Hao hawakutoka bali walitolewa kwa vitisho na ahadi za vyeo.Hata hivyo haijasadia kushawishi Uma na ndiyo maana suluhisho lao kwao ni kuwaondoa wagombea wote wa CHADEMA.Sitashangaa pia kama hatua itakayofuata sasa ni kuwanunu viongozi wao wa chini kabisa ili wafunge matawi yao nchi nzima katika mwendelezo wa hila zile zile.Yaani wameshindwa kuifuta CHADEMA kwa kuuza Sera zao kwa wananchi badala yake wanapambana kuifuta kwa HILA kubwa kupitia mihilimi yote.SHAME.Hata kama ni moja ni aibu kwa chama, maana hiyo moja inaweza kusababisha zingine nazo zifungwe. Kumbuka, alianza kutoka diwani mmoja sasa wamefika 201. Alianza kutoka mbunge mmoja sasa wamefika 20!