pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
wana maagano na "yule mwovu" mkuu.Hivi kwanini CCM hupenda matendo ya KISHETANI kama kupora uchaguzi?w maagano na yule mwovu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wana maagano na "yule mwovu" mkuu.Hivi kwanini CCM hupenda matendo ya KISHETANI kama kupora uchaguzi?w maagano na yule mwovu
Hii kauli ya upotoshaji. Je umeshindwa kuinadi CCM bila ya kuitaja CHADEMA! ?" CHADEMA Digital " kukwama hasa kwa kukosa wanachama
Huyo alietengeneza hiyo kadi keenye picha angeondoa hiyo white background ingependeza zaidi
===
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Tanzania Ndg Samia Suluhu Hassan leo tarehe 05|02|2022 amezindua mfumo mpya wa kadi za kielektroniki,
Baada ya " CHADEMA Digital " kukwama hasa kwa kukosa wanachama huenda Watanzania wengi waliisubiri hii " CCM Digital Cards " yaani " CDC ".
HONGERA SANA CCM-TANZANIA
HONGERA RAIS SAMIA SULUHU
Unataka ibaki kijani tupu?Huyo alietengeneza hiyo kadi keenye picha angeondoa hiyo white background ingependeza zaidi
Yes, mfano kama hii si unaona picha haina background.Unataka ibaki kijani tupu?
Ushauri mzuri mkuu,Yes, mfano kama hii si unaona picha haina background.View attachment 2110999
Kura peleka kwenu kibororoniKadi ninayo ya CCM kutokana ma magumu nayopitia katika wasitegemee kura yangu
Amri zote 10 zinavunjwa hukoHiyo ni dhambi ya ngapi? Au amri ya ngapi?
😀😀😀Wamama huko sokoni wanasinzia kwa ugumu wa maisha hizo Kadi kwaajili ya wanye MATUMBO
Asante CCM ya Mama,
===
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Tanzania Ndg Samia Suluhu Hassan leo tarehe 05|02|2022 amezindua rasmi mfumo mpya wa kadi za kielekitroniki,
Baada ya " CHADEMA Digital " kukwama hasa kwa kukosa wanachama huenda Watanzania wengi waliisubiri hii " CCM Digital Cards " yaani " CDC "
Mtakumbuka hata kabla Chama Cha Mapinduzi ( CCM ) kimekuwa kikiendelea na usajili wa wanachama wake kwa njia hii ya kielekitroniki wakati kikisubiri Uzinduzi huu rasmi,
||HONGERA SANA KWA CCM-TANZANIA
HONGERA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN ||
kaidake mapema yaani,Nasubiri kadi yangu kwa hamu Sana
....
CCM chama kubwa
#kaziiendelee
Khaaa, Full UchocheziIyo kadi ya akina dabaya, makonda na JPM imejaa damu za watu akina azory gwanda, kangoye, saa8 waliouwawa chini ya baraka ya jambazi JPM mliofuraia walipochinjwa na miili yao kutoswa baharini na kisha kuokotwa koko beach.
Ni porojo tu hizo,Unao ushahidi mkuu?
Maafisa Elimu watazigawa kwa Walimu tena kwa kuwalazimisha.Kweli CCM ni chama cha wazee, sasa hivi ndio mmejua mambo ya digital cards!? Mkiambiwa mko madarakani kwa mabavu inabidi muelewe maana hamna ubunifu kabisa.
Kagaweni hizo cards kwenye kambi za jeshi na makazi mengine ya vyombo vya dola, maana CCM sio chama cha siasa, bali kikundi cha dola kilichojivika koti la chama cha siasa.
Sio kweliMaafisa Elimu watazigawa kwa Walimu tena kwa kuwalazimisha.
Hoja, Je Nikweli au sio kweli?Hii kauli ya upotoshaji. Je umeshindwa kuinadi CCM bila ya kuitaja CHADEMA! ?
Kinakulisha na kukulea lazima ukiabuduNasubiri kadi yangu kwa hamu Sana
....
CCM chama kubwa
#kaziiendelee
Kama ilivyo kwako kwa hicho chakoKinakulisha na kukulea lazima ukiabudu