CCM yawapiga marufuku ‘Chawa wa Mama’

CCM yawapiga marufuku ‘Chawa wa Mama’

Tulilaani sana binadamu mwenye akili kujiita chawa kisa njaa.

Ccm huko wamesema chawa hao watafute kazi nyingine ya kufanya badala ya kuendekeza uchawa kwa rais Samia.

Hili liwe ni fundisho kubwa kwa watanzania wanajitoa akili kisa njaa imewapanda kichwani.View attachment 2709730
Sasa na hawa machawa huku jf itakuaje
 
Nasikia muda mfupi baada ya kusikia tamko la ccm kuwapiga stop pale pale akaqnguka chini kama papa bovu
Maskini[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na yale manyuzi yake

Karibu Mtaani Mwashamba tupambane[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ugali wa bure haupo tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jiwe alikuwa anapenda kupigiwa magoti na kurambwa miguu
Basi tungeona uchawa kuisha baada tu ya Jiwe kutokuwepo tena maana si ni yeye tu ndio ambaye alikuwa anapenda kurambwa miguu.
 
Screenshot_20230806-082824.jpg

Hao hapo.
Usanii mtupu.
 
Tulilaani sana binadamu mwenye akili kujiita chawa kisa njaa.

Ccm huko wamesema chawa hao watafute kazi nyingine ya kufanya badala ya kuendekeza uchawa kwa rais Samia.

Hili liwe ni fundisho kubwa kwa watanzania wanajitoa akili kisa njaa imewapanda kichwani.View attachment 2709730
NJAA MBAYA SANA UCHAWA CCM HAUNA UMRI
1665778582794.jpg
 
Tulilaani sana binadamu mwenye akili kujiita chawa kisa njaa.

Ccm huko wamesema chawa hao watafute kazi nyingine ya kufanya badala ya kuendekeza uchawa kwa rais Samia.

Hili liwe ni fundisho kubwa kwa watanzania wanajitoa akili kisa njaa imewapanda kichwani.View attachment 2709730
Daaah 🤔😪 sa itakuaje kwa akina Lucas mwashamba choiceVariable HIMARS Faizafoxy covax?
 
Mimi nitaendelea kuwa Chawa wa Mwenyekiti wa CCM taifa.
Aibu sana kwenu nyinyi machimia tumbo.

Ebu mjiongeze kidogo maana mshakatazwa na mwisho wa siku mtafukuzwa na uanachama kabisa.
 
We
Wewe chawa mmeambiwa muache uchawa, bado unaendelea.

Machawa wameonekana kutotumia facts katika kuitetea hoja za chama na serikali badala yake wanatumia mihemuko na ushabiki zaidi na wakati mwingine kuharibu mtazamo wa chama ktk mambo ya msingi ya kitaifa.

Je hii sababu unaionaje?
Chawa kasanda
 
Back
Top Bottom