Zanzibar 2020 CCM Zanzibar kunaanza kufuka moshi

Kwi kwi kwi kwi loooh WATU WENGINE banaaaa🀣🀣🀣
 
Mimi kundi langu ni wapiga kura wanyonge wanaodhulumiwa siku zote. Wananchi watayemchagua huyo ndiye nitayemuunga mkono

Salaam Arbab!

Hivi wewe ni mwenzetu wa "upande" wa Kisiwandui ama ndio wale wanaohamahama vyama na Ashaikhul Muadhama Arbaab Maalim Seif?!

Hasta la Victoria CCM
 
Salaam Arbab!

Hivi wewe ni mwenzetu wa "upande" wa Kisiwandui ama ndio wale wanaohamahama vyama na Ashaikhul Muadhama Arbaab Maalim Seif?!!!


Hasta la Victoria CCM

Mimi ni Mzanzibari mpenda haki na ukweli. Kisiwandui imekuja na itaondoka kama vyama vyengine lakini Zanzibar itabaki
 
Mimi ni Mzanzibari mpenda haki na ukweli. Kisiwandui imekuja na itaondoka kama vyama vyengine lakini Zanzibar itabaki

Oooo naanza kuyanusa marashi yako.....
Kidogokidogo tu Allah atatuletea SAKINA YA KUKUJUA...KUYAJUA MALENGO YA CHAPISHO LAKO ha ha ha
 
Usitupotezee muda wako hapa tafadhali Rais wa Zanzibar tunajua kama siyo Makame Mbarawa basi atakuwa ni Mkongwe Shamsi Vuai Nahodha.

Nahodha ndio sufuri ni msindikizaji tu na mchumia tumbo. Scandal zake zikianikwa utatapika
 
Oooo naanza kuyanusa marashi yako.....
Kidogokidogo tu Allah atatuletea SAKINA YA KUKUJUA...KUYAJUA MALENGO YA CHAPISHO LAKO ha ha ha

Malengo yangu ni kuwepo haki , ukweli, na ustawi wa jamii , Zanzibar imegeuzwa hell on earth
 
Acha kumtisha mzalendo Nahodha,acha kumsiliba nnya JEMBE letu la zamani kutoka Makunduchi ya Mwakakogwa,huna ulijualo lolote dhidi yakeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Nahodha ndio sufuri ni msindikizaji tu nachumia tumbo. Scandal zake zikianikwa utatapika
 
Acha kumtisha mzalendo Nahodha,acha kumsiliba nnya JEMBE letu la zamani kutoka Makunduchi ya Mwakakogwa,huna ulijualo lolote dhidi yakeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hakuna hata siri kila mtu anajua kabla hajawa waziri kiongozi alikuwa vipi na baada ya miezi isiyofika mitatu kafanya nini. Unguja ni ndogo hata ukijamba harufu kila mtu anaisikia
 
Malengo yangu ni kuwepo haki , ukweli, na ustawi wa jamii , Zanzibar imegeuzwa hell on earth
Unamaanisha kuwa wanachama wenzetu wa CCM upande huo ni mchwa na kupe wasioendana na kasi ya JPM?!!
We si bure utakuwa ni kijana wa Maalim Seif na msaidizi wa Mjanjajanja Zitto Kabwe πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Unamaanisha kuwa wanachama wenzetu wa CCM upande huo ni mchwa na kupe wasioendana na kasi ya JPM?!!
We si bure utakuwa ni kijana wa Maalim Seif na msaidizi wa Mjanja Mjanja Zitto Kabwe πŸ˜‚πŸ˜‚

Haki ya kusema utakalo unayo, hajakukataza mtu
 
Hakuna hata siri kila mtu anajua kabla hajawa waziri kiongozi alikuwa vipi na baada ya miezi isiyofika mitatu kafanya nini. Unguja ni ndogo hata ukijamba harufu kila mtu anaisikia

Acha zako buanaa,sasa km alipoingia hyo miezi 3 aliamua kukopa Benki,dhamana MSHAHARA wake,we utajua?!!!

Sasa maskini Shamsi ana ukwasi gani?!!!daaah siasa hz
 
Acha zako buanaa,sasa km alipoingia hyo miezi 3 aliamua kukopa Benki,dhamana MSHAHARA wake,we utajua?!!!

Sasa maskini Shamsi ana ukwasi gani?!!!daaah siasa hz

Shukrani kwa kuandika neno kama

Bank itathibitisha hilo ulisemalo
 
Mimi ni Mzanzibari mpenda haki na ukweli. Kisiwandui imekuja na itaondoka kama vyama vyengine lakini Zanzibar itabaki

Kisiwandui inayalinda mapinduzi matukufu,sasa ITAONDOKAJE?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…