OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
ni nani kati yenu atamwambia mzee unapotosha?au mnaendelea kumsikiliza tuSisi Watanzania tunamsikiliza rais wetu Magufuli
Wataalamu wetu wamepima sample za papai likakutwa na Corona!, hivyo ni kweli zile testing kits ni defectives
P
Ficha upumbavu wako.Mzee Kinje wa kule Chato alikuwa anadhania kila mtu ni zwazwa. Alikuwa anaropoka ropoka tu. Ngoja wataalamu wamfyatue tu.
CDC Africa: Vipimo vya Corona Virus vinavyotumika Tanzania vinafanya kazi vizuri - JamiiForumsRais alisema kuna mawili, yaweza kuwa ni vipimo kutokuwa sawa, au wataalamu kwa makusudi kuhujumu, bado tume haijatoa ripoti ya uchunguzi wao, hakuna mahala ambapo Rais moja kwa moja alisema vifaa ndio tatizo.
Sent using Jamii Forums mobile app
CDC Africa: Vipimo vya Corona Virus vinavyotumika Tanzania vinafanya kazi vizuri - JamiiForumsTesting kits ni defective kivipi? Science ya wapi hiyo? Tangu lini a validated device for human sample ikatumika kwa mapapai, fenesi, mbuzi, nk., ambazo si human being? Mpumbavu hapo ni huyo aliyeipa hiyo device ambayo haikuwa validated kwa tests aina hizo. Ni ujinga wa kiwango cha Flyover kumpandisha beberu kwa mbwa jike kisha ukategemea azaliwe mbogo!!! Hata mimba haitakuwepo, badala yake unaweza kuzua balaa lingine la kiafya. Ni mpumbavu tu atakayeshabikia majibu ya "indeterminate, inconclusive, positive or negative" kutoka kwenye device ya kupima samples za binadamu lakini muhuni fulani anayejiita mwanasayansi akazi"feed" samples za mimea na oil za magari. Shame on him. Ni vema angeificha aibu yake kwa kukaa kimya.
Duh...!. Tunaanza kunyoosheana vidole na kuitana hamnazo!. Uzalendo ni Patriotism, kuipigania nchi yako. Kama rais wako ni Mzalendo na anaipigania kwa dhati nchi yako, then uzalendo ni kusimama na rais wako, hata kama kuna maeneo anakosea, na yeye is only human, hivyo anaweza kufanya makosa!, na bado ukasimama nae.Pascal, Rais aliyekwishachanganywa na siasa hawezijuwa tofauti Kati ya propaganda ya kisiasa, na hali halisi ya kisayansi. Maana ingekuwa hivyo angepeleka sample halisi kwenye maabara nyingine tofauti ili kujiridhisha. Sasa kwa kuwa alitaka kupiga propaganda alifanya kisichojuzu, Sasa Dunia nzima inatuona, including you, ma hamnazo!!
Uzalendo ni kusimama na Rais wako?? we jamaa kiazi sana.Duh...!. Tunaanza kunyoosheana vidole na kuitana hamnazo!. Uzalendo ni kusimama na rais wako!.
CDC Africa: Vipimo vya Corona Virus vinavyotumika Tanzania vinafanya kazi vizuri - JamiiForums
P
Duh ! umeandika nini mjomba?It's like me buying car from a dealer, then three days later finding out the transmission slips at cruising speed of 60km/h. Calling my dealer to complain about a lemon she sold me, only to be told, "we know it's working".
Vipi kwani?
Vipi matokeo ya uchunguzi kamati ya Umy Mwalimu. Je kushuhudia maajabu yale yale ya ripoti ya makanikia?Mkuu tofautisha kati ya kusimamishwa na kufukuzwa,kiufupi hao wataalamu wamesimamishwa ili kupisha uchunguzi wakionekana hawana hatia watarudishwa kazini,
Taratibu za kazi zinataka ikiwa mtu anachunguzwa kuna ulazima wa yeye kukaa pembeni ili asivuruge zoezi zima la uchunguzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Jihadhari na uwapendao, covid19 tunayo kitaaHivi mtu uhujumu vipimo ili iwe nini?!
Tuache porojo... Magufuli HATAKI taarifa zijulikane, PERIOD!!
Kila mwenye macho aliona na mwenye masikio alisikia!
Baada ya mwanzoni wizara kusua sua kutoa updates, watu wakaanza kulalamikia usiri!
In response, wizara wakaanza kutoa updates and within 2 weeks, number of cases ika-shoot from less than 50 to more than 300!
Nini kilifuata?! Magufuli akambadilisha Katibu Mkuu wa wizara huku akitoa tuhuma kwamba wizara inatangaza maambukizi mapya tu lakini kuna watu wengi wamepona lakini hawatangazi!
Tangia hapo wizara wakaufyata!!
Kule Karimjee watu wamejiendea kwenye maombi, Kassim Majaliwa na kiherehere chake akataja takwimu mpya na kutaja total cases then ni 480!!
Magufuli yule yule ambae aliibuka na kumtoa Katibu Mkuu baada ya kutangaza idadi kubwa, hapa napo cku chache baadae akaibuka na simulizi zake za matikiti maji na hapo hapo akaagiza watu wa maabara wachunguzwe!!
Ummy angefanya nini! Akalazimika kuwasimamisha kazi Watendaji!!
So, simple and clear... Magufuli hataki kusikia habari za maambukizi zinatolewa hususani kama maambukizi ni makubwa! Yaani yupo radhi kuona watu wanakufa kimya kimya kuliko kuweka mambo wazi ili watu wawe makini zaidi, na ikibidi tupate support kutoka kwa wenzetu!!
Watu tukisema huu ukweli wanatokea Wapumbavu utasikia eti tunamchukia Magufuli... Very Stupid!
CDC Africa: Vipimo vya Corona Virus vinavyotumika Tanzania vinafanya kazi vizuri - JamiiForumsUzalendo ni kusimama na Rais wako?? we jamaa kiazi sana.
Huyu akiongelea magonjwa na madawa unamuelewa, siyo mtu umesomea "kutu" unajifanya kujua kila taaluma. Hata huyu tukikuta anaongelea chanzo cha ajali ya ndege tutamkatalia mchana kweupe.May 4, 2020
COVID19 Africa Responds Interview: Dr John Nkengasong Director Africa Centers for Disease Control
Source: African Union AU
https://www.virology-education.com › ...
John Nkengasong, PhD - Virology Education
View attachment 1442530
Dr. John Nkengasong is director of African Centres for Disease Control and Prevention.
John Nkengasong, PhD
Dr. John Nkengasong is director of African Centres for Disease Control and Prevention. Until recently he was the Associate Director for Laboratory Science and Chief of the International Laboratory Branch at the Division of HIV & TB, Center for Global Health, US Centers for Disease Control and Prevention (CDC), Atlanta. In addition, Dr. Nkengasong co-chairs the US President’s Emergency Plan for AIDS Relief’s (PEPFAR) Laboratory Technical Working Group and serves as the founding chair of Board of Directors for the African Society for Laboratory Medicine.
He received a Masters in Tropical Biomedical Science at the Institute of Tropical Medicine in Antwerp, Belgium, and another Masters Degree in Medical and Pharmaceutical Sciences at the University of Brussels School of Medicine and a Doctorate in Medical Sciences (Virology) from the University of Brussels, Belgium. Between 1993-95 he was Chief of the Virology and the WHO Collaborating Center on HIV diagnostics, at the Department of Microbiology, Institute of Tropical Medicine, Antwerp, Belgium.
He joined CDC in 1995 as Chief of the Virology Laboratory, CDC Abidjan, Ivory Coast, and became Chief of the International Laboratory Branch, Global AIDS Program in 2005. His work on HIV diagnosis, pathogenesis, and HIV drug resistance has been has extensively published since 1988 and has published over 120 papers in Journals such as the Lancet, Journal of Virology, Journal of Infectious Diseases, and Journal of Clinical Microbiology.
Dr. Nkengasong has also published multiple book chapters dealing with implementing HIV therapy in resource challenged areas. He has received numerous awards for his work including, but not limited to, the US Secretary of Health and Human Services Award for excellence in Public Health Protection Research, the Sheppard Award nominee, and multiple Director’s Recognitions Award. He has also served on various international advisory boards as well as a reviewer for numerous journals.
Thank you for the advice na tahadhali hii inawafaa zaidi wafuasi wa Magu; binafsi nafahamu fika hatari iliyo mbele yetu, na ndio maana hata humu jamvini nimeandika sana hadi kuonekana namchukia Magu!Jihadhari na uwapendao, covid19 tunayo kitaa
Ukisubiri takwimu za mzee Pombe kutoka Chato ndio uchukue hatua utapotea kabla ya kutimiza ndoto....
Papai halina Corona, muulizeni Katibu Mkuu Afya kumdanganya bosi wake alikuwa na dhamira gani?Return Of Undertaker,
Kwahiyo papai lina Corona?