Tetesi: CCM yawaonya watakaomlaki B. Membe uwanja wa ndege akitokea ughaibuni

Tetesi: CCM yawaonya watakaomlaki B. Membe uwanja wa ndege akitokea ughaibuni

Hakika hali ni tete huku CCM
Baada ya kubaini tetesi za uwepo wa vijana wanaojiandaa kujitokeza kumlaki na kumpokea Bernard Membe akitokea nje ya nchi,CCM imeingia kiwewe

Kuna tetesi kuwa Katibu Mwenezi ameingilia kati na kuwaonya vijana au kikundi chochote kitakachomlaki Membe kwa mlengo wa kisiasa.

Membe anahusishwa na mapinduzi ya kumng'oa Magufuli na kuonekana kuungwa mkono ndani na nje ya chama

Membe anatarajiwa kurejea nchini akitokea nje ya nchi kikazi

My Take
Mwenye kifungu cha katiba ya CCM inayozuia kikundi cha watu kumpokea mwanachama airport,atuwekee hapa.
Sijui umbea na uongo unawasaidia nini?

Too low propaganda
 
Leo ni siku ya jumapili tunaweza kuwatembelea watu waliopo mahabusu segerea ni muhimu kuliko hata huyu wa airport!
Yup
Njaa za chadrama mcharuko ndio wamecharuka humu kunadi CHAMA CHETU CHA TANZANIA CCM WALAHI
4322CEDD-8693-458B-BF51-C6F23ABDE253.png
 
Hakika hali ni tete huku CCM
Baada ya kubaini tetesi za uwepo wa vijana wanaojiandaa kujitokeza kumlaki na kumpokea Bernard Membe akitokea nje ya nchi,CCM imeingia kiwewe

Kuna tetesi kuwa Katibu Mwenezi ameingilia kati na kuwaonya vijana au kikundi chochote kitakachomlaki Membe kwa mlengo wa kisiasa.

Membe anahusishwa na mapinduzi ya kumng'oa Magufuli na kuonekana kuungwa mkono ndani na nje ya chama

Membe anatarajiwa kurejea nchini akitokea nje ya nchi kikazi

My Take
Mwenye kifungu cha katiba ya CCM inayozuia kikundi cha watu kumpokea mwanachama airport,atuwekee hapa.
Kwani wakati anaondoka walimsindikiza?
 
Watu wasioipenda CCM wanaweza wakatumia fursa hiyo kuwavuruga. Yani watavaa jezi za CCM na kujifanya wafuasi wa Membe then wanaenda kumlaki. Baadaye watakaa pembeni kuangalia mtifuano
Huu usanii wanauweza CCM tu, mpinzani hawezi vaa gagulo la ccm policcm wakamwacha hivi hivi. Hata Membe akitua Leo utaona ulinzi utakavyoimarishwa airport utadhani kuna tiahio la ugaidi kumbe kuna MTU katishika kuporwa madaraka.
 
Watu wasioipenda CCM wanaweza wakatumia fursa hiyo kuwavuruga. Yani watavaa jezi za CCM na kujifanya wafuasi wa Membe then wanaenda kumlaki. Baadaye watakaa pembeni kuangalia mtifuano
Sio kwa ccm hii ya magu..upuuzi huo ilikuwa enzi za jk.
 
Hata mwanzoni mlikuwa mnasema ni uzushi ila juzi Bashiru kathibitisha kuwa huko CCM kuna fukuto la Membe kutaka kugombe uraisi 2020.
Unaongelea Bashiru yupi? Huyu Katibu mwenezi wa CHADEMA? Bashiru anayeeneza propaganda za CHADEMA eti Membe anataka kugombea 2020!
 
Sawq
Nawashangaa sana naona leo wameamua kuja na nyuzi za Membe kumhujumu JPM, badala yake wangetumia muda huu kujadili ni wapi wao binafsi wameteleza hadi kukimbiwa na wabunge wao wanabaki kuwafitini wana CCM nawapa pole maana 2020 CCM itaendelea kushika dola na kwa kura nyingi zaidi...
Sawa, lakin rais ni kachero membe, kwan we unaumia sana?
 
Mkuu kuwa na utu ...

Na dhambi ya unafiki ni mbaya ...

Leo ndo unakumbuka kuja kutuona sisi wagonjwa ...

Na wafungwa wa gerezan for the sake of camillus ...

Ooh my mother land country am crying for you [emoji20][emoji20]
Kwani mnaruhusiwa kumiliki cm huko kwenu?
 
Back
Top Bottom