Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utawasikia kesho wanaandamana kuunga mkono tamkoTulilaani sana binadamu mwenye akili kujiita chawa kisa njaa.
Ccm huko wamesema chawa hao watafute kazi nyingine ya kufanya badala ya kuendekeza uchawa kwa rais Samia.
Hili liwe ni fundisho kubwa kwa watanzania wanajitoa akili kisa njaa imewapanda kichwani.
CCM ina hazina kubwa sana ya wapumbavuChawa ndio limekataliwa nawashauri sasa wajiite kunguni wa mama.
Ila kweli mtu unakubali kujiita 'chawa' this is purely stupidity!
Njaaa mbaya sana mzee yaani mtu anamaliza chuo anakuwa na vyeti mkononi kwa zaidi ya miaka 5 kitaa alafu anapata chance ya kujiita CHAWA na KUNGUNI wa mkubwa anaanzaje kukataa wakati anashiba?Chawa ndio limekataliwa nawashauri sasa wajiite kunguni wa mama.
Ila kweli mtu unakubali kujiita 'chawa' this is purely stupidity!
Chawa Hakai Kwa watu SafiTulilaani sana binadamu mwenye akili kujiita chawa kisa njaa.
Ccm huko wamesema chawa hao watafute kazi nyingine ya kufanya badala ya kuendekeza uchawa kwa rais Samia.
Hili liwe ni fundisho kubwa kwa watanzania wanajitoa akili kisa njaa imewapanda kichwani.View attachment 2709730
Aibu hata kwenye familia zao hao machawaTuwatafute viongozi watupe maoni yao:
=
View attachment 2709921
=
Pia soma | Hili la Uongozi wa Chawa wa Mama ni la kweli?
Wazee wa wembe ni ule ule mi ni kada mwenzao ila natahadhari maana A ya leo ya CCM inaweza kuwa B kesho...Umemsahau na kipara kipya
🏃🏃Cc; Mwashambwa
Asante, kuwa chawa ni kama dini, yaani hatuwezi acha kumtetea mwenyekitiNakuonea huruma Sana😂😂