Zanzibar 2020 CCM Zanzibar kama ni kweli mmependekeza iwe hivi basi mnaenda kutengeneza Makundi na Mpasuko baina yenu

Zanzibar 2020 CCM Zanzibar kama ni kweli mmependekeza iwe hivi basi mnaenda kutengeneza Makundi na Mpasuko baina yenu

Mzukulu,

Najua waliopitishwa ni watano, unachoongea hakieleweki vinginevyo ujitambulishe we ni nani na unasema hayo kwa mamlaka gani.

Tangia lini JamiiForums Members tumeanza Kulazimishana Kutambulishana kwa Majina yetu Kamili ( Halisia ) kabisa hapa? Umetumwa Kuniua au?
 
Akina Mzukulu tupo pale mlipo na tutaendelea kuwepo hadi Jumapili ijayo huko Dodoma ila nimesikitishwa mno na Mapendekezo yenu ya Kiuwoga kuwa Mmekubaliana na uliokuwa pia Mtazamo wangu kuwa Profesa Makame Mbarawa awe Isles next CCM Flag bearer kwa mwaka 2020 lakini eti kwa Kumpoza Mzee Mwinyi ( Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili ) mmeamua kuwa Profesa Makame akiapishwa tu basi amteue Dkt. Hussein Mwinyi kuwa Makamu wa Pili wa Rais huko Kisiwani Zanzibar.

Nimesema kuwa mnaenda kutengeneza mpasuko mkubwa sana ndani ya CCM huko Kisiwani Zanzibar kama kweli mtalazimisha Profesa Mbarawa amteue Dkt. Hussein Mwinyi kuwa Makamu wa Pili wa Rais kwani nina uhakika hata Watoto wa waliokuwa Viongozi huko Zanzibar wa akina Karume na Jumbe nao watahisi Kutengwa kama pia si Kudharauliwa hali ambayo inaweza kutengeneza Uhasama na Mpasuko mkubwa wa Kichama na Kiuongozi ambao utakithiri kabisa Chama Cha Mapinduzi huko.

Ushauri wangu Kwenu ni kwamba nimefurahi kuwa Prof Makame Mbarawa atakuwa Rais ila naomba Dkt. Mwinyi asiwe Makamu wa Pili wa Rais.
Wewe nchi hiyo haina mwenyewe, yoyote anaweza kuiongoza ilimradi akidhi vigezo....usitishe watu bhana, alaaa!
 
Akina Mzukulu tupo pale mlipo na tutaendelea kuwepo hadi Jumapili ijayo huko Dodoma ila nimesikitishwa mno na Mapendekezo yenu ya Kiuwoga kuwa Mmekubaliana na uliokuwa pia Mtazamo wangu kuwa Profesa Makame Mbarawa awe Isles next CCM Flag bearer kwa mwaka 2020 lakini eti kwa Kumpoza Mzee Mwinyi ( Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili ) mmeamua kuwa Profesa Makame akiapishwa tu basi amteue Dkt. Hussein Mwinyi kuwa Makamu wa Pili wa Rais huko Kisiwani Zanzibar.

Nimesema kuwa mnaenda kutengeneza mpasuko mkubwa sana ndani ya CCM huko Kisiwani Zanzibar kama kweli mtalazimisha Profesa Mbarawa amteue Dkt. Hussein Mwinyi kuwa Makamu wa Pili wa Rais kwani nina uhakika hata Watoto wa waliokuwa Viongozi huko Zanzibar wa akina Karume na Jumbe nao watahisi Kutengwa kama pia si Kudharauliwa hali ambayo inaweza kutengeneza Uhasama na Mpasuko mkubwa wa Kichama na Kiuongozi ambao utakithiri kabisa Chama Cha Mapinduzi huko.

Ushauri wangu Kwenu ni kwamba nimefurahi kuwa Prof Makame Mbarawa atakuwa Rais ila naomba Dkt. Mwinyi asiwe Makamu wa Pili wa Rais.
wacha wagawane fito tu, who cares?
 
Ndiyo Mchujo ni tayari na Wote wawili hawa wapo katika Kikosi cha Top Five lakini kama kuna Kosa ambalo CCM watafanya ni Kumwomba Rais Mtarajiwa wa Zanzibar Profesa Makame Mbarawa amteue Dkt. Hussein Mwinyi kuwa Makamu wa Pili wa Rais huko ili tu Kumpoza Baba yake ambaye amekuwa ni Mpiga Debe mkubwa kwa Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli.
Raisi akiwa Vuaji je?
 
Acha ramli chonganishi..!!

Unazijua vizuri siasa za Zanzibar wewe!!??Siasa za Upemba na Uunguja?
Atoke Mpemba aje Mpemba??
Hili halitoweza tokea asilani abadani.

Prof Mbarawa ni kiongozi mzuri sana kiutendaji ila CCM itampitishaje mtu ambaye hajawahi chaguliwa na watu hata kwa nafasi ya ubalozi wa Nyumba kumi ama usheha??
Kwanza ni Mpemba,pili ameshindwa mara mbili mfurulizo kwenye uwakilishi.
Lakini la tatu hajakulia Zanzibar, kakulia nje kimasomo na kikazi.Kwa wazenj wamwona kama mtu wa kuja japo si wa bara.
Wapiga kura ni wazenj si akina Magufuli, kazi kweli kweli.
 
Najua na nilishasema hapa mapema tu kuwa Profesa Makame Mbarawa atakuwa Mrithi wa Rais anayemaliza muda wake huko Kisiwani Zanzibar Dkt. Shein na ninamkubali na nitawasifu mno CCM wakimpitisha kwa Nguvu moja. Ila sitaki na wala sipendelei Mtoto yoyote wa waliowahi kuwa Viongozi wa Zanzibar kuanzia Karume, Jumbe na Mwinyi wawe sehemu ya Uongozi wa Juu huko. Kama Mimi ningekuwa Profesa Mbarawa nikiapishwa tu kuwa Rais basi Makamu wangu wa Pili wa Rais ningemteua Masauni. Zanzibar ya sasa inahitaji Sura mpya kabisa na zisizo na Mizizi wala Makundi ya Kifamilia.
The content of your character and not your family background. If Mwinyi deserves lets be it.
 
Akina Mzukulu tupo pale mlipo na tutaendelea kuwepo hadi Jumapili ijayo huko Dodoma ila nimesikitishwa mno na Mapendekezo yenu ya Kiuwoga kuwa Mmekubaliana na uliokuwa pia Mtazamo wangu kuwa Profesa Makame Mbarawa awe Isles next CCM Flag bearer kwa mwaka 2020 lakini eti kwa Kumpoza Mzee Mwinyi ( Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili ) mmeamua kuwa Profesa Makame akiapishwa tu basi amteue Dkt. Hussein Mwinyi kuwa Makamu wa Pili wa Rais huko Kisiwani Zanzibar.

Nimesema kuwa mnaenda kutengeneza mpasuko mkubwa sana ndani ya CCM huko Kisiwani Zanzibar kama kweli mtalazimisha Profesa Mbarawa amteue Dkt. Hussein Mwinyi kuwa Makamu wa Pili wa Rais kwani nina uhakika hata Watoto wa waliokuwa Viongozi huko Zanzibar wa akina Karume na Jumbe nao watahisi Kutengwa kama pia si Kudharauliwa hali ambayo inaweza kutengeneza Uhasama na Mpasuko mkubwa wa Kichama na Kiuongozi ambao utakithiri kabisa Chama Cha Mapinduzi huko.

Ushauri wangu Kwenu ni kwamba nimefurahi kuwa Prof Makame Mbarawa atakuwa Rais ila naomba Dkt. Mwinyi asiwe Makamu wa Pili wa Rais.
Mnamuharibia Mbarawa
 
nimefurahi kuwa Prof Makame Mbarawa atakuwa Rais ila naomba Dkt. Mwinyi asiwe Makamu wa Pili wa Rais.
Yaani umeconclude kabisa kwamba Prof. Mbarawa ndio Rais mteule kabla hata ya mchakato kuisha hapo Dodoma?
 
Acha ramli chonganishi..!!

Unazijua vizuri siasa za Zanzibar wewe!!??Siasa za Upemba na Uunguja?
Atoke Mpemba aje Mpemba??
Hili halitoweza tokea asilani abadani.

Prof Mbarawa ni kiongozi mzuri sana kiutendaji ila CCM itampitishaje mtu ambaye hajawahi chaguliwa na watu hata kwa nafasi ya ubalozi wa Nyumba kumi ama usheha??
Rejea alivyopita Magufuri, walisemaga kama wewe. Anayeongoza nchi sasa nani? asipopita Mbalawa basi hata Magufuri hata teuliwa na CCM. Pima uwezekano huo kama upo
 
Kwani pia Maalim Seif Sharrif ukimfuatilia Kiundani kabisa Ndugu hasa Chimbuko lake unadhani ni Mtanzania halisi kama tulivyo Mimi na Wewe?
Kwa upande wa Zanzibar Seif ni Mzanzibai halisi, ndio maana huwa wanamchgua kila uchaguzi,..

Kwa upande wa Tangayika labda itakuwa vyenginevyo, kwavile mmejaa ukabila,na Udini,pamoja na urangi wa ngozi ya mtu
 
Rejea alivyopita Magufuri, walisemaga kama wewe. Anayeongoza nchi sasa nani? asipopita Mbalawa basi hata Magufuri hata teuliwa na CCM. Pima uwezekano huo kama upo
Ndio maana nikasema "watu wengi hawazijui siasa za Zanzibar siasa za Upemba na Uunguja ni jambo sensitive sana linapokuja suala la kupata kiongozi"
 
Ni Mtanzania kwa kuzaliwa lkn sera na misimamo yake katika Muungano ni tatizo
Maalimu anafuata mtazamo wa wazanzibari wengi, tatizo lipo kwa waTanganyika wanaoona sera na mtizamo wa wazanzibari ni tatizo.
NCHI mbili ziliungana, sio nchi moja ili colonise nyingine. Hilo tusije tukasahau, kwa sababu wazanzibari hawawezi kusahau.
 
Maalimu anafuata mtazamo wa wazanzibari wengi, tatizo lipo kwa waTanganyika wanaoona sera na mtizamo wa wazanzibari ni tatizo.
NCHI mbili ziliungana, sio nchi moja ili colonise nyingine. Hilo tusije tukasahau, kwa sababu wazanzibari hawawezi kusahau.
Mkoloni hakubali hilo
 
safi sana hata huyo Ngalawa poa tu kuliko matoto ya viongozi yamejazana kugombea urais bila aibu hivi utajiri wa familia zao hautoshi? mimi lakini napenda sana awe mzalendo wa kweli Jecha au Nahodha ,kwakuwa ni wakaazi wa Zenjibari!! wengine mkiwataja tu nasikia kichefuchefu! sipendi mno tabia za ngozi nyeusi!
 
Kwani pia Maalim Seif Sharrif ukimfuatilia Kiundani kabisa Ndugu hasa Chimbuko lake unadhani ni Mtanzania halisi kama tulivyo Mimi na Wewe?
Kule w
hawaitaji Mtanzania, Wanaitaji Mzanzibar tu.
 
Back
Top Bottom