CDC Africa: Vipimo vya Corona Virus vinavyotumika Tanzania vinafanya kazi vizuri

CDC Africa: Vipimo vya Corona Virus vinavyotumika Tanzania vinafanya kazi vizuri

Testing kits ni defective kivipi? Science ya wapi hiyo? Tangu lini a validated device for human sample ikatumika kwa mapapai, fenesi, mbuzi, nk., ambazo si human being? Mpumbavu hapo ni huyo aliyeipa hiyo device ambayo haikuwa validated kwa tests aina hizo. Ni ujinga wa kiwango cha Flyover kumpandisha beberu kwa mbwa jike kisha ukategemea azaliwe mbogo!!! Hata mimba haitakuwepo, badala yake unaweza kuzua balaa lingine la kiafya. Ni mpumbavu tu atakayeshabikia majibu ya "indeterminate, inconclusive, positive or negative" kutoka kwenye device ya kupima samples za binadamu lakini muhuni fulani anayejiita mwanasayansi akazi"feed" samples za mimea na oil za magari. Shame on him. Ni vema angeificha aibu yake kwa kukaa kimya.
CDC Africa: Vipimo vya Corona Virus vinavyotumika Tanzania vinafanya kazi vizuri - JamiiForums
P
 
Pascal, Rais aliyekwishachanganywa na siasa hawezijuwa tofauti Kati ya propaganda ya kisiasa, na hali halisi ya kisayansi. Maana ingekuwa hivyo angepeleka sample halisi kwenye maabara nyingine tofauti ili kujiridhisha. Sasa kwa kuwa alitaka kupiga propaganda alifanya kisichojuzu, Sasa Dunia nzima inatuona, including you, ma hamnazo!!
Duh...!. Tunaanza kunyoosheana vidole na kuitana hamnazo!. Uzalendo ni Patriotism, kuipigania nchi yako. Kama rais wako ni Mzalendo na anaipigania kwa dhati nchi yako, then uzalendo ni kusimama na rais wako, hata kama kuna maeneo anakosea, na yeye is only human, hivyo anaweza kufanya makosa!, na bado ukasimama nae.
CDC Africa: Vipimo vya Corona Virus vinavyotumika Tanzania vinafanya kazi vizuri - JamiiForums
P
 
Mkuu tofautisha kati ya kusimamishwa na kufukuzwa,kiufupi hao wataalamu wamesimamishwa ili kupisha uchunguzi wakionekana hawana hatia watarudishwa kazini,

Taratibu za kazi zinataka ikiwa mtu anachunguzwa kuna ulazima wa yeye kukaa pembeni ili asivuruge zoezi zima la uchunguzi

Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi matokeo ya uchunguzi kamati ya Umy Mwalimu. Je kushuhudia maajabu yale yale ya ripoti ya makanikia?
 
Hivi mtu uhujumu vipimo ili iwe nini?!

Tuache porojo... Magufuli HATAKI taarifa zijulikane, PERIOD!!

Kila mwenye macho aliona na mwenye masikio alisikia!

Baada ya mwanzoni wizara kusua sua kutoa updates, watu wakaanza kulalamikia usiri!

In response, wizara wakaanza kutoa updates and within 2 weeks, number of cases ika-shoot from less than 50 to more than 300!

Nini kilifuata?! Magufuli akambadilisha Katibu Mkuu wa wizara huku akitoa tuhuma kwamba wizara inatangaza maambukizi mapya tu lakini kuna watu wengi wamepona lakini hawatangazi!

Tangia hapo wizara wakaufyata!!

Kule Karimjee watu wamejiendea kwenye maombi, Kassim Majaliwa na kiherehere chake akataja takwimu mpya na kutaja total cases then ni 480!!

Magufuli yule yule ambae aliibuka na kumtoa Katibu Mkuu baada ya kutangaza idadi kubwa, hapa napo cku chache baadae akaibuka na simulizi zake za matikiti maji na hapo hapo akaagiza watu wa maabara wachunguzwe!!

Ummy angefanya nini! Akalazimika kuwasimamisha kazi Watendaji!!

So, simple and clear... Magufuli hataki kusikia habari za maambukizi zinatolewa hususani kama maambukizi ni makubwa! Yaani yupo radhi kuona watu wanakufa kimya kimya kuliko kuweka mambo wazi ili watu wawe makini zaidi, na ikibidi tupate support kutoka kwa wenzetu!!

Watu tukisema huu ukweli wanatokea Wapumbavu utasikia eti tunamchukia Magufuli... Very Stupid!
Jihadhari na uwapendao, covid19 tunayo kitaa
Ukisubiri takwimu za mzee Pombe kutoka Chato ndio uchukue hatua utapotea kabla ya kutimiza ndoto....
 
May 4, 2020



COVID19 Africa Responds Interview: Dr John Nkengasong Director Africa Centers for Disease Control
Source: African Union AU

https://www.virology-education.com › ...
John Nkengasong, PhD - Virology Education


View attachment 1442530

Dr. John Nkengasong is director of African Centres for Disease Control and Prevention.
John Nkengasong, PhD

Dr. John Nkengasong is director of African Centres for Disease Control and Prevention. Until recently he was the Associate Director for Laboratory Science and Chief of the International Laboratory Branch at the Division of HIV & TB, Center for Global Health, US Centers for Disease Control and Prevention (CDC), Atlanta. In addition, Dr. Nkengasong co-chairs the US President’s Emergency Plan for AIDS Relief’s (PEPFAR) Laboratory Technical Working Group and serves as the founding chair of Board of Directors for the African Society for Laboratory Medicine.

He received a Masters in Tropical Biomedical Science at the Institute of Tropical Medicine in Antwerp, Belgium, and another Masters Degree in Medical and Pharmaceutical Sciences at the University of Brussels School of Medicine and a Doctorate in Medical Sciences (Virology) from the University of Brussels, Belgium. Between 1993-95 he was Chief of the Virology and the WHO Collaborating Center on HIV diagnostics, at the Department of Microbiology, Institute of Tropical Medicine, Antwerp, Belgium.

He joined CDC in 1995 as Chief of the Virology Laboratory, CDC Abidjan, Ivory Coast, and became Chief of the International Laboratory Branch, Global AIDS Program in 2005. His work on HIV diagnosis, pathogenesis, and HIV drug resistance has been has extensively published since 1988 and has published over 120 papers in Journals such as the Lancet, Journal of Virology, Journal of Infectious Diseases, and Journal of Clinical Microbiology.

Dr. Nkengasong has also published multiple book chapters dealing with implementing HIV therapy in resource challenged areas. He has received numerous awards for his work including, but not limited to, the US Secretary of Health and Human Services Award for excellence in Public Health Protection Research, the Sheppard Award nominee, and multiple Director’s Recognitions Award. He has also served on various international advisory boards as well as a reviewer for numerous journals.
Huyu akiongelea magonjwa na madawa unamuelewa, siyo mtu umesomea "kutu" unajifanya kujua kila taaluma. Hata huyu tukikuta anaongelea chanzo cha ajali ya ndege tutamkatalia mchana kweupe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jihadhari na uwapendao, covid19 tunayo kitaa
Ukisubiri takwimu za mzee Pombe kutoka Chato ndio uchukue hatua utapotea kabla ya kutimiza ndoto....
Thank you for the advice na tahadhali hii inawafaa zaidi wafuasi wa Magu; binafsi nafahamu fika hatari iliyo mbele yetu, na ndio maana hata humu jamvini nimeandika sana hadi kuonekana namchukia Magu!

Naweza kupata corona au hata kufa kwa corona si kwa sababu sichukui tahadhali bali naweza kufanya mistake ndogo tu kwa kujua au kutojua, na ikawa mwisho wa mchezo!
 
Vitu vingine bora aongee waziri akiongea prezoo nchi inabeba mzigo wa kuonekana nchi ya vilaza!! Ndomaana tunakosa chanjo za watoto na kondom zinaadimika!!

Wanaotoa misaada wanaweza rudinyuma kuepuka kuonekana mabeberu wauaji!!
Tuwe positive tutajajikuta pabaya kimataifa
 
Back
Top Bottom