CCM yazindua CCM Digital cards-CDC

CCM yazindua CCM Digital cards-CDC

Kama ilivyo kwako kwa hicho chako
Ukitumbuliwa najua huna pa kukimbilia .

BDC40E9B-F5DD-4842-BA3A-B44DE81CCF3C.jpeg
 

===
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Tanzania Ndg Samia Suluhu Hassan leo tarehe 05|02|2022 amezindua rasmi mfumo mpya wa kadi za kielekitroniki,

Baada ya " CHADEMA Digital " kukwama hasa kwa kukosa wanachama huenda Watanzania wengi waliisubiri hii " CCM Digital Cards " yaani " CDC "

Mtakumbuka hata kabla Chama Cha Mapinduzi ( CCM ) kimekuwa kikiendelea na usajili wa wanachama wake kwa njia hii ya kielekitroniki wakati kikisubiri Uzinduzi huu rasmi,

||HONGERA SANA KWA CCM-TANZANIA
HONGERA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN ||
Chama cha kidijitaki CCM, hongera sana
 
Iyo kadi ya akina dabaya, makonda na JPM imejaa damu za watu akina azory gwanda, kangoye, saa8 waliouwawa chini ya baraka ya jambazi JPM mliofuraia walipochinjwa na miili yao kutoswa baharini na kisha kuokotwa koko beach.
Tena
 

===
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Tanzania Ndg Samia Suluhu Hassan leo tarehe 05|02|2022 amezindua rasmi mfumo mpya wa kadi za kielekitroniki,

Baada ya " CHADEMA Digital " kukwama hasa kwa kukosa wanachama huenda Watanzania wengi waliisubiri hii " CCM Digital Cards " yaani " CDC "

Mtakumbuka hata kabla Chama Cha Mapinduzi ( CCM ) kimekuwa kikiendelea na usajili wa wanachama wake kwa njia hii ya kielekitroniki wakati kikisubiri Uzinduzi huu rasmi,

||HONGERA SANA KWA CCM-TANZANIA
HONGERA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN ||
CCM juuuuuuu
 
Hakika Rais Samia ameletwa Tanzania kuliponya Taifa,

Kitendo cha kukutana na Tundu Lissu Brussels Ubelgiji ni kiwango cha juu kabisa cha Uzalendo kwa Taifa,

Tumuunge mkono Rais wetu kwa haya kwani anastahili sana,
 

===
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Tanzania Ndg Samia Suluhu Hassan leo tarehe 05|02|2022 amezindua rasmi mfumo mpya wa kadi za kielekitroniki,

Baada ya " CHADEMA Digital " kukwama hasa kwa kukosa wanachama huenda Watanzania wengi waliisubiri hii " CCM Digital Cards " yaani " CDC "

Mtakumbuka hata kabla Chama Cha Mapinduzi ( CCM ) kimekuwa kikiendelea na usajili wa wanachama wake kwa njia hii ya kielekitroniki wakati kikisubiri Uzinduzi huu rasmi,

||HONGERA SANA KWA CCM-TANZANIA
HONGERA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN ||
Wonderful CCM
 
Wonderful CCM
chadema will always be a threat....baada ya chadema kuanzisha digital system, threat ikawajia act wazalendo na ccm. and now you are following chadema's strategy. Mkiambiwa ccm hakuna thinkers mnaaanza kumwaga matusi.

kama hivi ambavyo utanitukana
 
Back
Top Bottom