Tetesi: CCM yawaonya watakaomlaki B. Membe uwanja wa ndege akitokea ughaibuni

Tetesi: CCM yawaonya watakaomlaki B. Membe uwanja wa ndege akitokea ughaibuni

Hakika hali ni tete huku CCM
Baada ya kubaini tetesi za uwepo wa vijana wanaojiandaa kujitokeza kumlaki na kumpokea Bernard Membe akitokea nje ya nchi,CCM imeingia kiwewe

Kuna tetesi kuwa Katibu Mwenezi ameingilia kati na kuwaonya vijana au kikundi chochote kitakachomlaki Membe kwa mlengo wa kisiasa.

Membe anahusishwa na mapinduzi ya kumng'oa Magufuli na kuonekana kuungwa mkono ndani na nje ya chama

Membe anatarajiwa kurejea nchini akitokea nje ya nchi kikazi

My Take
Mwenye kifungu cha katiba ya CCM inayozuia kikundi cha watu kumpokea mwanachama airport,atuwekee hapa.
Kumekucha !
 
Nashangilia vuguvugu la kuwavuruga fisiem
Mtifuano kama KANU ni lzm bado wa kijani asili wasugua bench na kijani chotara mixer wahamiaji waunga mkono,wafia chama vs wafia maslai.mtifuano haukwepeki
 
Atapenyea wapi,kiongozi wa kiafrica kushindwa uraisi ni kwa Sababu Mbili uzembe wake au busara yake tu kuachia
Kibabu Mugabe aliachia kwa busara au unga ulizid maji?
 
Bora Kolimba aliposema CCM haina dira wala muelekeo.

Sasa hivi tunaona inataka kuanguka kwenye korongo kabisa.
 
Nawashangaa sana naona leo wameamua kuja na nyuzi za Membe kumhujumu JPM, badala yake wangetumia muda huu kujadili ni wapi wao binafsi wameteleza hadi kukimbiwa na wabunge wao wanabaki kuwafitini wana CCM nawapa pole maana 2020 CCM itaendelea kushika dola na kwa kura nyingi zaidi...
Wamaanisha biashara ya utumwa kwa hawa Mecenary huijui?
 
Hakika hali ni tete huku CCM
Baada ya kubaini tetesi za uwepo wa vijana wanaojiandaa kujitokeza kumlaki na kumpokea Bernard Membe akitokea nje ya nchi,CCM imeingia kiwewe

Kuna tetesi kuwa Katibu Mwenezi ameingilia kati na kuwaonya vijana au kikundi chochote kitakachomlaki Membe kwa mlengo wa kisiasa.

Membe anahusishwa na mapinduzi ya kumng'oa Magufuli na kuonekana kuungwa mkono ndani na nje ya chama

Membe anatarajiwa kurejea nchini akitokea nje ya nchi kikazi

My Take
Mwenye kifungu cha katiba ya CCM inayozuia kikundi cha watu kumpokea mwanachama airport,atuwekee hapa.
Hivi kweli rafiki wa PK anaweza kutolewa kwa mkakati wa kisiasa??? Kwa alama za nyakati hizi hilo aliwezikutokea. Kitakachotokea ni watu kufa, kutekwa na kupotea
 
CCM Kama huyu jamaa anaonekana kuyumbisha chama, njia ni mbili tu, moja mfungieni kushiriki shughuli zozote za chama ( kama anataka aondoke) mbili, mfukuzeni chama.

Hii ya pili ikifanyika, wapo wengine wataenda naye lakini chama kitabaki imara na hii haitakuwa mara ya kwanza.
 
Leo ni siku ya jumapili tunaweza kuwatembelea watu waliopo mahabusu segerea ni muhimu kuliko hata huyu wa airport!
Kwa nini wasianzie Air port wakitoka wapitie kwa Wafungwa, Wagonjwa n.k?
 
Nawashangaa sana naona leo wameamua kuja na nyuzi za Membe kumhujumu JPM, badala yake wangetumia muda huu kujadili ni wapi wao binafsi wameteleza hadi kukimbiwa na wabunge wao wanabaki kuwafitini wana CCM nawapa pole maana 2020 CCM itaendelea kushika dola na kwa kura nyingi zaidi...
No longer at ease. CCM ipo madarakani kwa nguvu ya dola.
 
Back
Top Bottom