Tz mbongo
JF-Expert Member
- Mar 12, 2015
- 13,332
- 7,351
Jiwe alijikomba kwa nani?Hii tabia ya kujipendekeza na kujikomba iliasisiwa na Jiwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jiwe alijikomba kwa nani?Hii tabia ya kujipendekeza na kujikomba iliasisiwa na Jiwe
Yuko Mbeya huko tena swaya,Huyu jamaa nasikia kwao ni kibaigwa sehemu ambayo bado wanaamini kuwa Tanzania bado ipo kwenye mfumo wa chama kimoja yaani ccm.
Tulilaani sana binadamu mwenye akili kujiita chawa kisa njaa.
Ccm huko wamesema chawa hao watafute kazi nyingine ya kufanya badala ya kuendekeza uchawa kwa rais Samia.
Hili liwe ni fundisho kubwa kwa watanzania wanajitoa akili kisa njaa imewapanda kichwani.View attachment 2709730
Kuchele [emoji23]Tulilaani sana binadamu mwenye akili kujiita chawa kisa njaa.
Ccm huko wamesema chawa hao watafute kazi nyingine ya kufanya badala ya kuendekeza uchawa kwa rais Samia.
Hili liwe ni fundisho kubwa kwa watanzania wanajitoa akili kisa njaa imewapanda kichwani.View attachment 2709730
Wamejipanga kuitumia simba wiki leo kwa Mkapa kuonyesha hasira zao mbele ya mamaHata mtoa tamko yawezekana naye ni
View attachment 2709747
Chama imara ni kile kinatengezeza vijana imara, sio machawa ,leo pita hata vyuoni utashangaa sana , uchawa wakiamini watapata ajira kupitia uchawaTulilaani sana binadamu mwenye akili kujiita chawa kisa njaa.
Ccm huko wamesema chawa hao watafute kazi nyingine ya kufanya badala ya kuendekeza uchawa kwa rais Samia.
Hili liwe ni fundisho kubwa kwa watanzania wanajitoa akili kisa njaa imewapanda kichwani.View attachment 2709730
Wamejipanga kuitumia simba wiki leo kwa Mkapa kuonyesha hasira zao mbele ya mama
Ni aibu sana kama taifa kuwa na vijana wa aina hiiChama imara ni kile kinatengezeza vijana imara, sio machawa ,leo pita hata vyuoni utashangaa sana , uchawa wakiamini watapata ajira kupitia uchawa
Ccm ni chama ila waliomo humo ndo tatizo, na shida kubwa nikutokana kutokua na viongozi bora waliopikwa , badala yake ni kupata vyeo tokana na uchawa,
Siku nikiwa ccm niite mbwa niko pale
Hivi kuwa chawa wa mama inakuaje ni kikundi maslahi? Kwani wanalipwa na mtu?Tulilaani sana binadamu mwenye akili kujiita chawa kisa njaa.
Ccm huko wamesema chawa hao watafute kazi nyingine ya kufanya badala ya kuendekeza uchawa kwa rais Samia.
Hili liwe ni fundisho kubwa kwa watanzania wanajitoa akili kisa njaa imewapanda kichwani.View attachment 2709730
Natafakari kwenda Lupaso!- Mchungaji ameasa wanafamilia kusafiri pamojaaa, mapambano ya kiroho sio ya kawaidaaa bora ya kisiasaaaa
Ndio mmeshapigwa Marufuku sasaHivi kuwa chawa wa mama inakuaje ni kikundi maslahi? Kwani wanalipwa na mtu?
Nachojua Mimi neno chawa lililetwa na Wapinzani eti kuwatusi wanaomshabikia Rais harafu wanaompinga wanaonekana ni wafalme.
Huo ni ujinga mwingine wa hao Halmashauri kuu kutoelewa hasa wanachokofanya na kutapatapa.
Mfano Mimi humu jukwaani Huwa ni shabiki wa mama na haters wake kutwa kucha wananiita chawa lakini silipwi na mtu Wala nadhani hao hawajielewi wanachokofanya.
Wana ccm kama hawa machawa wanalifedhesha taifaHivi kuwa chawa wa mama inakuaje ni kikundi maslahi? Kwani wanalipwa na mtu?
Nachojua Mimi neno chawa lililetwa na Wapinzani eti kuwatusi wanaomshabikia Rais harafu wanaompinga wanaonekana ni wafalme.
Huo ni ujinga mwingine wa hao Halmashauri kuu kutoelewa hasa wanachokofanya na kutapatapa.
Mfano Mimi humu jukwaani Huwa ni shabiki wa mama na haters wake kutwa kucha wananiita chawa lakini silipwi na mtu Wala nadhani hao hawajielewi wanachokofanya.
Mwashamba atafanya kazi gani sasa?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tulilaani sana binadamu mwenye akili kujiita chawa kisa njaa.
Ccm huko wamesema chawa hao watafute kazi nyingine ya kufanya badala ya kuendekeza uchawa kwa rais Samia.
Hili liwe ni fundisho kubwa kwa watanzania wanajitoa akili kisa njaa imewapanda kichwani.View attachment 2709730
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Cc. Lord denning ukatafute njia nyingine ya kupata ugali, usitukasirikie humu.
Nasikia muda mfupi baada ya kusikia tamko la ccm kuwapiga stop pale pale akaanguka chini kama papai bovu na kuzimiaMwashamba atafanya kazi gani sasa?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app