sodoliki
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 2,593
- 2,019
Nani anaunga, mnatumia pesa kuwalipa na kwa vitisho kibao, unafikiri hii ni siri?Kama jpm anatekeleza Sera hadi wapinzani wanaunga nia vipi amuogope membe !
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani anaunga, mnatumia pesa kuwalipa na kwa vitisho kibao, unafikiri hii ni siri?Kama jpm anatekeleza Sera hadi wapinzani wanaunga nia vipi amuogope membe !
Kivuko kile na ujenzi wa barabara kule chato na kashfa ya Linganga zipo pia.Ile kesi ya fedha za wa libya kujenga kiwanda cha cement lindi lazima iibuke
Ngoja niandae bajeti nitawakodi hata wapiga debe kama 50 hivi nawapa mabango wakamlaki Membe moto uzidi kuwaka.Chochea moto hadi hicho kibanda cha Lumumba kibakie majivu
Kumekucha !Hakika hali ni tete huku CCM
Baada ya kubaini tetesi za uwepo wa vijana wanaojiandaa kujitokeza kumlaki na kumpokea Bernard Membe akitokea nje ya nchi,CCM imeingia kiwewe
Kuna tetesi kuwa Katibu Mwenezi ameingilia kati na kuwaonya vijana au kikundi chochote kitakachomlaki Membe kwa mlengo wa kisiasa.
Membe anahusishwa na mapinduzi ya kumng'oa Magufuli na kuonekana kuungwa mkono ndani na nje ya chama
Membe anatarajiwa kurejea nchini akitokea nje ya nchi kikazi
My Take
Mwenye kifungu cha katiba ya CCM inayozuia kikundi cha watu kumpokea mwanachama airport,atuwekee hapa.
ubarikiwe sana kwa kumuenzi MasaburiNgoja niandae bajeti nitawakodi hata wapiga debe kama 50 hivi nawapa mabango wakamlaki Membe moto uzidi kuwaka.
NB:
Hii style ya kukodi wahuni ninaifanya kumuenzi marehemu Masaburi ilikua ndiyo michezo yake.
Mtifuano kama KANU ni lzm bado wa kijani asili wasugua bench na kijani chotara mixer wahamiaji waunga mkono,wafia chama vs wafia maslai.mtifuano haukwepekiNashangilia vuguvugu la kuwavuruga fisiem
Kibabu Mugabe aliachia kwa busara au unga ulizid maji?Atapenyea wapi,kiongozi wa kiafrica kushindwa uraisi ni kwa Sababu Mbili uzembe wake au busara yake tu kuachia
Mpumbavu wewe kila mtu anakitu chake cha muhimuLeo ni siku ya jumapili tunaweza kuwatembelea watu waliopo mahabusu segerea ni muhimu kuliko hata huyu wa airport!
Wamaanisha biashara ya utumwa kwa hawa Mecenary huijui?Nawashangaa sana naona leo wameamua kuja na nyuzi za Membe kumhujumu JPM, badala yake wangetumia muda huu kujadili ni wapi wao binafsi wameteleza hadi kukimbiwa na wabunge wao wanabaki kuwafitini wana CCM nawapa pole maana 2020 CCM itaendelea kushika dola na kwa kura nyingi zaidi...
Hivi kweli rafiki wa PK anaweza kutolewa kwa mkakati wa kisiasa??? Kwa alama za nyakati hizi hilo aliwezikutokea. Kitakachotokea ni watu kufa, kutekwa na kupoteaHakika hali ni tete huku CCM
Baada ya kubaini tetesi za uwepo wa vijana wanaojiandaa kujitokeza kumlaki na kumpokea Bernard Membe akitokea nje ya nchi,CCM imeingia kiwewe
Kuna tetesi kuwa Katibu Mwenezi ameingilia kati na kuwaonya vijana au kikundi chochote kitakachomlaki Membe kwa mlengo wa kisiasa.
Membe anahusishwa na mapinduzi ya kumng'oa Magufuli na kuonekana kuungwa mkono ndani na nje ya chama
Membe anatarajiwa kurejea nchini akitokea nje ya nchi kikazi
My Take
Mwenye kifungu cha katiba ya CCM inayozuia kikundi cha watu kumpokea mwanachama airport,atuwekee hapa.
Kwa nini wasianzie Air port wakitoka wapitie kwa Wafungwa, Wagonjwa n.k?Leo ni siku ya jumapili tunaweza kuwatembelea watu waliopo mahabusu segerea ni muhimu kuliko hata huyu wa airport!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Chochea moto hadi hicho kibanda cha Lumumba kibakie majivu
No longer at ease. CCM ipo madarakani kwa nguvu ya dola.Nawashangaa sana naona leo wameamua kuja na nyuzi za Membe kumhujumu JPM, badala yake wangetumia muda huu kujadili ni wapi wao binafsi wameteleza hadi kukimbiwa na wabunge wao wanabaki kuwafitini wana CCM nawapa pole maana 2020 CCM itaendelea kushika dola na kwa kura nyingi zaidi...
Hata mwanzoni mlikuwa mnasema ni uzushi ila juzi Bashiru kathibitisha kuwa huko CCM kuna fukuto la Membe kutaka kugombe uraisi 2020.[/QUOTE
Wanaita Membephobia nadhani.