama si kudema wanataka kumlaki membe airport!Yup
Njaa za chadrama mcharuko ndio wamecharuka humu kunadi CHAMA CHETU CHA TANZANIA CCM WALAHI
View attachment 952921
[emoji23][emoji23][emoji23]Kama jpm anatekeleza Sera hadi wapinzani wanaunga nia vipi amuogope membe !
Wabunge 8 kati ya 46 tofauti ipiNawashangaa sana naona leo wameamua kuja na nyuzi za Membe kumhujumu JPM, badala yake wangetumia muda huu kujadili ni wapi wao binafsi wameteleza hadi kukimbiwa na wabunge wao wanabaki kuwafitini wana CCM nawapa pole maana 2020 CCM itaendelea kushika dola na kwa kura nyingi zaidi...
Naona mnapeana sapoti visalata wa mitaa ya Lumumba bk7!!HahahahaaaaYup
Njaa za chadrama mcharuko ndio wamecharuka humu kunadi CHAMA CHETU CHA TANZANIA CCM WALAHI
View attachment 952921
Ile kesi ya fedha za wa libya kujenga kiwanda cha cement lindi lazima iibuke
Kwa nini usiwe mwandiko wa NLD au "KUFU" ya Lipumb?Huu mwandiko ni wa wanaufipa, period. Mtasubiri sana ila hatuziamini propaganda zenu kuuaminisha umma kuwa eti BM anapendwa sana ndani na nje ya CCM
Ni tathmini na uchambuzi wangu binafsi. wewe pia una ruhusa ya kuwaza tofautiKwa nini usiwe mwandiko wa NLD au "KUFU" ya Lipumb?
Waache chadrama mcharuko tumesha wazoea mizee yenye njaa kali sana walahi
Hakika hali ni tete huku CCM
Baada ya kubaini tetesi za uwepo wa vijana wanaojiandaa kujitokeza kumlaki na kumpokea Bernard Membe akitokea nje ya nchi,CCM imeingia kiwewe
Kuna tetesi kuwa Katibu Mwenezi ameingilia kati na kuwaonya vijana au kikundi chochote kitakachomlaki Membe kwa mlengo wa kisiasa.
Membe anahusishwa na mapinduzi ya kumng'oa Magufuli na kuonekana kuungwa mkono ndani na nje ya chama
Membe anatarajiwa kurejea nchini akitokea nje ya nchi kikazi
My Take
Mwenye kifungu cha katiba ya CCM inayozuia kikundi cha watu kumpokea mwanachama airport,atuwekee hapa.
Leo ni siku ya jumapili tunaweza kuwatembelea watu waliopo mahabusu segerea ni muhimu kuliko hata huyu wa airport!
BERNARD CAMILLUS MEMBE back to the HEADLINES!!!
VIVA MEMBE, WASHA MOTO Upinzani makini utatoka ndani ya CCM yenyewe.
Hakika hali ni tete huku CCM
Baada ya kubaini tetesi za uwepo wa vijana wanaojiandaa kujitokeza kumlaki na kumpokea Bernard Membe akitokea nje ya nchi,CCM imeingia kiwewe
Kuna tetesi kuwa Katibu Mwenezi ameingilia kati na kuwaonya vijana au kikundi chochote kitakachomlaki Membe kwa mlengo wa kisiasa.
Membe anahusishwa na mapinduzi ya kumng'oa Magufuli na kuonekana kuungwa mkono ndani na nje ya chama
Membe anatarajiwa kurejea nchini akitokea nje ya nchi kikazi
My Take
Mwenye kifungu cha katiba ya CCM inayozuia kikundi cha watu kumpokea mwanachama airport,atuwekee hapa.
Atapenyea wapi,kiongozi wa kiafrica kushindwa uraisi ni kwa Sababu Mbili uzembe wake au busara yake tu kuachiaSawq
Sawa, lakin rais ni kachero membe, kwan we unaumia sana?
Bashite unahangaika kila Uzi wa membe unacomment inaonekana unakiwewe jiwe akitoka utakula wapiWaache chadrama mcharuko tumesha wazoea mizee yenye njaa kali sana walahi