CCM yawapiga marufuku ‘Chawa wa Mama’

CCM yawapiga marufuku ‘Chawa wa Mama’

Jamani mbona mnatuonea chawa wa mama hivyo acheni matusi, kila mtu ana uhuru wa kuchagua cha kushabikia, sisi ni chawa wa Mama
Sasa chama hakiwataki mnalazimisha nini?
 
Ukiona kitu kijakazi akikifanya ndani ya nyumba kwa ujasiri mkubwa basi tambua tu hiyo ndiyo hisia ya familia anayoishi kwa sasa, na ndilo agizo alilolipokea kutoka kwa mwenye nyumba na mwajiri wake. Yeye binafsi hana uwezo wa kujamulia kumkejeli wala kumdharau jirani yake, mpaka apate ridhaa kwanza kutoka kwa bosi wake. Tazama kwa umakini suala ya Musiba wakati uleee!
Dah!... hatari kweli kweli
 
Wivu tu, hao viongozi wanahofu siku moja nafasi zao zitakuja chukuliwa na chawa wa mama. Maana chawa wa mama wanakuwa popular zaidi, so siku uchaguzi ukitokea chawa wakigombea wataibuka washindi kirahisi. Siasa hizi bwana lazima ulinde nafasi yako.
Umeonaeeee.....
 
Utasikia group linajiita chawa wa mama dar , kilimanjaro Tanga n.k
 
We
Wewe chawa mmeambiwa muache uchawa, bado unaendelea.

Machawa wameonekana kutotumia facts katika kuitetea hoja za chama na serikali badala yake wanatumia mihemuko na ushabiki zaidi na wakati mwingine kuharibu mtazamo wa chama ktk mambo ya msingi ya kitaifa.

Je hii sababu unaionaje?
Unaweza simama na Mimi ku argue Kwa kitu kipi hasa? Ukiona maandishi yangu ujue ni facts tupu.

Siwezi ongea propaganda wakati silipwi na yeyote
 
Unaweza simama na Mimi ku argue Kwa kitu kipi hasa? Ukiona maandishi yangu ujue ni facts tupu.

Siwezi ongea propaganda wakati silipwi na yeyote
Ungekuwa huna maslahi na huo mpango usingejiita chawa
 
Ungekuwa huna maslahi na huo mpango usingejiita chawa
Kuna sehemu umewahi niona najiita chawa au nyie nyumbu msio na hoja ndio Huwa mnaniita?

Ndio maana Mimi kuitwa chawa hakukawahi nipa shida Kwa sababu najua nachofanya.
 
Tulilaani sana binadamu mwenye akili kujiita chawa kisa njaa.

Ccm huko wamesema chawa hao watafute kazi nyingine ya kufanya badala ya kuendekeza uchawa kwa rais Samia.

Hili liwe ni fundisho kubwa kwa watanzania wanajitoa akili kisa njaa imewapanda kichwani.View attachment 2709730
Mbona mama mwenyewe aliwasifu, anawapenda.
 
Tulilaani sana binadamu mwenye akili kujiita chawa kisa njaa.

Ccm huko wamesema chawa hao watafute kazi nyingine ya kufanya badala ya kuendekeza uchawa kwa rais Samia.

Hili liwe ni fundisho kubwa kwa watanzania wanajitoa akili kisa njaa imewapanda kichwani.View attachment 2709730
CCM ni chawa.
 
Back
Top Bottom